KITENDA WILI"NYUMBA YANGU NDOGO LAKINI INAENEA WATU WENGI' MBUTA NANGA!!

FLORA LYIMO TZUK

FLORA LYIMO TZUK

FLORA LYIMO TZUK

FLORA LYIMO TZUK

FLORA LYIMO BLOG

FLORA LYIMO BLOG

FLORA

FLORA

FLORA NA RAIS JK

FLORA NA RAIS JK

FLORA NA MH PINDA

FLORA NA MH PINDA

SHINY ,HEALTHY-LOOKING AND GORGEOUS HAIR' WHATSAPP +44 778 7471024

SHINY ,HEALTHY-LOOKING AND GORGEOUS HAIR' WHATSAPP +44 778 7471024

Tuesday 23 April 2013

TIME TO PLAY 'BIRTHDAY GIRL YOUR ONE AND ONLY FLORA LYIMO ASOWAOGOPA HASA NYIE HATERS MNAJIJUA ' HII BLOG NI YANGU NA NINAWEZA KUWEKA CHOCHOTE PHOTOS NA KUANDIKA ANYTHING I WANT 'KAMA HUJAPENDA SIJAKUITA UJE KUINGIA HUKU 'KATAFUTENI MAKABURI MUINGIE HUKO .RAT'S HATER'S R.I.P.MNAJIJUA NA MAKOMENTS YENU "












HAPPY BIRTHDAY FLORA LYIMO FASHION POLICE 'a.k.a. KIBOKO YA WATANZANIA" MWENGINE HAKUNAGA KWA MAUKWELI ZAIDI" MBUTA NANGA!!
FOR NYIE HATERS..MAISHA YANGU NI YANGU 'NA NYIE MNA YENU 'NA MIKONO NA AKILI MNAZO MBONA MSIFUNGUE BLOG ZENU MKAWEKA MNAYEPENDA NA KUONA NI YA JAMII KUWEKWA HUKO...?? KAMA MMEKOSA PAKUINGIA MFURAHI ISHIENI MAKABURI MKAJICHIMBIE HUKO MTAFURAHIJE SASA ''MAANA HAPA DUNIANI SIYO PA HATERS KAMA NYIE'' AND NAWAJUA NA MSIFIKIRI SIWAJUI NAWAJUA HASA PALE MNAPOONGEA NA MIMI MAMBO KIBAO 'ALAFU MKIENDA KUANDIKA HASA KWA WAHUSIKA HAO MNAJEUZA SHILINGI NA KUJIFANYA NYIE NDO WAZURI WAKE..TENA ENDELEENI MUONE KAMA SITOWEKA PICHA ZENU NYIE HAPA HAPA KWA MY BLOG " YANI KWANINI MSIONGEE NA KUANDIKA MNAYOYAONGEA'TENA USONI KWANGU MNAKUJA KWA UNYENYEKEVU ALAFU MAHALI SIPO AU HAPA KWENYE BLOG NA ZINGINE MNAZOINGIA KIVULIVULI MNANISEMA MABAYA KAMA AMBAE SIYO MLOKUWA MNANISEMEA MAZURI USONI MWANGU'OLE WENU MUOGOPENI MUNGU YEYE ANAWAONA POPOTE PALE MLIPO NA PIA KUANDAA HUKUMU ZENU''KWELI MIMI FLORA LYIMO NIMEWAJUA WATANZANIA WENGI NI WANAFIKI WAKUBWA' KIKUBWA NI KWAMBA MIMI HAMNIWEZI MAANA DAWA YENU NAIJUA''UKWELI NA KUUANIKA HAPA HAPA  NA PIA FACEBOOK " AIBU HAMONI''HEREI MIMI NAE SEMA NA KUANDIKA UKWELI MTUPU JAPO HAMPENDI UKWELI NITAWASHINDILIENI MAUKWELI HADI MZIMIE HASWAA'FLFP"

5 comments:

  1. flora lyimo wachana na hao nyau ,wajinga wanafiki kama huyo jestina ,sasa atampeleka Iman akamzike baba yake wakati alimnyima baba yake kumuona na kumchukua mtoto wake baada ya kumrudisha Tanzania bila hata kumuambia,asijifanye eti ana ndoa sasa anaiheshim sisi tunandoa tunaziheshim pia na tumeolewa miaka 30 baba mtoto wako ni baba mtoto wako hata alokuowa anajua hilo ,kwa sababu yeye ni baba wa watoto haswaa na siyo motto mmoja'usingemnyamazia kimnya kutokumtangaza kwa kile kiblog chako wakati ya wengine huwa anatangaza ...ushauri wangu ni kwamba msiolewe na mabwana za watu alafu muwadharau walokuwa nanyi hadi kuwazalisheni before'hata wewe flora na yule peter wako 'bora sasa mnaonana kimnya kimnya'mwanaume anakutaka na hataacha kuja kwako hilo linajulikana,and hongera sana flora lyimo kwa kusema maukweli hapo nakupongeza,marehem Peter Lazarus alikufa akiwa na uchungu sana moyoni hasa kwa jestina kumnyima kumuona Iman na Iman kuishi kama vile hana baba wala mama long time siyo juziPeter alivyoaga Dunia'sasa mjifunze kudandia wanaume wa watu 'kuishi na mme ni kazi nyie mkome sasa wewe flora na jestina na wengine wote wanaiba wanaume za watu,nahii bania pia'

    ReplyDelete
  2. love you flora lyimo .looking FAB 'HAPPY BIRTHDAY MAMII"

    ReplyDelete
  3. mshamba chamgn utawekaje kwenye chombo cha plastic mmmh jogoo la shamba

    ReplyDelete
  4. Huyo Jestina si kaolewa mke sijui wa 3 na huyo mumewe si anajua kuwa Jestina alizaa na Peter, kwa nini asimruhusu kuomboleza kifo cha baba mtoto wake? sisi sote tulimjua huyo Peter wakati wa uhai wake through blog ya Jestina alivyokuwa anamtangaza kwa walimwengu kuwa ndiyo love of her life AKA baba Iman. Na Iman atampeleka kwenye mazishi ya baba yake?

    ReplyDelete
  5. wee anonymous 13:54. unamwambia mshamba wewe mwenyewe hata kuandika hujui utajuaje vitu vya Ulaya flora vitu vyake ni vya kiuzungu zungu na siyo kibongo bongo na hilo siyo chombo la plastic vile unavyokiwazia wewe..is unique style of todays champagne holder" kanye kule now umesikia wivu kwa mashampagne utakunya picha''

    ReplyDelete