KITENDA WILI"NYUMBA YANGU NDOGO LAKINI INAENEA WATU WENGI' MBUTA NANGA!!

FLORA LYIMO TZUK

FLORA LYIMO TZUK

FLORA LYIMO TZUK

FLORA LYIMO TZUK

FLORA LYIMO BLOG

FLORA LYIMO BLOG

FLORA

FLORA

FLORA NA RAIS JK

FLORA NA RAIS JK

FLORA NA MH PINDA

FLORA NA MH PINDA

SHINY ,HEALTHY-LOOKING AND GORGEOUS HAIR' WHATSAPP +44 778 7471024

SHINY ,HEALTHY-LOOKING AND GORGEOUS HAIR' WHATSAPP +44 778 7471024

Friday 9 August 2013

BY :FLORA LYIMO~ THE GIRLS ARE COMING HOME TONIGHT'' NA HII NI KWA MHESHIMIWA RAIS OUR TANZANIA PRESIDENT JAKAYA KIKWETE'' MAONI YA FLORA LYIMO KUHUSU UMWAGIAJI WA TINDIKALI KWA WATALII NA WANANCHI WA TANZANIA KWA UJUMLA !!

FLORA LYIMO MTANZANIA ALISI AIPENDAE NCHI YAKE KUPITA MAELEZO"
Jamani Watanzania wenzangu Mimi Binausi hili Jambo na mtindo Mpya wakuwamwagia watu TINDIKALI' Umekasirisha sana na kushindwa hata na lakusema'' Hasa ninapoona jinsi hawa Wasichana hapa Pichani walivyo Rushiwa hiyo Tindikali bila sababu yoyote'' wamechomeka nayo bimbaya mno''God knows maumivu wanayoyasikia'Na hata kama kuna sababu yoyote ni Mwiko kabisa kumtendea Binadam hata Mnyama hivi'' 
''REWARD'
Pesa ndefu hiyo imeshatolewa wazi '£4,000 Pound ambazo na hisi ni  Tanzania Shillingi 10,000,000 Kwa yeyete ambae atakae wataja na kuwafanikisha Police in Zanzibar kuwakamata hao
'' 
Dirt Rats 'Anonymous Madudukopoko'' Mimi naamini kwamba hao watu wanafamilia zao na vile vile marafiki au Mtu wao wakaribu ambae anawajua wamefanya maafa haya na pia itakuwa wamefanyia na wengine au ikiwa hawata tajwa na kuhakikisha wamechukuliwa hatua za Kisheria tena kali mno ''watatuharibia Uchumi wa Nchi yetu Moja kwa moja na hata kutoishi kwa Amani kwetu sisi Watanzania  weyewe na  hasa kwenye Visiwa vya Zanzibar ''Hatuhitaji Ukabila,Udini  wala Siasa za Ki MBURULA ' Hawa ni baadhi ya Mamburulas hata Shule yawezekana wamekwenda lakini  ni MBURULAS... na dawa yao ni kifungo cha maisha''
 KWA RAIS WETU WA JAMHURI YA MUUNGANO WA TANZANIA''

Pichani ni Rais Jakaya Kikwete alipokwenda Hospitalini  kuwatembelea Wale Wasichana waliomwagiwa ile Tindikali''
Kwanza napenda kukupongeza sana kwa wewe Mwenyewe kuweza kuacha Shughuli zako zote na kuweza kufika Hopsitalini walipokuwa wanapatiwa matibabu wale Wasichana walio mwagiwa tindikali in Zanzibar 'kwa kusema kweli  hivyo umeonyesha picha nzuri sana kwa Waingereza na pia Dunia nzima kwa Ujumla'' Kwamba Unajali na Tunajali''
Thank you and
WELDONE RAIS WETU''
Mimi naona chakufanya sasa Mheshimiwa Rais 'Ni kupitisha Sherea kali ''(kama hii ipo tiyari sijui)'' Ila SHERIA KALI 'KWA YOYOTE ATAKAE KAMATWA NA TINDIKALI 'KUFUNGWA JELA KIFUNGO CHA MAISHA'' NA HAKUNA CHA NINI WALA NINI'' NA HII NI KWA YOYOTE'' UWE UMEMRUSHIA MTU ''AU LA''  YANI UKISHIKWA NAYO TU' JUA UNAKULA KIFUNGO SHA MAISHA JELA''
 Mheshimiwa Rais ' Haya ndiyo Mambo Mimi mwenyewe naona yanaivaamia Nchi yetu Tanzania na Visiwa vyake '' na Vinatia aibu Nchi yetu na vile vile visipo shughulikiwa haraka iwezekanavyo kwa vikali ,vitaangamiza Uchumi wa Nchi yetu Tanzania na hasa kuonyesha picha mbaya Mno kwenye Mataifa mengine Duniani hasa yale ambayo yapo Sambamba na Misaada ya aina yoyote Nchini Tanzania' 
Mheshimiwa Rais '' Vitu hivyo ndivyo hivi hapa' 
(1) Umwagiaji wa Tindikali kwa Wananchi na sasa kwa Watalii''
(2) Madawa ya kulevya hasa kwa Vijana wadogo wengi wao wakiwepo Wanawake tena Wasichana  wadogo' Na wanaowatuma kuwatumia tushaona wakiwataja baadhi ya Viongozi na Watu maarufu Nchini ''kama Wabunge wanahusika basi Nchi yetu inaelekea kubaya MNO''
(3) Ubakaji (RAPE) Na unyanyasaji wa Wanawake' wengi wao pia wakiwa ni Viongozi ambao hata kwenye Mabunge wao ni wakwanza kusimama na kujifanya kwamba wanawajali Kina Mama'' Kumbe wapi' Nyumbani wamewaacha wanalia machozi ya Bahari na Hata majeruhi na upotezaji wa Vichanga vyao''
(4) Mabom kurushwa mikutanoni ovyo 'tumeona jinsi tulivyo wapozete Ndugu zetu Watanzania kule Arusha ambao hawakuhitaji kuwa maiti hadi sasa hivi ungekuta tunao ikiwa hayakufanyika au kupewa nafasi kufanyika'' mikutano bila Ulinzi wakutosha na wenye uhakika Nchini''

