KITENDA WILI"NYUMBA YANGU NDOGO LAKINI INAENEA WATU WENGI' MBUTA NANGA!!

FLORA LYIMO TZUK

FLORA LYIMO TZUK

FLORA LYIMO TZUK

FLORA LYIMO TZUK

FLORA LYIMO BLOG

FLORA LYIMO BLOG

FLORA

FLORA

FLORA NA RAIS JK

FLORA NA RAIS JK

FLORA NA MH PINDA

FLORA NA MH PINDA

SHINY ,HEALTHY-LOOKING AND GORGEOUS HAIR' WHATSAPP +44 778 7471024

SHINY ,HEALTHY-LOOKING AND GORGEOUS HAIR' WHATSAPP +44 778 7471024

Saturday 22 June 2013

EXCLUSIVE :FLORA LYIMO AFRICAN PRINT'S (VITENGE) KIAFRICA CHETU ZAIDI' PRETTY CUTE OR PRETTY COOL'MBUTA NANGA!!










 Flora Lyimo nikama siyo Mimi vile but yaaaa ni Mimi yule yule ninae waendesha waja wa mujini mbio"
 Sasa hapa unaweza ukajifunga kama Kanga vile na ukapata mtindo mwengine 'yani unachezea vaazi lako upendavyo mwenyewe''

 Kibaridi kikianza kukuingia ikiwa upo Moshi au Arusha unajifunika kama hivi au hata kwa kusafiria kwenye Ndege kama hutaki vile viblanketi vyao basi wewe waringishie na Flora Lyimo full design " watakukomaje!!
 Hapa Muke ya African King kesha pokea pesa yake ana Muwaza Mme wake Mtarajiwa now''mbuta nanga" yani Nguo nilipozipokea na kuanza kuzipiga Picha wakina Azonto walizinunua karibia ya zote'ila zimebakia chace na ninampango wakushonesha nyingi zaidi ya hizi ''wewe ukipenda nipigie anytime or whatsApp + 44 (0) 7787471024
 Happy Flora Lyimo CEO a.k.a Fashion Police Blog" nimetuliaje sasa"

 Vitenge vipo tiyari kwa mauzo ndo hivyo na vyote vimeshonwa kwa mitindo tofauti tofauti"
Flora Lyimo Fashion Designer ,Blogger ,Trade and Fashion Police" Yani hapa namuwazaje Mupenzi yangu 'Ama kweli what is take in Life is Mapenzi ya ukweli na unaeMpenda kama anakuonyesha anakupenda basi hamna budi dakika ipite bila kumuwaza na kulijiwaza yale yote mnayoambiana au unayofanya'' hahaaa" 
Anyway lets me tell you kidogo about mavaazi Dress kama nilivyosomea at London College of Fashion's" Je mlijua hilo 'no 'why ?kwa sababu hakuna mlijualo kunihusu la Ukweli ikiwa sijawaambia Mimi mwenyewe 'kama sasa hivi'' 
Dresses:Dress are often not as easy to fit as separetes,ikiwa you find that you are having to constantly comprise with fit and style of dresses in ready -to wear ,choose garments that are a larger and have the dress altered to fit. A two -piece combination is especially flattering if you have a tummy(kitumbo)si mwajua wengi wetu Vitumbo ni kawaida hivyo ndivyo Uafrica wetu ulivyo 'mbuta nanga' as the top piece when worn out will cover any tummy bulge' na vile vile mwenyewe unakuwa umetulia huna wasi wasi wakujishuku shuku how you look in it all the time. Habari ndo hiyo now dont forget to FOLLOW THIS BLOG!!

No comments:

Post a Comment