KITENDA WILI"NYUMBA YANGU NDOGO LAKINI INAENEA WATU WENGI' MBUTA NANGA!!

FLORA LYIMO TZUK

FLORA LYIMO TZUK

FLORA LYIMO TZUK

FLORA LYIMO TZUK

FLORA LYIMO BLOG

FLORA LYIMO BLOG

FLORA

FLORA

FLORA NA RAIS JK

FLORA NA RAIS JK

FLORA NA MH PINDA

FLORA NA MH PINDA

SHINY ,HEALTHY-LOOKING AND GORGEOUS HAIR' WHATSAPP +44 778 7471024

SHINY ,HEALTHY-LOOKING AND GORGEOUS HAIR' WHATSAPP +44 778 7471024

Tuesday 21 May 2013

BY:FLORA LYIMO~ HABARI NDO HIYO 'SITOCHOKA NA WALA SITOLALA MPAKA HAKI ITENDEKE" MBUTA NANGA!!

FLORA LYIMO MTANZANIA HALISI AIPENDAE NCHI YAKE KUPITA MAELEZO"

Hi kwa baada ya kuongea na Police UK ambae ndiyo anaeishughulikia hii kesi kwa sasa hivi baada ya mimi mwenyewe kujifanyia matangazo yangu kwenye Blog na Facebook ili Dunia kufaham niliyotendewa na niliyotendewa siyo jambo nzuri au lakusubiria wengine Kina Mama/Dada wabakwe na kuteswa kwa kitu ambacho hawajafanya na vile vile kwasababu mhusika ni wamatawi ya juu au anacheo Fulani basi isiwe kizuizi' hapa tunamtizama Godbless Lema kama Binadam na siyo kama Chama wala vinginevyo" na anapofanya kosa nilazima haki itendeke kama watu wengine na siyo kwasababu ya yeye kuwa Mbunge ndo hajafanya au haki isitendeke kwa sababu ya alivyo juu''au madarakani au Bungeni'' hapa hakuna alonituma na anaowataja mwanzo hata hawakujua kama nilihudhuria kikao chao hicho cha kufungua Chama chao London kwa mara ya kwanza" kwa hiyo my dears Tanzanian msitizame hapa kwa njia ya vyama 'tizameni hapa kwa njia ya Binadam na haki lazima itendeke kwa kila mfanyakosa" asanteni na ningeshukuru mkinielewa maana silali na wala sitokaa nilale now mpaka haki itendeke''all I want is justice and I will do what I can and make sure Dunia na hasa Tanzania Rat's wabakaji waharibifu kama Godbless Lema ni lazima watambulike na wanaobakwa wasijifiche na kujionea aibu eti kwamba ni kosa lao 'NEVER 'KOSA NI LA ALOKUBAKA na wala msiogope kujitokeza angalieni MIMI MATUSI YOTE NIMEYABABA JE NIMEDHURIKA POPOTE? NA HATA PAMOJA NA MATUSI YOTE HAKUNA KITAKACHOBADILIKA" HE IS WANTED OVER RAPE AND NOTHING GOING TO CHANGE IT"  RUWA MANGI!!

No comments:

Post a Comment