KITENDA WILI"NYUMBA YANGU NDOGO LAKINI INAENEA WATU WENGI' MBUTA NANGA!!

FLORA LYIMO TZUK

FLORA LYIMO TZUK

FLORA LYIMO TZUK

FLORA LYIMO TZUK

FLORA LYIMO BLOG

FLORA LYIMO BLOG

FLORA

FLORA

FLORA NA RAIS JK

FLORA NA RAIS JK

FLORA NA MH PINDA

FLORA NA MH PINDA

SHINY ,HEALTHY-LOOKING AND GORGEOUS HAIR' WHATSAPP +44 778 7471024

SHINY ,HEALTHY-LOOKING AND GORGEOUS HAIR' WHATSAPP +44 778 7471024

Sunday 4 August 2013

BY FLORA LYIMO~ IT'S A GIRL!! ITIKA SODOKA AWAFUNULIA ANONYMOUS'' FLORA LYIMO /MBUTA NANGA''AJIULIZA HIVI NI KWELI MSEMO ULE USEMAO HAKUNA MOSHI BILA MOTO"


  1. FLORA LYIMO MTAZANIA HALISI AIPENDAE NCHI YAKE KUPITA MAELEZO''
    KWANZA KABISA NAPENDA KUMPONGEZA ITIKA KWA KUZAA MWANAE KIPENZI 'HONGERA SANA ''
    Sasa basi twende moja kwa moja kwenye my topic hasa kuwahusu hawa ANONYMOUS''nauliza tena ni Vijidudukopo vya aina gani ? yani nadhani weni mmesoma kwenye mitandao hasa Blog Fulani ambayo ndo imebeba Mistari mizito mizito ya majina ya watu in full ambayo yanawasemea mazito yasokatwa na chochote na kukatika wala kuchomwa na kuchomeka'' yani unabakia uki Google majina hayo au kutafutana nayo in Facebook' na Mimi mwenyewe kwasababu napenda kupost vitu vya Uhakika na vya Ukweli kwenye hii Blogu yenu ''ninakuta majina yapo ila je wanayomsemea hao Anonyomous ni kweli ? na Mtu au watu waliona majina hayo ukiwauliza wenine wanasema ni Uwono hao watakuwa Haters tu wachana nao' Na wengine utawakuta wakijibu wenyewe kwenye Facebook au mitandaoni kama Itika hapa'' yani kwa kusema kweli Watanzania sijui tuwekwe kwenye kundi gani haswa'' kuna Mdada pia kaniliza sana jana usiku ''kwa kumsikiliza alipokuwa anahojiwa kuhusu Mwanaume alimuacha na Kichanga na kwenda kuowa sijui Best yake huyo New Mama jamani nilihuzunika nikaumia sana na Moyo wangu ukakaribia kusimama' Nitawawekeeni Hahajiano hayo soon''
    Tuendelee na haya ya Itika na Wale wenine wote walosambazwa mitandaoni hasa Bloguni kwa Anonymous Comments'' sasa hao Anonymous watakuwa ni Vijidudu ambavyo vimo kwenye Chupi zetu haswaa''yani Undani wetu haswaa''maana wanayoyaandika ndo yanajibiwa na wenyewe wakipinga au kuwapa Ukweli wao ''kama Itika hapa kasema HATA JINA LA BABA MTOTO WAKE HAJALIWEKA WAZI 'JE AKIMUWEKA WAZI ITAKUWAJE? MBUTA  NANGA'' Habari ndo hiyo jamani mimi bado najiuliza hawa Anyonymous ndo Vijidudu gani haswaa? na siyo ajabu akawa ni Mtu wako umekaa nae hapo hapo ndani yupo na sim anatuma comments za Anonymous na umekaa nae hapo unamuambia kila kitu Mwanawanne'' yani Mimi nilimfumaniaga yule Mburula Winnie Whitney ''Shogaaaa''yani live nilikuwa nampa misosi mipombe yakumwaga sasa kwenye my Laptop anatongozana na lili limzee Mburula 'kunitukama mimi na amekaa kwangu na kulala kwangu yani ''LIVE''''Ruwa Mangi ''hao ndo Anonymous Vijidudukopo '' Tujiadharisheni nao jamani ''tena tushaambiwa kikulacho kii nguoni mwako'' Haya sasa soma Anonymous hao na pia jiburudishe kwa picha za Itika kabla na baada yakumzaa Kichuna wake'' God is Great''Jueni RIZIKI HAZITOKI MIKONONI MWA MTU AU KIUMBE CHOCHOTE''
    Itika Sodoka >Aliyoandika leo kwenye Facebook wall yake and open for Public''
    about an hour ago via Mobile''
    Tatizo mnahangaika na mtu ambaye hata sijali msifikiri sijui maneno yenu uzuri mmoja sijaweka wazi Baba wa mtoto ni nani lakini mnahangaikaa kutwaa na blogs maiti zenu kunitusi na kunijadili mwana wa mwenzenu nikiweka wazi Baba watoto ni nani si ndiyo mtavunjika na vidole kabisa kutwa kutype Itika..mwenzenu mnazidi kunipa baraka tele na hivi nipo kwenye uzazi nalea kprincess kangu kazurije s...iku zinavyozidi kusonga mbele ndiyo kanazidi kunipa faraja tele na furaha mtoto mtamu jamani asikudanganye mtu mweeh..! Namshukuru Mungu sana... Nyie wagumba wa kujitakia mlioflash mayai yenu ya uzazi vyooni aka matasa... Wakosa kazi kutwa kutusi watu kwenye blogs zenu... Itikaaaa, Ooohhh blah blahhh.....Peter Kihwili, kimepanda kimeshuka Mtasonyajeeeeeee kazi kwenuu... Me nalea kwa nakshi nakshiii... Kaboooom...


