KITENDA WILI"NYUMBA YANGU NDOGO LAKINI INAENEA WATU WENGI' MBUTA NANGA!!

FLORA LYIMO TZUK

FLORA LYIMO TZUK

FLORA LYIMO TZUK

FLORA LYIMO TZUK

FLORA LYIMO BLOG

FLORA LYIMO BLOG

FLORA

FLORA

FLORA NA RAIS JK

FLORA NA RAIS JK

FLORA NA MH PINDA

FLORA NA MH PINDA

SHINY ,HEALTHY-LOOKING AND GORGEOUS HAIR' WHATSAPP +44 778 7471024

SHINY ,HEALTHY-LOOKING AND GORGEOUS HAIR' WHATSAPP +44 778 7471024

Thursday 14 March 2013

SPOTTED IN OXFORD STREET 'FLORA LYIMO FASHION POLICE ROCKING RED AND WHITE HEAD WRAP!! WHAT YOU THINK OF MY LOOK OF 13/3/2013 KIKAZI ZAIDI" NYOTA ZANGU"


Najipendaje jamani yani kwa Picha sina mshindani" aje nimuone tutashindanaje sasa!!
 Time kuacha kulea kucha eee,Mbuta Nanga"ila jamani nivizuri kuacha kucha zijipatie hewa yake na kuziacha bila kuzipaka rangi kwa muda"

 Pokeeni BUSU LA NGUVUUUU HILOOO!!
 Flora Lyimo Fashion Police' mwaonaje kwa pembeni my head wrap"Na maandishi mmeyasoma eee"
 Rozari yangu na Camera haziachwi home kabisaa!! nakupenda sana MAMA YANGU BIKIRA MARIA"

 Viatu for the Boys at House of Flora" karibuni sana whatsapp or call +44 7787471024
 Karibuni viatu for the Girls kwa mtoko wa nguvu zaidi "
 Ndo maana yake need anything let me know kwa jumla au reja reja" whatsapp or Call:+44 7787471024
 Wateja wakiwa Dukani wanajifurahishia macho yao kwanza kabla ya Moyo kuamua na Pochi kutoa pesa"
 here she is Flora Lyimo Fashion Police at Oxford Streeet London " hapa nasikiaje njaa'yani sijala tangu asubuhi "
 Wateja wa House of Flora Handbags " nimewapendaje sasa and they were so happy kuwauzia mabeg yao waloyapenda kinomaa"
 Ndo mambo ya mpangilio wa Flora Lyimo ,Duka linatakiwa kuwa na mpangilio na muonekano wake unakuwa wakuvutia siyo yale maduka mengine ukiona picha zao yani wamerundika mabeg na nguo zao humo mpaka utadhania ni charity chop" hata charity shop nyingi siku izi wanajua sana kupangilia vitu " 
 In love na hili shoulder handbag yani ukiliuziwa hata £100.linahaki yakuuzwa hivyo but linauzwa kwa bei ya House of Flora" bei powa kabisaa"
 Kitu siku izi ni kwenye Box 'yani msosi pia naupewa na box ''nilibakia na shangaa but nilivyokuwa na njaa hata wangelinipa na sufuria au chungu ni powa tu"

 Mkate was mbaya kama nini" nikiukumbuka nasikia kutaapika..yani sijui hata ni kwanini nikauagiza,sijui ni ile njaa""


1 comment: