KITENDA WILI"NYUMBA YANGU NDOGO LAKINI INAENEA WATU WENGI' MBUTA NANGA!!

FLORA LYIMO TZUK

FLORA LYIMO TZUK

FLORA LYIMO TZUK

FLORA LYIMO TZUK

FLORA LYIMO BLOG

FLORA LYIMO BLOG

FLORA

FLORA

FLORA NA RAIS JK

FLORA NA RAIS JK

FLORA NA MH PINDA

FLORA NA MH PINDA

SHINY ,HEALTHY-LOOKING AND GORGEOUS HAIR' WHATSAPP +44 778 7471024

SHINY ,HEALTHY-LOOKING AND GORGEOUS HAIR' WHATSAPP +44 778 7471024

Friday 19 July 2013

BY FLORA LYIMO~ DAR ES SALAAM TANZANIA OGOPENI WATU HAWA WAWILI '' SHAMIM MWASHA NA FLAVIANNA MATATA" MBUTA NANGA!!

FLORA LYIMO MTANZANIA HALISI AIPENDAE NCHI YAKE KUPITA MAELEZO'
Kwa kusema kweli mimi nimechoshwa sana huko nilikotoka kwenye Blog Mbili leo ambazo mimi huzitembelea baada yakuitwa mle'' na wana Anonymous' 
''ANONYMOUS'' 

Hivi ni kina nani hawa Anonymous haswa ? I mean kama unajiona wewe bingwa au big boy au top in Town kama Flora Lyimo Fashion Police'' kwanini mnakwenda kwenye Blog ya mtu alafu mnaanza kumtukana mtu au watu ambao una drama nao huku ukilificha liuso lako na pia jina lako la Kimburulas? kwanini usisimame na kujionyesha kwamba unamsemea Yeye napia humuogopi ? na nikwanini humtaji jina unajifanya kwamba wewe hutaki kumtaja jina lake'' kama nyie ni watu kweli dhubutuni kujionyesheni wazi kwamba mwamtukana mtu au hawa Wadada Flaviana na Shamim,na wale wengine wote mnaowatukana huku mkijificha na kubakia kama wafu 'vijivu ?nauliza tena  '' kwanini kwenda kujificha kwenye Blogs za watu na kuanza kuwatolea maganda yako ,yenu ,na kwanini msifungue Blogs zenu na pia mkawa Tops in Town kuwapa watu maukweli yao  live bila kuogopa kuwataja majina yao au ikiwa picha siyo lazima ,basi taja jina lake lao nakuonekana una Blog na unasema ukweli ''Be who you say you are and jitokeze au mfuate USO KWA USO nasiyo kama hivi 'kianonymous''
  • BLOGGERS NAFIKIRI SASA IWE NDO WAKATI WETU WAKUTOKUKUBALI MTU ALOWEKA COMMENTS ZA MATUSI BILA KUWA NA PICHA AU JINA ''
    Hata mimi naona nianze kufanya hivi jamani maana naona inakuwa  mbaya mno na kufanya wengine tukasirikiane kibloggers bure'' kwa sababu ya mijitu isotaka kujulikana ni kina nani maana wanayoyasema siyo ya ukweli au ni ya ukweli lakini ni shoga mtu au shogas best Friends hata Family Friends'' Anyway Endelea kusoma hiyo ndo nilikutana nayo kwenye Blog niliyoitwa mle na Anonymous''

    Anonyomous 19 July 2013 at 01:06 |
    Mju huu wa Dar es salaam ogopeni watu wawili Shamim Mwasha na Flavianna Matata. yani sijui hata nani anaemshinda mwenzake. Flavy ni mmbea jamani kile kitoto kioneni vile vile alafu kiko kama Shamim vile vile. Kipo kimya hakiongei utadhani ki mtu cha maana ila kipe nafasi ya kukujua tu kama hakijakuliza. Yani huko New York sijui anafanya kazi saa ngapi huyu binti maana masaa24 yupo kwenye mitandao anatafuta umbea. ukitaka umbea wowote ule wa Dar mtafute Flavianna Matata.

    Alafu kina roho mbaya kile kitoto ndo maana kimekakamaa kama kigonjwa. Yani Shamim and Flavy were meant to be friends. wanafanana kila kitu utadhani walizaliwa familia moja.