    Mtoto ndo huyoo'''sasa semeni yenu ' Baba wala hajatajwa na Mama mzaa chema'Akitajwa mtasemaje sasa'' Uwii mimi ningeomba mje niwauzie Kamba za  London ''Watajinyongaje'Yani I cant wait jamani Majangaa'''

    God Great ''HONGERA SANA ITIKA''Mungu azidi kukubariki kwani hii ndiyo mwanzo wa Baraka zake Mungu alizokuwekea Mbele yako na Haters wako wajionee kabla hawajafa''Ruwa Mangi'

    Mnatamanije mumuone Sura''mpate la ku 'Anonymous kwenye Mablogu'' Majangaa ''mbona majangaaa'Mtoto amzae yeye 'Hongera mpewe nyie''Mbuta Nanga''


    Sasa hapa ni baadhi ya anonymous comment kwenye Blog's'' sasa majina ndo hayo na wahusika ndo kina nani sasa ? basi watu kama Mimi huku sipati picha kamili ya hawa anonymous''  Mbuta Nanga''jamani Anonymous tafuteni kazi za kufanya'haki ya nani tena huu ni WIVU NA UKOSAJI WA KAZI''

    .AMINA LESSO ,ITIKA,NEEMA MWAIKAMBO .HABIBA.Stort inaanza hivi hayo majina hapo yoote ni WEZI wa wanaume wa Watu .AMINA LESSO alikuwa anafoka na hawala wa shoga ake HABIBA anaitwa HAJI KAMANGA( mume wa aunt VERO NGULA) .Amina kutwaa mapenzi moto moto na Haji ,wanatumiana Picha za uchi na DILDO vibrator na Mpaka use of SEX MACHINES .Habiba akaona Picha Kwenye cell phone za hawala yake Habiba akatawanya Mapicha Kwenye Internet .HABIBA Huyo HAJI ulimpata kwa Wizi Unajua wazi anampenda aunt VERO na kwa taarifa Yako fupi aunt VERO anakujaga Houston .ITIKA nakusikitikia saana kuzaa na mume wa Mtu Nani asiyejua Peter anampenda mkewe ,Yaani kwa Akili Zako peter anaweza kumuacha mkewe kwa ajili Yako angalia baby shower Yako kimyaaaaa.Neema I can't even speak .HABIBA MKELO wewe na LULU kutwaaa MNAJIUZA kwa wanigeria Leo hii haji Katika na Amina wasambaza Picha .MSALIMIE KWAME OKOLI Babu lako la kinigeria''


    Habari za hapa na pale ndo hizo ''ama kweli bado najiuliza Anonymous ni Vijidudukopo vya aina gani haswaa'' 
    Anyway ''Flora Lyimo 'Ngamanyasepfo ndao kanyi''

5 comments:

  1. Flora wewe Unakaa london ya texas unayajuaje.Itika nakutakia heri na maisha men's .na Hongera kwa kutaka kuvunja ndoa ya Watu .By the way Alice took her vows seriously na it was for good and worse .Mungu atawasaidia na naomba peter na alice watenganishwe na mungu sio binadamu .Alice don't give up on your marriage na shetani Kama Itika akashinda .Eh mungu baba wa mbinguni tuepushe na balaa la Wanawake Kama Itika .FLORA mwambia aweke Picha ya baby daddy mwambie basi .

