KITENDA WILI"NYUMBA YANGU NDOGO LAKINI INAENEA WATU WENGI' MBUTA NANGA!!

FLORA LYIMO TZUK

FLORA LYIMO TZUK

FLORA LYIMO TZUK

FLORA LYIMO TZUK

FLORA LYIMO BLOG

FLORA LYIMO BLOG

FLORA

FLORA

FLORA NA RAIS JK

FLORA NA RAIS JK

FLORA NA MH PINDA

FLORA NA MH PINDA

SHINY ,HEALTHY-LOOKING AND GORGEOUS HAIR' WHATSAPP +44 778 7471024

SHINY ,HEALTHY-LOOKING AND GORGEOUS HAIR' WHATSAPP +44 778 7471024

Wednesday 14 August 2013

BY :FLORA LYIMO~ NEW ''SELF-PHOTOJOURNALISM THE DIARY OF YOUR FLORA LYIMO FASHION POLICE' AT THE U.S.EMBASSY LONDON ON THE DAY WALIPO SHUKU BIG VAN LILILOWALETEA MZIGO WAO KWAMBA LINAUWEZEKANO LIKAWA NA BIG BOMB!!


 Your Flora Lyimo Fashion Police and Mmoja wa UK -Police'  Ambae anahusika kwa Ulinzi zaidi on this day 12/08/2013 Kulikuwa na tetezi kwamba kuna Van big one we are talking about a big van hapa ambalo huyu Police aliniambia lilikuwa limekuja kwenye Embassy ya America na kusema lina mzigo wao '' sasa kwa sababu ya ule ukubwa wa lile Big van Police walinzi wa U.S. Embassy wakalitia mashakani na kuita Police wakisema wanadhani litakuwa na Bomb lakuweza kulipua Embassy yote' yani ukitizama Picha za Chini unaweza kujionea Ukubwa wa Hii U.S Embassy ,ndiyo Embassy Kubwa na Moja wapo inayolindwa masaa ishirini na nne /24/7 Na mabunduki yakutosha ambayo yanashikiliwa na tiyari kwa lolote at anytime'' Fanya Fujo Uone'' Hapa UK-London ''Anyway' sasa hawa Police wakafunga Njia zote na kutoa watu wote mle mjengoni wa U.S. Embassy na kusababisha watu kuchanganyikiwa kwani wengine walitoka mbali kuja kuomba VISA na wengine ndo walikwenda kuchukua VISA zao baada ya kuambiwa zipo tiyari lakini ndo hiyo ,huku wengine wakitaka kurudi Mahotelini wanako kaa kiutalii zaidi ,yani hakuna Mtu kuingia huko kabisa na hata kufika Karibu na Mjengo'' But kwa kuwa nina Bahati zangu ''Mimi kufika baada ya Kama Dakika kumi walimalizana na Ulinzi huo na watu kuachiliwa Uhuru tena wakuingia U.S.Embassy na kupitia Njia ambazo Barabara zake pia zilifungwa'' Watu walikimbiliaje Mle sasa kuwahi VISA zao maana muda wao wakufunga Ofisi pia ulikuwa unakaribia'' Yani jamani KUJULIKANA NA KUWA ON TOP OF THE WORLD KAZI KWELI KWELI''YATAKIWA  UWE UMEJIANDAA KWA MAULINZI YAKUTOSHA'' BUT NANI ANATAKA KUISHI MAISHA HAYO YA WASI WASI HIVYO'' UWII'' AMERICA NI KIBOKO YAO'' WAKIKOHOWA TU''DUNIA INAKAAJE KIMNYAA''RUWA MANGI''
 Police hapa na Flora Lyimo 'Akiwa bado ananielezea what happen here today'kwanini wameziba njia''
 Police Baada yakufungua njia''
 Police akilinda Njia hakuna kunusa U.S.Embassy London muda huu kabisaa"
 Nikiwa Nnje ya Mjengo wa U.S. Embassy '' Mnauona lakini ee,,Yani hapa kulipua na Bomb kweli litahitajika the Big Van kama walivyodai siku hii 'kwamba hawakuridhishwa na ukubwa wa Van lililoleta Mzigo hapa 'na Van hilo wala hatujaliona lilikuwa lishaongoswa kitamboo na ndipo wakaita Police na kuweka Ulinzi mkali kwenye Njia zote zinazopitia kando kando ya hii U.S.Embassy ''Mbuta Nanga"Chezea Top of the World nyie''



 America jiandaeni your Flora Lyimo Fashion Police''Anakuja at your Town '''nitawanasaje sasa'Mbuta Nanga"






 Huyu ndie anae simama Imara Nnje ya Mjengo wa U.S Embassy ''Ukimsoma pande zote utamuelewa tu''
 Unamsoma eee'' Habari ndo hiyooo""







 Your Flora Lyimo Fashion Police: akipata moja baridi 'isiwe tabu kama wamefunga njia ''na Mabaa yapo wazi, why not to have mbege tukiwasubiria tuone mwisho wao'' Ruwa Mangi 'I love London na Myself init nikiiwakilisha Nchi yangu zaidi'' Kila niendapo naiwakilishaje sasa  maana Mtanzania Halisi mie nipo Tiyari Kusimama Majuu na popote pale  anytime nakusema Yes'' Tanzania From Moshi Kilimanjaro '' You Know we are Big too''with our Kilimanjaro Mountain and Mbege/Pombe (beer) tunatengeneza wenyewe'hahahaaa'' Habari ndo hiyo 'Mtu kwao na Chake lazima kujivunia''
 Your Flora Lyimo Fashion Police' Najiaminije mie''Maisha marefu to you All'' God is Great na wakushukuru kila wakati''now say Mbegeeeeeee and smile'' Camera ipo kazini''
Mnaniona eee''ndo tunataka kujua nini kinaendelea hapa''
Kwahiyo hata at my Hotel over there'siruhusiwi kwenda itakuwaje na tutaruhusiwa saa ngapi''




 Police wakiwa Kazini leo wamefika kwa Ulinzi wa Ziada baada yakutofurahishwa na big van lililowaletea mzigo''
Ukiona haya magari ya Police jua kuna HATARII''we are talking about HATARI KUBWA'' Yani kimbia Ufe'' Lakini Your Flora Lyimo Fashion Police' Yeye ndo anafyetua maushaidi na Mahabari tena kwa Camera Mbili ikishindikana Sim yake Super ya Galaxy S4'' yani ni nomaa'' Upaparaziiiiiiiiiiii kazi kweli kweli'' But I love it''' La sivyo Haya yote leo mngeyajuaje yalitokea ? Na mengine yotee nayowarushieni hapa kwenye hii Blog yenu ya Maukwee''SURE TUPU HAPA Eeee''

CHEZEA THE TOP OF THE WORLD''U.S. EMBASSY LONDON '' GOD BLESS AMERICA!!

1 comment:

  1. karibu sana America Dda Flora Lyimo Fashion Police...tunakupendaaaaaaaaaaaaaaaa!!!

    ReplyDelete