KITENDA WILI"NYUMBA YANGU NDOGO LAKINI INAENEA WATU WENGI' MBUTA NANGA!!

FLORA LYIMO TZUK

FLORA LYIMO TZUK

FLORA LYIMO TZUK

FLORA LYIMO TZUK

FLORA LYIMO BLOG

FLORA LYIMO BLOG

FLORA

FLORA

FLORA NA RAIS JK

FLORA NA RAIS JK

FLORA NA MH PINDA

FLORA NA MH PINDA

SHINY ,HEALTHY-LOOKING AND GORGEOUS HAIR' WHATSAPP +44 778 7471024

SHINY ,HEALTHY-LOOKING AND GORGEOUS HAIR' WHATSAPP +44 778 7471024

Monday 26 August 2013

BY : FLORA LYIMO ~ BREAKING NEWS KUTOKA KWA ANONYMOUS'' ETI NI KWELI SINTAH aka Sintah.com'' ANA MIMBA YA YULE THE BIG MBURULA WA MAMBURULAS??? YANI NI MAJANGAAA''MBUTA NANGA!!


FLORA LYIMO MTANZANIA ALISI AIPENDAE NCHI YAKE KUPITA  MAELEZO"
Nyota zangu natumani hamjambo pamoja wa Watanzania wote na Bila kusahau WOTE kwa ujumla Hamjambo'' Sasa leo Mimi bado naendelea kujiuliza hawa KINA ANONYMOUS NI KINA NANI HASWAA''YANI NI VIJIDUDUKOPO GANI HASWAA'' Maana wanavyojua kutangaza Mapochopocho ya Mijini hasa ya Kina wale nipande nikupandie ni nomaaa'''' Hhahaaaa'' Yani mimi huwa wanakuja hapa kwenye My Blog na Kwenye WhatsApp na Kwenya Email Yangu na wanayonipasha na kuniachia mpaka mapicha ni nomaa'' Ila mimi siku izi maana nishawastukia''huwa nawatembelea wahusika nikifanya mauchunguzi yangu alafu nikipata  maukweli au hata Dalili ndiyo nawarushieni au nisipopata kabisa nawaulizeni ili na wahusika wajionee watuambie yao'' Sasa baada ya kuambiwa kwamba Sintah ana mimba na mimba ni ya huyu alonae Pichani 'nimebakia nikishangaa''alafu nikasema Why not'' Mimba siyo kitu cha kuacha kumpongeza Mtu ''kwani Hicho ni Kitu Kizuri sana kwa Alie Ibeba na alie Mbebesha''na Pia yakiwa ni Mapenzi ya Mungu yakumtukuza sana'' sasa kama ni kweli My dears'' I wish nyie All the Best '' hasa Sintah ''maana sina Baya nae na ningependa siku Moja nimuone Face to Face maana ni Mdada anaependa kujishughulisha Kikazi hasa Kibiashara za Halali'' so Habari ndo Hiyo'' Kutoka kwa Anonymous''Je ni kweli ??jamani kina Anonymous ni kina nani haswaa''


nipo na baba yenu
Flora Lyimo Fashion Police>Kama nilivyo kwenda kumchungulia kujua kama ni kweli niloambiwa ndo nikakutana nao Pichani hapa na Sintah ndo muandikaji Mwenyewe''sasa hapo sijajua anaimanisha nini ? 
NIPO NA BABA YENU? Hiyo Mimba au ? 
Mbuta Nanga''Majangaaaaaaa"

No comments:

Post a Comment