KITENDA WILI"NYUMBA YANGU NDOGO LAKINI INAENEA WATU WENGI' MBUTA NANGA!!

FLORA LYIMO TZUK

FLORA LYIMO TZUK

FLORA LYIMO TZUK

FLORA LYIMO TZUK

FLORA LYIMO BLOG

FLORA LYIMO BLOG

FLORA

FLORA

FLORA NA RAIS JK

FLORA NA RAIS JK

FLORA NA MH PINDA

FLORA NA MH PINDA

SHINY ,HEALTHY-LOOKING AND GORGEOUS HAIR' WHATSAPP +44 778 7471024

SHINY ,HEALTHY-LOOKING AND GORGEOUS HAIR' WHATSAPP +44 778 7471024

Thursday 25 July 2013

BY FLORA LYIMO~SORRY BUT ~THE NEW PRINCE GEORGE GOT AFRICAN LOOK ''MTOTO WA KATE AND WILLIAM AMEFANANA SANA NA ANDREW CHALE OF TANZANIA''JUST TAKE A CLOSE LOOK OF PICHA ZAO HAPA''MBUTA NANGA!!


 Hebu watizameni hapa walivyofanana HASA PUA'' THE NOSE''' Lets forget about Rangi zao ''tutizameni the look peke yake''and I cant wait to see the Photo's of the New Prince George of Cambridge day by day''

 Hakikisha humuangishi Mwanangu yani Hapa ukimwangusha tu'''Dunia itawakaje Moto'Mbuta Nanga''
 Aisee Hongera sana kwa kumpata Pacha wako dear' Tena Mtoto wa Kiufalme''' Mtoto mmefanana sana,ama kweli Duniani lazima kila Mtu ana Mtuwe'''
 Yani huyo Mtoto Pua ndizo zimeniacha Hoi'''Full African Pua kabisa''and Yes kama pua ya Andrew Chale'''pole but Yah Ukweli lazima muambiwe na your Flora Lyimo Fashion Police''Mbuta Nanga""
 Yani wewe tizama tena na tena alafu utaniambia kama nimekosea ''yani 100% Lookalike kasoro Rangi tu''



The King George 'lookalike ''Andrew Chale mwenyewe hapa mmemuona eee''Yani mimi yangu macho sasa nitakuwa nawawekeeni Picha zao hapa hapa na muendelee kuwaona wanaofanana bila Rangi zao za ngozi''but kwa mtizamo wao na hasa kwenye PUA zao '''
Sema yako Nyota zangu ''AGREE OR NOT'''' Yani unaweza kusema unachotaka ''pengine hata anaweza kufanana na wewe apo au unaweza kuwa na Mwingine wakufanana nae pia'' FLFP''

4 comments:

  1. Agree 'mbuta nanga'' unamacho mazuri kweli flora'''

    ReplyDelete
  2. hahahahahaa..dah..madam Frola nimechekaje...umeamua kuwa comedian ama? ila kama kuna kaukweli vile..kwa kweli pua ya huyu royal baby ni ya kibantu..mbuta nanga!!!!

    ReplyDelete
  3. Hhahahaa UMEONA EEE,,Yani walipomtoa mtoto wao nnje kwa mara ya kwanza na kumuona live kwa mara ya kwanza on TV,,Nilisema Yesu Mbuta Nanga'' mbona mtoto kafanana na Mwaafrica,,yani Hiyo pua tu..ndo Mwaafrican halisi..Chezea pacha yake Andrew Chale ''weweeee''hahhahaaa'' BLESS THE BABY NA PACHA WAKE'''NA BILA KUWASAHAU WAZAZI WAKE..THE ROYAL'''

    ReplyDelete