KITENDA WILI"NYUMBA YANGU NDOGO LAKINI INAENEA WATU WENGI' MBUTA NANGA!!

FLORA LYIMO TZUK

FLORA LYIMO TZUK

FLORA LYIMO TZUK

FLORA LYIMO TZUK

FLORA LYIMO BLOG

FLORA LYIMO BLOG

FLORA

FLORA

FLORA NA RAIS JK

FLORA NA RAIS JK

FLORA NA MH PINDA

FLORA NA MH PINDA

SHINY ,HEALTHY-LOOKING AND GORGEOUS HAIR' WHATSAPP +44 778 7471024

SHINY ,HEALTHY-LOOKING AND GORGEOUS HAIR' WHATSAPP +44 778 7471024

Sunday 4 August 2013

BY~ FLORA LYIMO ~ MBUTA NANGA'' MORGAN APIGA MAYOWE NA MKONO KICHWANI MZEE MUGABE ALIPOSHINDA ( IBA ) KURA NA KUONGOZA ZIMBABWE KWA MARA YA SABA''WHAT'S A LUCKY NUMBER!!

Chezea Mzee Mugabe wewe''a.k.a. The African King akuache kwenye mataa''nakawaachaje''
Zimbabwe election officials said this afternoon that Mugabe, 89, won the presidential election with 61 per cent of the vote, compared to 33 per cent for challenger Morgan Tsvangirai.
The result infuriated Tsvangirai, who claimed the election had been stolen by Mugabe's Zanu-PF and claimed it was a ‘huge farce’ and ‘null and void’.
He said the result had plunged the country into a constitutional crisis, saying his MDC party would no longer deal with Zanu-PF.
His party vowed to ‘exhaust all legal remedies’ to overturn Mugabe’s landslide  victory and claimed that electoral rolls contained thousands of fake names and that many MDC voters had been prevented from registering.
Sad 'Aloibiwa kura uso ushasema yote kabla hata ya matokeo '' Morgan Tsvangirai''Akifanya yake''mwisho wa siku matokeo hayayakubali kabisaa'''
 Mti wenye matundaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaa' mbuta nanga''
 Mtu na Mkewe hapa Mkewe ampa kafuraha kaweza to smile with that smile stay'Morgani Polee ...Mwawaona eee'' Siyo mbaya kujiweka kwenye mistari ya Urais na je unapatikanaje Over night or over many many years to come""Ruwa Mangi''
 The African King Rober Mugabe akiwa na Mkewe na Mwanae 'kabla ya habari njema ya kuongoza Nchi yake tena kwa hivi sasa ni Mara ya Saba'what a luck number eee'' Anyway mimi sioni kama kuna haja yakuitishwa kwa Muchaguzi wa Rais kwenye hii Nchi ya Zimbabwe''kwani Mzee kesha iowa for Life''tena kaowa kihalali ni mpaka Kifo ndicho kitakacho mshusha Uraisini 'Ukiowa unaowa for Life''Mbuta Nanga''
 Akilalamika 'Wewe Mzee umeiba Kura zangu na za Wananchi ambao unajua wazi kwamba wamekuchoka''
Government: Morgan Tsvangirai also said his MDC party would no longer deal with Zanu-PF
                     
                               DUNIA YAJIBU NA (UINGEREZA) YA KWANZA''
Hague this evening also expressed concern over the election, which has been plagued by claims of widespread fraud and vote-rigging.
In a statement released by the Foreign Office, Mr Hague said: 'People around the world are watching events in Zimbabwe, following the announcement by the Zimbabwean Electoral Commission that President Mugabe has won the presidential elections, as well as the indications of possible legal challenges.


'I commend the people of Zimbabwe on holding peaceful elections. However we have grave concerns over the conduct of the election.
'The preliminary statements of the African Union (AU) and Southern African Development Community (SADC) observation missions, and those of the domestic observer groups, have outlined many of these significant concerns, and I hope that their final assessments of the elections will take into account the full impact of these irregularities on the outcome.'
 Alivyopiga mayowe na mkono kichwani ''Kyeleuwiii Waka na Wasoro''' Kura zote zimeibiwa na Mzee tena sasa nifanyeje ''Mimi naomba mnisaidia ''Walimwengu mpooo'''mbuta nanga'' wapo wakina Amerika na Uingereza'''
Wapiga kura wakionekana wenye huzuni na huku wakiwa wamejifunika kwa mablanketi na makoti ya hali ya juu kwani huko sasa kuna baridi 'siyo kama Africa utadhani wapo Majuu'''Ruwa Mangi''Poleni sana ikiwa siyo Majibu mlokuja kupigiwa baridi hivi ''Ruwa Mangi'' Mnyonge Mnyongeni haki yake mpeni'''

No comments:

Post a Comment