MBUTA NANGA!HII BLOG-MAGAZINE INASHUGHULIKA ZAIDI NA YAFUATAYO '' WALE WACHAFUAJI WA SHUGHULINI KAMA VILE HARUSINI WASOFUATA ZILE DRESS CODE' RED CARPET AND ALL OTHER EVENTS 'ALSO YOUR OLD AND NEW PHOTO'S ALL KIND OF NEWS AROUND THE WORLD & FLORA LYIMO TZUK DESIGNS &TRADES'MBUTA NANGA LONDON KARIBUNI AT MY SHOPS CALL /WHATSAP (+ 44)07787471024:EMAIL:flo1974@btinternet.com FOLLOW INSTAGRAM> mbutanangablog or MBUTANANGASTYLE
KITENDA WILI"NYUMBA YANGU NDOGO LAKINI INAENEA WATU WENGI' MBUTA NANGA!!
FLORA LYIMO TZUK
FLORA LYIMO TZUK

KWA URAHISI ZAIDI PATA KILA KITU AMBACHO KIMEPOSTIWA TANGU KUANZISHWA KWA BLOG HII
- April 2017 (1)
- March 2017 (2)
- February 2017 (2)
- January 2017 (15)
- December 2016 (8)
- October 2016 (2)
- September 2016 (9)
- May 2016 (2)
- April 2016 (2)
- March 2016 (1)
- February 2016 (4)
- January 2016 (7)
- December 2015 (10)
- November 2015 (1)
- October 2015 (1)
- September 2015 (2)
- August 2015 (13)
- July 2015 (10)
- June 2015 (12)
- May 2015 (14)
- April 2015 (3)
- March 2015 (11)
- February 2015 (33)
- January 2015 (30)
- December 2014 (36)
- November 2014 (34)
- October 2014 (29)
- September 2014 (12)
- August 2014 (56)
- July 2014 (49)
- June 2014 (76)
- May 2014 (81)
- April 2014 (73)
- March 2014 (48)
- February 2014 (39)
- January 2014 (35)
- December 2013 (81)
- November 2013 (86)
- October 2013 (112)
- September 2013 (91)
- August 2013 (119)
- July 2013 (112)
- June 2013 (124)
- May 2013 (91)
- April 2013 (119)
- March 2013 (128)
- February 2013 (119)
- January 2013 (71)
- December 2012 (1)
- November 2012 (53)
- October 2012 (76)
- September 2012 (120)
- August 2012 (58)
- July 2012 (74)
- June 2012 (109)
- May 2012 (127)
- April 2012 (140)
- March 2012 (112)
- February 2012 (214)
- January 2012 (98)
- December 2011 (168)
- November 2011 (108)
- October 2011 (107)
- September 2011 (127)
- August 2011 (225)
- July 2011 (270)
- June 2011 (218)
- May 2011 (226)
- April 2011 (208)
- March 2011 (188)
- February 2011 (94)
- January 2011 (114)
FLORA LYIMO BLOG
FLORA

