KITENDA WILI"NYUMBA YANGU NDOGO LAKINI INAENEA WATU WENGI' MBUTA NANGA!!

FLORA LYIMO TZUK

FLORA LYIMO TZUK

FLORA LYIMO TZUK

FLORA LYIMO TZUK

FLORA LYIMO BLOG

FLORA LYIMO BLOG

FLORA

FLORA

FLORA NA RAIS JK

FLORA NA RAIS JK

FLORA NA MH PINDA

FLORA NA MH PINDA

SHINY ,HEALTHY-LOOKING AND GORGEOUS HAIR' WHATSAPP +44 778 7471024

SHINY ,HEALTHY-LOOKING AND GORGEOUS HAIR' WHATSAPP +44 778 7471024

Friday 9 August 2013

BY :FLORA LYIMO~ HII NI KWA WALE MNAODANGANYWA NA MNAKUBALIA BILA HATA KUCHAMBUA UKWELI WA JAMBO'' NIKIKUAMBIA YOUR FLORA LYIMO FASHION POLICE SHE IS NOW WORKING HAPA KWENYE HII LLOYDS BANK IN UK LONDON 'SIUTAKUBALI EE' MBUTA NANGA''

 FLORA LYIMO AT HER LONDON HOME'' LAZIMA NIJIPIGE PICHA KIBAO ALAFU NDO NIONDEKE KUELEKEA NAKOTAKA KWENDA''CHEZEA MPENDA PICHA NYIE '''

 MY NATURAL HAIR ''NAZIPENDAJE SASA '' YANI NACHEZAJE NAZO KABLA HAM KUNIISHA NIANZE KUTAFUTANA NA VIBANDIKO'' YOU KNOW SIYO MBAYA KUJICHEZEA NA VILIVYOUUBWA NA KUUMBIKA''
 Hii ni Barabara Kuu yakuingia Kitongojo cha Mitaa mitaa ya Mji Mkuu wa Uingereza London Mji wa Mapesa ya Ukwee Ulimwenguni Na penye maofisi makubwa makubwa ya wanaojua nini maana ya Pesa''
 My First Bank kunipa Card ya Benki nilipoajiriwa kazi yangu ya kwanza ambayo niyakulipwa moja kwa moja kwenye Bank 'Yani hawaruhusiwi kumlipa mtu pesa bila kupitia kwenye Bank yake Mwenyewe '' Waingereza wajanjaje'' Hiyo yote nikuwanasa wale wanaofanya kazi za Magendo na kutokulipa Ushuru wa Serekali''

 Huu Mjengo mwauonaje jamani Mzuriiii'''Naupenda na nawapenda wafanyakazi wake yani Tangu niwe nao sijataka kubadilisha Bank wala huwa sipendagi kwenda kwenye mabranchi mengine''Mtu chake eee'' hii ni my Branchi  Katikati ya Mjini haswaa ''



 Karibu Mteja 'Tupo kukuhudumia Wewe na Pesa yako ni Muhim kwetu'' Karibu Flora Lyimo''
 Nikiwa Nnje ya Bank yangu ''yani I love LIoyds TSB Bank ''
 Nikiwa ndani nimepishwa Ofisini ''hahhaaa'' nikiongea na Meneja wangu yani mpaka meneja wako unapewa na ndiyo yeye tu ''wakuongea nae wengine hawawezi au hawanaruksa yakunishauri chochote 'na pia hawapo hapa ndani wao wapo Nnje ya Mji''
 Hapo sasa'' Utajua Flora Lyimo yupo hapa'''Mchagga na Vitu vyake vya Muhim ambavyo hatoki Home bila kuwanavyo''

 Siutadhani nipo Job eee'''hahhaaaa''sipo job jamani ninahudumiwa kwa Pesa zangu Kisim zaidi''

I love my New Phone'' Samsung GALAXY S 4'' by the way ''did you know'' Galaxy is an extremely large group of Stars and  planets that extends over many billions of light years.'' Also the planet to which the Earth and Solar System belong'' Habari ndo hiyo''ijue Galaxy 'mbuta nanga!!


HABARI NDO HIYOOO...MSIDANGANYIKE KWA PICHA IKIWA MTU MWENEYWE HAWAAMBIENI UKWELI KAMA MSEMA KWELI WENU HAPA 'FLORA LYIMO FASHION POLICE''
ENJOY YOUR EID MY FRENDS''

No comments:

Post a Comment