    Flavianna Matata kawapiga stop bloggers wote ambao ni rafiki zake wasiweke habari za Happiness Magese. Naamini mtakuwa mmeona hata Millen afanye jambo gani Shamim hawezi kuweka kwenye blog yake wala yule Kiki hawezi kuweka. Na hata huyu Mange wenu alikuwa haweki sababu alikuwaga kwenye lile kundi.
    Flavianna kamzibia Millen kona zote Tanzania asipate publicity. Leo naomba utongee ukweli kama CEO. Huyu Flaviana hiko ki foundation chake mpaka leo kimetoa how much na how much of that cash comes of Flavy's pocket? Millen alikuja Tz this yr alifanya mambo makubwa sana ila hakupata any kind of publicity. Millen alitoa almost 100 million tsh, huyo Flavy wenu alileta ma life jacket ya second hand hayana hata thamani ya milioni 5 alafu mkampamba kona zote im proud of you, im proud of you. wanafki wanakubwa nyie.
    We shamim
    ,MILLEN MAGESE KAKUKOSEA NINI HUTAKI KUMPA SUPPORT MWANAMKE MWEZIO? HUO UGOMVI WAKE WA KITOTO NA FLAVIANNA NDO MUMNYIE SUPPORT MPAKA TANZANIA NZIMA WANASAHAU KAMA MILLEN YUPO WAKATI MILLEN YUPO ANAFANYA BETTER THINGS THAT HUYO KIKOROSHO WENU FLAVIANA?WE KIKI MILLEN KAKUKOSEA NINI HUMUWEKI KWENYE BLOG YAKO?
    ALAFU MNAJIFANYA HAMPENDI UGOMVI MNAMNYANYASA MILLENI KISAIKOLOJIA BILA SABABU YA MAANA. MILLEN KAJA TANZANIA KAENDA HUKO VIJIJINI ANAWEKA PICHA ZAKE INSTAGRAM HATA KUMCOMENTIA KUMWAMBIA HONGERA MNAKAA KIMYA SABABU MNAMWOGOPA FLAVIANA MATATA. WANAWAKE WABAYA SANA NYIE, MNAFICHA MAKUCHA YENU ILA KUNA SIKU MUNGU ATAWAUMBUA.

    NA WE MANGE KWA VILE UMESHAGOMBANA NA HAWA VISEBENGO WA MJINI NAOMBA UMPE SUPPORT MILLEN WATU WAONE MAMBO ANAYOYAFANYA HUKO NY. MILLEN KASOMA FILM SCHOOL NEW YORK VERY EXPENSIVE MILLEN ALIITANGAZA TZ KWENYE MISS NIGERIA ALIVYOHOST NA DBANJ MABLOG YOTE YA AFRICAN WALIWEKA KASORO NYIE WATANZANIA WENZAKE. HATA YULE CHIZI FRESHI SINTA ALIWASHINDA ALIWEKA PICHA ZA MILLEN NA DBANJ. MILLEN ALIPOKUJA TZ KUNDI ZIMA MPAKA YULE BESTI WAKE SOPHIA BYANAKU MUKAMCHUNIA DADA WA WATU HATA KUTOKA NAE DINNER MASKINI YA MUNGU. UTADHANI FLAVIANNA KAWALISHA DAWA. MANGE MLISEMA MKOROFI HAYA MILLEN KAWAKOSEA NINI WAKATI ALIKUWA RAFIKI YENU NAKUMBUKA HATA ILE MISS TZ YA 2 YRS AGO MLIKAA NAE MEZA MOJA SASA HIVI HAMUMTAKI SABABU MMEJITENGA NA FLAVVIANA SHAME ON YOU. YANI KAMA KUNA WASHENZI MJI HUU NI HAWA WANAWAKE.
    DO YOU THING MILLEN WANAKUBANIA PUBLICITY ILA MUNGU ANAONA UNACHOKIFANYA NA SISI WACHACHE TUNAOKU FOLLOW ONLINE TUNAONA KUNA SIKU WATANZANIA WOTE WATAONA.
    MILLEN UMEENDA KUSAIDIA KUJENGA SHULE MTWARA HUKO WATU WANAJIFANYA HAWAONI ILA YALE MAPLASTIC YA ELFU TANO TANO NDO WANASIFIANA ASUBUHI MPAKA JIONI.
    NIMEWACHOKA HAWA WADADA WA MJIINI.HIVI KWANZA WADADA WA MJINI NI TITLE GANI KWENYE MAKAMPUNI?MISHAHARA YAO NI SHINGI NGAPI?

    PART ONE HII'' PART TWO TO COME''
    Kusema Kweli Mimi pia nimejifunza kitu apa'' aisee nitaanza kukizingatia japo mara moja moja'' 
    Flora Lyimo Msema kweli na mnasaji wenu''

No comments:

Post a Comment