Mimi kwa leo ni hayo tu ambayo naona ni kero kubwa na GONJWA ambalo limejitokeza kwa kasi sasa hivi na linaendelea kujisambaza na kuiweka Nchi yetu kwenye Mistari mibaya na ya kutisha mno''
''Is such a  Shame to see Nchi yetu  katika hali hii ,tunatakiwa kushirikiana pamoja na kuhakikisha Hivi vitu vimetokomea kabisa'' kama ni Majela yakuwafungia humo for LIFE hakuna basi tuchimbeni mashimo tuwafunikie huko for LIFE'' Uwii jamani naandika hapa na nina hasira sana mtanisamehe ikiwa hata kuna maneno ambayo nimeandika bila kueleweka au kuleta maana zingine''
IM JUST SO SO UPSET AND FELL SHAMEFUL' THIS IS NOTHING BUT A SHAME TO OUR  LOVELY COUNTRY TANZANIA'' 
God Bless 'And nawaombea hawa Wasichana Warudi Home salama na kupona haraka na Vile vile wale wa kwetu hapo Tanzania walio mwagiwa Hii Tindikali pia'' ANDA TAFADHALINI PESA NDEFU NDO HIYO ''MTAJE SASA HIVI NA WALA HUNAHAJA YA WEWE KUJULIKANA NA ULIMWENGU UMEWATAJA'' POLICE TU NDO WATAKAO KUJUA UMEWATAJA NA KUKUPA WEWE HIYO PESA NDEFU'' FANYA FASTA TAFADHALI ''SAIDIA NCHI YAKO 'TUSIJE JIKUTA TUKINYA  NA KULA TULIYOKUNYA'' HATUWEZI KUISHI BILA UTALII NCHINI ''TUNAWAHITAJI NA PIA TUNAHITAJI SIFA NZURI KWA MATAIFA YOTE YANAYOENDELEA''
Anyway hayo ni Maoni yangu ' na wewe pia acha yako hapa hapa Bila kuogopa 'HABARI ZITAMFIKIA RAIS NA WAHUSIKA IN TANZANIA' 
Flora Lyimo''

'Beyond imagination': Katie Gee suffered horrific burns, described as beyond imagination by her father, in the acid attackKatie Gee, left, were injured when the corrosive liquid was thrown onto their faces and chests
'Beyond imagination': Katie Gee, left, suffered horrific burns, which her father described as 'beyond imagination' from the acid attack which resulted in horrific burns to one of the girl's face and neck, right' 
Sasa hebu oneni '' Ni unyama gani huu''Ruwa Mangi '' Nawaombea wapone na kurudia hali yao yakawaida waliyokuwa nayo kabla yakumwagiwa hii tindikali' Bless you Girls''

WAKIWASUBIRIA WAWASILI NYUMBANI IN LONDON'

It was the third attack on them during their stay on the island.
Police have revealed that five suspects were detained on Thursday and in the early hours of this morning in the capital Stone Town, where Kirstie Trup and Katie Gee were attacked, a senior officer told The Telegraph.
And a £4,000 reward is now being offered by Zanzibar police for information leading to the capture of attackers, according to the BBC.
Police have also issued a warrant for the arrest of Islamist preacher Sheikh Issa Ponda Issa, amid suggestions his teaching could have inspired the acid attacks.
Friends suggested they could have been targeted because they are Jewish, and local police said they wanted to speak to a radical Islamic preacher who could have inspired the attack.
Arriving in a black Audi at the air base this morning Katie's concerned mum Nicky opened spoke of the the families' ordeal.
Speaking as they were about to drive into the base, she said: 'I am worried sick. It has been a terrible ordeal for the families. I am just glad she is home. I want to get inside and see her.
'We spoke this morning and she said she was ok. I don't know what's going on at all.
'I can't say anymore because we have to get in to see them both.'
Two crews from St John's Ambulance arrived at the Middlesex military base, which also handles private flights, at around 10am this morning.
A paramedic, who wouldn't give his name, confirmed the crews had come to pick up the teens.
He said: 'We are here to pick up the two girls.'

He refused to say if they were going home or straight to hospital.

TUMESHIRIKIANA NA KUCHAMBUA KUTOKA DM''


No comments:

Post a Comment