FLORA NA RAIS JK

FLORA NA MH PINDA
SHINY ,HEALTHY-LOOKING AND GORGEOUS HAIR' WHATSAPP +44 778 7471024
Subscribe to:
Post Comments (Atom)
Alafu kina roho mbaya kile kitoto ndo maana kimekakamaa kama kigonjwa. Yani Shamim and Flavy were meant to be friends. wanafanana kila kitu utadhani walizaliwa familia moja.
Flavianna Matata kawapiga stop bloggers wote ambao ni rafiki zake wasiweke habari za Happiness Magese. Naamini mtakuwa mmeona hata Millen afanye jambo gani Shamim hawezi kuweka kwenye blog yake wala yule Kiki hawezi kuweka. Na hata huyu Mange wenu alikuwa haweki sababu alikuwaga kwenye lile kundi.
Flavianna kamzibia Millen kona zote Tanzania asipate publicity. Leo naomba utongee ukweli kama CEO. Huyu Flaviana hiko ki foundation chake mpaka leo kimetoa how much na how much of that cash comes of Flavy's pocket? Millen alikuja Tz this yr alifanya mambo makubwa sana ila hakupata any kind of publicity. Millen alitoa almost 100 million tsh, huyo Flavy wenu alileta ma life jacket ya second hand hayana hata thamani ya milioni 5 alafu mkampamba kona zote im proud of you, im proud of you. wanafki wanakubwa nyie.
We shamim ,MILLEN MAGESE KAKUKOSEA NINI HUTAKI KUMPA SUPPORT MWANAMKE MWEZIO? HUO UGOMVI WAKE WA KITOTO NA FLAVIANNA NDO MUMNYIE SUPPORT MPAKA TANZANIA NZIMA WANASAHAU KAMA MILLEN YUPO WAKATI MILLEN YUPO ANAFANYA BETTER THINGS THAT HUYO KIKOROSHO WENU FLAVIANA?WE KIKI MILLEN KAKUKOSEA NINI HUMUWEKI KWENYE BLOG YAKO?
ALAFU MNAJIFANYA HAMPENDI UGOMVI MNAMNYANYASA MILLENI KISAIKOLOJIA BILA SABABU YA MAANA. MILLEN KAJA TANZANIA KAENDA HUKO VIJIJINI ANAWEKA PICHA ZAKE INSTAGRAM HATA KUMCOMENTIA KUMWAMBIA HONGERA MNAKAA KIMYA SABABU MNAMWOGOPA FLAVIANA MATATA. WANAWAKE WABAYA SANA NYIE, MNAFICHA MAKUCHA YENU ILA KUNA SIKU MUNGU ATAWAUMBUA.
NA WE MANGE KWA VILE UMESHAGOMBANA NA HAWA VISEBENGO WA MJINI NAOMBA UMPE SUPPORT MILLEN WATU WAONE MAMBO ANAYOYAFANYA HUKO NY. MILLEN KASOMA FILM SCHOOL NEW YORK VERY EXPENSIVE MILLEN ALIITANGAZA TZ KWENYE MISS NIGERIA ALIVYOHOST NA DBANJ MABLOG YOTE YA AFRICAN WALIWEKA KASORO NYIE WATANZANIA WENZAKE. HATA YULE CHIZI FRESHI SINTA ALIWASHINDA ALIWEKA PICHA ZA MILLEN NA DBANJ. MILLEN ALIPOKUJA TZ KUNDI ZIMA MPAKA YULE BESTI WAKE SOPHIA BYANAKU MUKAMCHUNIA DADA WA WATU HATA KUTOKA NAE DINNER MASKINI YA MUNGU. UTADHANI FLAVIANNA KAWALISHA DAWA. MANGE MLISEMA MKOROFI HAYA MILLEN KAWAKOSEA NINI WAKATI ALIKUWA RAFIKI YENU NAKUMBUKA HATA ILE MISS TZ YA 2 YRS AGO MLIKAA NAE MEZA MOJA SASA HIVI HAMUMTAKI SABABU MMEJITENGA NA FLAVVIANA SHAME ON YOU. YANI KAMA KUNA WASHENZI MJI HUU NI HAWA WANAWAKE.
DO YOU THING MILLEN WANAKUBANIA PUBLICITY ILA MUNGU ANAONA UNACHOKIFANYA NA SISI WACHACHE TUNAOKU FOLLOW ONLINE TUNAONA KUNA SIKU WATANZANIA WOTE WATAONA.
MILLEN UMEENDA KUSAIDIA KUJENGA SHULE MTWARA HUKO WATU WANAJIFANYA HAWAONI ILA YALE MAPLASTIC YA ELFU TANO TANO NDO WANASIFIANA ASUBUHI MPAKA JIONI.
NIMEWACHOKA HAWA WADADA WA MJIINI.HIVI KWANZA WADADA WA MJINI NI TITLE GANI KWENYE MAKAMPUNI?MISHAHARA YAO NI SHINGI NGAPI?
PART ONE HII'' PART TWO TO COME''
Kusema Kweli Mimi pia nimejifunza kitu apa'' aisee nitaanza kukizingatia japo mara moja moja''
Flora Lyimo Msema kweli na mnasaji wenu''