KITENDA WILI"NYUMBA YANGU NDOGO LAKINI INAENEA WATU WENGI' MBUTA NANGA!!

FLORA LYIMO TZUK

FLORA LYIMO TZUK

FLORA LYIMO TZUK

FLORA LYIMO TZUK

FLORA LYIMO BLOG

FLORA LYIMO BLOG

FLORA

FLORA

FLORA NA RAIS JK

FLORA NA RAIS JK

FLORA NA MH PINDA

FLORA NA MH PINDA

SHINY ,HEALTHY-LOOKING AND GORGEOUS HAIR' WHATSAPP +44 778 7471024

SHINY ,HEALTHY-LOOKING AND GORGEOUS HAIR' WHATSAPP +44 778 7471024

Sunday 7 July 2013

BY FLORA LYIMO ' THE KISS THAT AMY ANGEPENDA FOR SURE'' FLORA LYIMO MEET AMY WINEHOUSE DAD '' AND WALIAMBIANA NINI''MBUTA NANGA""

ENJOY THE SONG ''PIA MUOMBEE OUR LOVELY AMY WINEHOUSE R.I.P. AMEN'' WE LOVE YOU SO MUCH AMY'' 
 The Kiss From Flora Lyimo to Amy's Father 'Just for Amy Winehouse to a Super Dad'' Yani najua mapenzi yao yalivyokuwa na hata baada ya kukaa na Baba yake jana nakumzungumzia was just a Story that say it all'' She was just a Dad's Girl'' R.I.P. Amy '' Ulikufa but your Music and your Love will never die '' 
 The Proud Father Mr Mitch Winehouse ''jamani huyu Baba Amy 'He is a very nice Man Caring and Loving ''wanaosema anaongea vibaya na ana mazarau mtajibeba'' 

 Proud Moment ''nilitamani kumsalimia Shikamoo Baba'' na kumuambia hivi ndivyo tunavyosalimia Kule kwetu Moshi Tanzania'' But tulicheka tu na kuniambia kuhusu Nyerere na Mlima Kilimanjaro'' so nikamkaribisha Moshi kula Machalari na Kunywa Kisusio''Mbuta Nanga" Pole sana kwa kumpoteza Mwanao kipenzi cha Moyo wako Baba Amy''
AND HERE WE ARE THE TEAM AMY WINEHOUSE IMEKAMILIKA''
Kama mnavyojua huu mwezi ni mwezi wa Amy wetu ambae alikutwa Kafariki Nyumbani kwake hapa London mwezi wa saba mwaka elfu mbili na kumi na moja'' R.I.P. Amy Winehouse'' 

1 comment:

  1. Mbuta Nanga,kweli wewe ni wa matawi ..na una moyo wa malaika haswa'' thank you kwa kutusaidia mama hunijui na sijawahi kuniona ila flora umenisaidia sana kwa mkopo wako ..jamani kwanini umeacha....mimi nipo tiyari kufanya kazi na wewe'' biashara yako yakutukopesha mikoba tuuze tukurudishie pesa baadae flora iliniinua sana mimi na wanangu...Mungu azidi kukubariki wewe wachana na yule mange ni mtu mwenye wivu sana..hivi hujawahi kujiuliza yeye ni mke wa mzungu kesha fanya nini kwenye jamii zaidi ya kwenda kutafuta pesa kupitia watoto yatima' wewe ukae majuu bado unahanya hanya na mabox'' kiruuuuuuuuuuuuu'''

    ReplyDelete