KITENDA WILI"NYUMBA YANGU NDOGO LAKINI INAENEA WATU WENGI' MBUTA NANGA!!

FLORA LYIMO TZUK

FLORA LYIMO TZUK

FLORA LYIMO TZUK

FLORA LYIMO TZUK

FLORA LYIMO BLOG

FLORA LYIMO BLOG

FLORA

FLORA

FLORA NA RAIS JK

FLORA NA RAIS JK

FLORA NA MH PINDA

FLORA NA MH PINDA

SHINY ,HEALTHY-LOOKING AND GORGEOUS HAIR' WHATSAPP +44 778 7471024

SHINY ,HEALTHY-LOOKING AND GORGEOUS HAIR' WHATSAPP +44 778 7471024

Friday 17 May 2013

MODELING FOR FLORA LYIMO STOP RAPE AND RAP CHARITY' (ALBUM 1) OF NEW SPRING 2013 HANDMADE KNIT SHOULDER STRAPS HANDBAG"

 SUPER MODEL VICKY BENNY NNKO THE ONE AND ONLY TOP MMECHISHAJI WA MAVAAZI IN UK -LONDON !!



 I can't find it''Mbuta Nanga!!






 Green and Black handmade knit Shoulder straps'
 Design By:Flora Lyimo On Sale for the Charity" pia unaweza kuchagua rangi yako uipendayo mwenyewe' WhatsApp or Call +44 (0) 7787471024 Email:flo1974@btinternet.com


 Thank you so much for your Love and Supporty my Wii" Be Bless always na pamoja tutafika 'Kina Mama /Dada na maendeleo ya kazi za mikono yetu"

Flora Lyimo akiwa na one of her Handmade knit handbags 'hivi ndivyo nitumiavyo mikono yangu kufanya kazi na siyo kuitumia kwa kukesha kwenye mitandao nikiandika upuuzi huku nikijificha Sura yangu safi Mungu alonijalia' katika hii Dunia jivunie wewe na usijivunie wao au yeye" Kila mmoja wetu ana maumbile na muonekano wake na hawezi kujiona mwenyewe bila kwenye picha au kiyoo" sasa basi zingatia wewe ulivyo na siyo vile wao au yeye alivyo maana wewe hujajiona wanakuona wao na yeye'' hakuna haja yakumuambia mwenzio yeye ni mbaya sura mbaya na wakati wewe mwenyewe hujioni na hutakaa ujione kwa kujitazama mwenyewe" inawezekana mwanzo wewe unaweza kuwa hata hufai kabisa kwa chochote licha ya sura nzuri '' sasa basi Ndugu zangu Watanzania hasa Kina Mama/Dada'tumieni muda wenu kufanya kazi na mikono yenu na midomo yenu kula na siyo kusambaza maumbea mijini na hata mashambani'hasa kuongelea usoyajua na kujipachika kwenye maugomvi yasokuhusu wala ambayo hayatakaa yakuhusu ,maana hayo yameshafanyika bila kukuhusu'na sema hivyo maana mwili haujengwi kwa matofali'na tumia mdomo wako kwa msosi zaidi' God Bless my Tanzania and the World' nawaomba mzingatie UMOJA NA UPENDO!!


On your way out dont forget to FOLLOW THIS BLOG"

5 comments:

  1. Flora Lyimo your the most talented Tanzanian Lady in the World''Ilove your work of your HANDS''Do me a favour'will you?'' you must never let anyone take it away from you 'MUST BE SO BLESSED!!

    ReplyDelete
  2. sawa mama tumekuelewa!! ila kumbuka pia, hayo ni maneno tuu hata kwenye khanga yapo. na kumbuka huwezi kumzuia mtu kuongea, acha wachonge wee mwisho wake watachoka na watanyamaza. na pia kumbuka maneno yao hayawezi kukubadilisha wewe kama flora, utabakia kuwa flora na maneno yao yasikutishe. wewe kazana kufanya kazi na kutetea haki yako. #nihayotu#

    ReplyDelete
  3. Flora Lyimo hata mimi nipo tiyari kukuunga mkono na to support your charity 'weldone you''' I love what you do with your hands kweli atakae kuowa wewe atakuwa ana bahati kama jina lako''Bless you mama"

    ReplyDelete
  4. Flora Lyimo nimependa mikoba yako ,huku Tanzania tunaipataje''

    ReplyDelete
  5. flora lyimo is a talented Tanzanian designer and i love her work'' keep up the good work girl ''

    ReplyDelete