KITENDA WILI"NYUMBA YANGU NDOGO LAKINI INAENEA WATU WENGI' MBUTA NANGA!!

FLORA LYIMO TZUK

FLORA LYIMO TZUK

FLORA LYIMO TZUK

FLORA LYIMO TZUK

FLORA LYIMO BLOG

FLORA LYIMO BLOG

FLORA

FLORA

FLORA NA RAIS JK

FLORA NA RAIS JK

FLORA NA MH PINDA

FLORA NA MH PINDA

SHINY ,HEALTHY-LOOKING AND GORGEOUS HAIR' WHATSAPP +44 778 7471024

SHINY ,HEALTHY-LOOKING AND GORGEOUS HAIR' WHATSAPP +44 778 7471024

Tuesday 6 August 2013

BY :FLORA LYIMO~ MLIO OMBA NIWAWEKEENI PICHA ZA JACQUE PENTZEL AKIOLEWA KIMUVI (MOVIE) KAMA INAVYOSEMEKANA ALISEMA MME HUYO NDO HIZI HAPA'' MBUTA NANGA!!

 Bongo Movie Actress Jacque Pentzel na Mme wake (wakuiba ??)wakitia Saini zao kwenye cheti chao cha ndoa yao ilo waliiza wengi ''hivi hii ni Muvi (movie) au ni Ndoa ya Ukwee?? Jamani sisi wengine tumelia machozi ya bahari na huku Mwanaume huyu kasema ana shuti Movie Muvi''kwa hiyo siyo Ndoa ya kweli ? kwenye mahojiana yao na wahusika' which wakati alipopigiwa sim na Mama Kichanga chake on time, ndo alimuambia hivyo kumbe ndo anafunga ndoa hii'''Ambayo sasa imetuliza na kutuacha tukijiuliza maswali mengi sana'Ngamanyasepfo ndao '''JAMANI MUOGOPENI MUNGU''
 Mwanaume huyu anadai kwamba yeye hajaowa kindoa cha halali..Ameowa kiuchezaji yani Kiuijizaji cha Bongo Movie'''Jamani Mpooo!!
Kwa hiyo sisi hapa tunashiriki kwenye Movie hii ambayo imetuliza wengi wetu machozi ya Bahari ''Ruwa Mangi...Hivi ni kweli haya yanayotoboa Dunia ya Mapenzi Jacque? Wajua Ikiwa ni kweli Wewe unaweza ukafanyiwa hivyo hivyo maana Chui habadili Madoa doa yake'' Uwiii yani kama una Moyo wa Kibinadam hebu ukasikize Yale mahojiano yapo hapa hapa kwenye hii Blog yenu wewe tizama habari zilizopita'''

No comments:

Post a Comment