KITENDA WILI"NYUMBA YANGU NDOGO LAKINI INAENEA WATU WENGI' MBUTA NANGA!!

FLORA LYIMO TZUK

FLORA LYIMO TZUK

FLORA LYIMO TZUK

FLORA LYIMO TZUK

FLORA LYIMO BLOG

FLORA LYIMO BLOG

FLORA

FLORA

FLORA NA RAIS JK

FLORA NA RAIS JK

FLORA NA MH PINDA

FLORA NA MH PINDA

SHINY ,HEALTHY-LOOKING AND GORGEOUS HAIR' WHATSAPP +44 778 7471024

SHINY ,HEALTHY-LOOKING AND GORGEOUS HAIR' WHATSAPP +44 778 7471024

Thursday 2 May 2013

FLORA LYIMO FASHION POLICE OF 02.05.2013 ' HEBU ANGALIENI WEMA SEPETU ALIVYOCHAFULIWA VAAZI LAKE HAPA' AU WALIKUTANA NA ALOMCHAFULIA KWA BAHATI MBAYA'MBUTA NANGA!!

 Flora Lyimo Fashion Police' The Only Mtanzania -UK London Aipendae nchi yake kupita maelezo na kuwaambia watu ukweli wao bila kuogopa' kwani napenda sana kuona watu wakionyesha mfano mzuri kwa wengine hasa kwa watoto wanaozaliwa leo kujifunza mazuri Mavaazi zaidi katika mitoko muhimu na pia Kusaidia wale wasojiweza bila kusahau UMOJA ''sasa mimi ndugu zangu Watanzania na wadau wote nimewaachieni PICHA IWAAMBIENI YOTE NA NYIE MSEME YENU..MAANA NIKISEMA HAPA NITAAMBIWA NATAFUTA BLOG YANGU IWE JUU''SIJUI JUU IPI 'KULIKO JUU ILIPO TIYARI'MBUTA NANGA!!
Hebu muoneni Wema Sepetu hapa na nguo yake nzuri kapendeza kulikoni kisawasawa kuendana na mtoko wa siku hii,na ALIMCHAFULIAJE HAPA SASA ONENI WENYEWE" yani hivi nikutokuelewa au nikukosa Mavaazi " ?? AU WALIKUTANA KIBAHATI MBAYA ? MBUTA NANGA'' JAMANI NI AIBU MNO '' WACHA KUWACHAFULIENI WENZENU PICHA ZAO ZA KUMBUKUMBU SAFI 'TENA UNAMGANDIA HASWAAA.HATA KUIKATA PICHA HAIFAI'''KWA MBANO ULOJIBANISHIA NAE"
Wadau kazi kwenu sasa ,have your say 'na tafadhali msiache za matusi yani MATUSI SITOWEKA KABISA'ACHENI MAAONI YENYE KUMFUNDISHA NA PIA KUWAFUNDISHA WENGINE"
ASANTENI' FLFP"

11 comments:

  1. hahhahahaaa,Flora Lyimo Fashion Police wa ukwe,unaniuwa mbavu..uwiiii..mburula'kama anavyoita wenzake kumbe hajijui masikini''

    ReplyDelete

  2. Lijikaptula hilo!! kweli kamharibia sana!

    ReplyDelete
  3. Everything is very open with a very clear clarification of the issues.
    It was definitely informative. Your website is very helpful.

    Many thanks for sharing!

    Feel free to surf to my blog :: Canlı Tv

    ReplyDelete
  4. nothing but mburulaaaaa....huyu kaka anaboa kweli yani mikaptula yake anayoinunuwa kariakoo na mitisheti sare ya wamachinga ndio anatoka nayo...kuna siku alinipitia karibu anatowa harufu mbaya sana kaka huyu, hata perfume hajipaki.

    ReplyDelete
  5. NENDA SINTA KUNA MSG ZAKO COMMENTS

    ReplyDelete
    Replies
    1. nahisi wee ndo umeandika ile meseji.. yani mwenzenu kaawaalika kwenye besdei yake mkala machalari na vyuku na mkapombeka juu haikotosha hadi mkamtukana huko mashenzin,i ati bla bla sijui anajidai kwake kuna vistuli sijui nini upuuzi mtupu. si ulikuwepo home kwake ungempa makavu laivu wakati uko naye.. wabongo wanafiki sana.

      Delete
  6. Hahahah yani unanipaga raha!!huogopi hata kidogo.

    ReplyDelete
  7. hili kubwa jinga flora anajifanya elimu naona kafuta ujinga tu hajitambuina mikaptura yake kama katoka jandoni

    ReplyDelete
  8. liangalie na mikaptura yake utafikiri katoka jandoni kubwa jinga miaka 55 halina mke,familia linaishi kwa baba shame on you rudi kwa watt wako nyambafu

    ReplyDelete
  9. tena kajikojolea

    ReplyDelete
  10. i dont like the guy but...wema ndo kamkuta yeye skylight band after kutoka kwemye blackball so i think ame dress casual kawaida tu. what i know is you can be casual and classic and class is something he doesnt have.

    ReplyDelete