    ReplyDelete
  2. Majangaaaa...Flora Lyimo nimeona pia Itika she is your Friend in Facebook,,nakupa mpaka kesho uone kama haja ku' block ,yule anajua kweli Mtoto ni wa nani na ni mwizi wa WANAUME ZA WATU''Halina hata aibu silingetoa hiyo mimba kuliko kujiaibisha'' mfyuuuuuuuuuuuuuu''' nausibanie hii Flora maana she is going to block you anyway just wait and see'''mbuta nanga''

    ReplyDelete
  3. pumbafu ''flora lyimo I love you wasikugopeshe if she unfriend you 'tupo tutakurushia mikanda yote from texas live'' chezea wewe our fashion police wa ukwee mwengine hakunaga''love you mingiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiii'''haloooo''lea mama mwenzio yupo na mme wake..na aibu zako ndani utatokaje ?? UKOME KUIBA WAUME ZA WATU NA KUWAZALIA HUNA HATA AIBU MWANAMKE KUPANULIA KILA MTU HUCHAGUI''

    ReplyDelete
  4. AnonymousAugust 4, 2013 at 3:19 PM
    Na huyo mtoto afie mbali au na kilema cha maisha mbuzi wewe.unaificha sura yake kafanana na Peter mbuzi wewe .Tindikali Lazima utamwagiwa ,NA PETER KIHWILI Kama ulijijua malaya kwa nini haswa ulienda kwa mtoto alietulia Kama Alice .Na siku ukifa Peter kihwili ufe kwa maumivu Mabaya saaaana .ufe na pancreatic cancer Mbwa wewe

    Reply
    Replies

    AnonymousAugust 5, 2013 at 1:40 AM
    huyu dada naye kachemsha kweli kajifanya kujibu kwa kujiamini sasa mbona mtoto sura umeficha..ni wazi yaliyosemwa yatakuwa na ukweli ndani yake. Nyinyi ndo mnapandisha wanume vicheche chat. unaona sasa huyo jamaa anayesemekana umezaa naye anaona shujaa...wadada tuanze kutumia ubungo kufikiria na sio kufikiria kwa kutumia mapigo ya moyo amabayo huwa yana tu deceieve. hongera kwa kuwa mama, ila mbona umeficha uso wa mtoto, inaonekana yamekuuma yalosemwa na yana ukweli ndani yake....mapenzi ni kikohozi, baba wa mtu itakuwa Peter tu..pole shosti


    AnonymousAugust 5, 2013 at 2:23 AM
    Huyu dada anaonekana naye anapenda kujionyesha kama kweli baba mtoto angekuwa siyo huyo Pete Kiwili lazima angeshamuonyesha. Ila inaonekana baba mtoto ni huyo huyo mume wa mwenzie Peter Kiwili. Kwanza huyo mwanaume naye apunguze ukicheche hivi aoni aibu jamani? unakuwa tombatomba hadi aibu. Mimi namuonea huruma huyo Alice sijui mkewe. Fukuzia mbali malaya hiyo iende ikakae na huyo aliyemzalisha. Wewe ITIKA SODOKA mbona unaonekana kama binti mzuri. Kwanini jamani usingeendelea kujitunza na mungu angekupatia mumeo mzuri na wa heshima. Ya nini kwenda kujibana kwa hilo limwanaume jamani pole sana my dear. Kama kweli alikuwa hampendi mkewe kwann asimuache basi ili aje kuishi na wewe? Jamani wanaume punguzeni umalya hizo suruali utafikiri zipu zinafunguka kwa harufu? Loooh uchafu uchafu!! yaani hilo limboro linazunguka kwenye mikuma tu halafu unaenda eti kulinyonya!! my goodness uchafu uliopitiliza!!! do salale na ukute hata tigo hilp li mboo linafanya halafu mwanamke mwingine anaenda kulinyonya!! jamani mnashea mimavi tu. Jamani mapenzi maamu ni usafina ufanye na mpenzie tu ndiyo raha. Hii ya kuchovyachovya ovyo KINYAAA kabisa. Wewe mwanaume tulia na wewe binti katubu. Au basi kama mnapendana na huyo mwanaume anakupenda si muoane yaishe. Wewe Peter Kiwili mpe talaka mkeo nenda kaishi na mpenzio mpy ITIKA mapenzi hayalazimishwi ila UMALAYA siyo suluhisho. ACHENI uchafu. MUNGU akulindie binti yako na upone haraka. GOOD LUCKY. Si mjui Peter Kiwili wala huyo ITIKA SODOKA ila hizi kashfa zimenifanya niwajue na niaibu kwa familia zenu wote.

    ReplyDelete
  5. http://www.udakuspecially.com/2013/08/itika-mtoto-ndio-huyo-anonymous-kazi.html?showComment=1375694623305#c8169266799786156792

    nashangaa hii links UDAKU wameitoa!! wanaupendeleao ila wakiwa wanasema kina SIntah au Mange hao udaku hawatoi ila huyu mvunja ndoa wanaitoa.

    ReplyDelete