KITENDA WILI"NYUMBA YANGU NDOGO LAKINI INAENEA WATU WENGI' MBUTA NANGA!!

FLORA LYIMO TZUK

FLORA LYIMO TZUK

FLORA LYIMO TZUK

FLORA LYIMO TZUK

FLORA LYIMO BLOG

FLORA LYIMO BLOG

FLORA

FLORA

FLORA NA RAIS JK

FLORA NA RAIS JK

FLORA NA MH PINDA

FLORA NA MH PINDA

SHINY ,HEALTHY-LOOKING AND GORGEOUS HAIR' WHATSAPP +44 778 7471024

SHINY ,HEALTHY-LOOKING AND GORGEOUS HAIR' WHATSAPP +44 778 7471024

Monday 3 June 2013

BY:FLORA LYIMO~ HARD TALK ' HEBU MTIZAMENI MME WAKE MPYA WA SHAMIM'MACHO YAKE YAPO WAPI HAPA? MBUTA NANGA"

Flora Lyimo Fashion Police:
Jamani hii picha nimeitizama alafu sijui inasema maneno gani ila inamaneno makali sana yenyewe tu'' hebu mtizameni Bwana Harusi hapa ...macho yake yapo wapi na yawenzake yapo wapi? Jamani yani siyo bure kabisaa" ndo maana napendaga CAMERA NA PICHA "
Nyota zangu nyie mwasemaje hapa" Yani unawezaga kupita njiani unamkuta Mtu yupo na Mke wake lakini anamuona Dem basi macho yanamtoka hadi Mke /Girlfriend unamzibua kofi ndo anajua anachokitizama kwingine ni nini'?mbuta nanga"" hahaa' Kama kawa msisahau hakuna COMMENTS ZA MATUSI APA ZINAZORUHUSIWA' And don't forget to FOLLOW THIS BLOG"

9 comments:

  1. hahahhaaa Flora Lyimo wewe ni kiboko,yani nimecheka mbavu zanguuuuuuuuuuuuuuu....ila ni kweli shemeji hata siku haijapita ushaanza matamanio,macho yanasema yotee..Shamim jipange dada yangu''

    ReplyDelete
  2. WE NI NOMA
    LOVE YOU DADA

    ReplyDelete
  3. NI kweli kabisa flora hujakosea huyu shemji mmmh na mie naingiwa shaka. Shamim uwe makini.

    ReplyDelete
  4. t b honest shamim kapendeza bt sio sana yan kawaida sana alikuwa kama ameenda kushirik miss tz hata kama ni ndoa yake ya pili. huyo bwna harus sijamuelewa kabisa sijui kadesignwa na Nan. hata kama viatu vyake ni dollar 5000 havijampendeza

    ReplyDelete
  5. inavyoonekana mme huyu ni mzinzi kicheche badal ay kukonsetrate na picha yeye anacheki shoga wa mkewe hahahah ndoa za kibongo noooooooooooooooumaaaaaaaaaaaa

    ReplyDelete
  6. gown la bi harusi baaaaaaya

    mdau mwanza

    ReplyDelete
  7. mhhhhhh!!!!!yatawashinda alikuwa anamuangalia ndugu yake mmoja alikuwa anamsemeshawakati wanapiga hiyo picha cause walikuwa wanapiga picha nyingi nyingiii weee flora na wenzako muuache umbeya

    ReplyDelete
  8. Huyo ni doreen njunwa .hapo a najiona kapata bwanaa

    ReplyDelete
  9. MIE NACHUKIA WANAUME KAMA HAO KWANI MWANAUME AKIKUPENDA AU ASIKUPENDE MIDHALI MPO WOTE BASI AWE ATENTION NA WEWE SHEMEJI KATIA AIBU LOOO FLORA KIBOKO WANASEMA WE MSHAMBA KUMBE MENGI UNAJUA

    ReplyDelete