KITENDA WILI"NYUMBA YANGU NDOGO LAKINI INAENEA WATU WENGI' MBUTA NANGA!!

FLORA LYIMO TZUK

FLORA LYIMO TZUK

FLORA LYIMO TZUK

FLORA LYIMO TZUK

FLORA LYIMO BLOG

FLORA LYIMO BLOG

FLORA

FLORA

FLORA NA RAIS JK

FLORA NA RAIS JK

FLORA NA MH PINDA

FLORA NA MH PINDA

SHINY ,HEALTHY-LOOKING AND GORGEOUS HAIR' WHATSAPP +44 778 7471024

SHINY ,HEALTHY-LOOKING AND GORGEOUS HAIR' WHATSAPP +44 778 7471024

Tuesday 6 August 2013

BY :FLORA LYIMO ~ NAOMI CAMPBELL ARUDI KWENYE MISTARI YA SINGLE GIRLS'' AMEACHANA NA YULE MILIONEA WAKE'MBUTA NANGA!!



FLORA LYIMO MTANZANIA HALISI AIPENDAE NCHI YAKE KUPITA MAELEZO'
Yani mimi nilikuwa nasubiria siku ya kusoma kwenye vyombo vya kunasa habari kuwa Naomi kachumbiwa ,kaolewa au ana Mimba'' sijui ni kwasababu ya yeye kukuwepo kwenye Urafiki na yule Milionea wake kwa Muda Mrefu au ndo Ule Umri wake au niseme kwa sababu ya Kazi zake Pesa anazo na Uwezo wakumlea mwanae kwa sasa hivi atakuwa nao kwa sababu unaweza kujikuta upo Busy na Maisha yako ukitaka Ufikie Mahali fulani au pengine umekosa Mwanaume wa kuweza kumuamini na kupendana kiukweli hadi mkafikia mahali ambapo mnaamua kuowana na kuzaa'Ili muweze kuishi maisha yenu pamoja yenye uhakika na ukamilifu na vile Inavyotakiwa na Mwenyezi Mungu alotuumba Wake na Wanaume''
Kumbe inaweza kuwa kuna Sababu zingine na za Muhim'ambayo inaweza kuwa ni ile ya pale pa ule Msemo usemwao kama hujapangiwa hata ufanyeji huwezi kufanikisha unachokitaka' kwani huyu Naomi sasa hivi ana miaka Arobaini na tatu'' hajawahi kuolewa na wala kuwa na Mtoto 'Ila alishawahi kukuwepo kwenye Mapenzi mara kadhaa  na tena siyo na Wanaume wa matawi ya chini 'Wanaume wa matawi ya juu tena hata kumpita yeye mwenyewe' Sasa basi utaweza kudhania ndo mwana Dada huyu Angeolewa na Harusi isokuwa na Mfano hapa Duniani lakini wapi 'hata ile Pete ya Uchumba hajawahi kuvishwa kabisa' Hivi kuna mtu anaweza kuniambia ni kwanini haswa? Lakini hilo jibu hata tunaweza tukamuuliza Yeye Mwenyewe na akashindwa kutujibu na Mwisho wa siku tukarudia pale pale penye ule msemo''IKIWA HUJAPANGIWA NO WAY ''YOU WILL GET IT'' Basi habari ndo hiyo jamani Naomi Campbell the Supermodel she is now Single'' Boys are you there!!! Tumuombee apate Mme mwema na yule ambae kapangiwa na Mwenyezi Mungu''kwani bado Muda upo 43 years ndo wakati wake now'' All the Best my Girl''
 Jamani na Mwili wake wote huu unaoanikwa wazi kwani Wanaume hamuuoni tu''Yani sasa nimeamini kama hujapangiwa Vitu hapa Duniani hata kama vipo Barabarani vimezagaa utapita na kuvikanyaga bila kuviona kwani hujapangiwa hujapangiwa'' Pole sana Baby Girl usijali Miaka yako 43 'Wana sema kwamba maisha huanzia kwenye your 40's'' so Sasa wewe kaa tiyari na milango yako usifunge Mme wako yupo ulopangia atakuja anytime'' 

Yani Mimi kwa kweli nilikuwa na isubiria siku ya kuchumbiwa kwake na mwisho siku ya Ndoa yake''Ila ndo hivyo tena Shilole kesha tuambia Ikiwa imeandikwa Inshalla Utaolewaaaaa'''Ruwa Mangi''

No comments:

Post a Comment