KITENDA WILI"NYUMBA YANGU NDOGO LAKINI INAENEA WATU WENGI' MBUTA NANGA!!

FLORA LYIMO TZUK

FLORA LYIMO TZUK

FLORA LYIMO TZUK

FLORA LYIMO TZUK

FLORA LYIMO BLOG

FLORA LYIMO BLOG

FLORA

FLORA

FLORA NA RAIS JK

FLORA NA RAIS JK

FLORA NA MH PINDA

FLORA NA MH PINDA

SHINY ,HEALTHY-LOOKING AND GORGEOUS HAIR' WHATSAPP +44 778 7471024

SHINY ,HEALTHY-LOOKING AND GORGEOUS HAIR' WHATSAPP +44 778 7471024

Sunday 4 August 2013

BY FLORA LYIMO ~ TANZANIA EMBASSY IN LONDON BY NIGHT 'YALINDWA NA FLORA LYIMO' MBUTA NANGA''HII NI YAKO OUR TANZANIA HIGH COMMISSIONER PETER KALLAGHE 'NA WOTE WANAOHUSIKA PIA''

 FLORA LYIMO MTANZANIA ALISI AIPENDAE NCHI YAKE KUPITA MAELEZO''
Heshima yako Balozi wetu '' Peter Kallaghe'' Najua utaisoma hii na pengine hata wewe ushaona Aibu hii na kufikisha malalamishi kwa Wahusika'' Yani swali langu ni kwamba 'Tangu wameanza kujenga njia ya Train mpya ambayo itakuwa nnje ya Jenge letu our Tanzanian Embassy building in London kando ya Oxford Street na Karibu na Bond Street Station 'wamepaziba kwa upande wa Mbele wakuingilia na kusababisha Wapita njia na walala hoi ,omba omba kuja kumalizia haja zao hapa '' yani kwenye Ngazi za kuelekea Ofisini chini ya hili Jengo panakuwaga na giza na kwasababu hiyo Geti yakuingilia huwa haifungwi basi huwa ndipo wanaporahisishiwa kuingia na kujisaidia hasa Kukojoa, yani huwa unawaona wamesimama wanakojoa kwa kukojelea chini mlangoni na pia kuacha matakataka ya kila aina' na pia ukitizama picha za usiku huu nilipopiga hizi Picha takataka hazikuwepo nyingi kama siku kadhaa nilizopita hapa na kuwakuta ilikuwa bahati yao nzuri sikuwa na camera yangu .Ila nilibakia najiuliza sana Hili swali  hivi hawakuwaandikieni barua kwamba wataanza kazi hii maana huku Ulaya wanakuandikia kabisa ili uwe unajua na kujiandaa,kujipanga kwa mabadiliko yao na pia watakuambia lini watatarajia kumaliza ujenzi wao ''Mimi naona Balozi unafaa wakupe Ofisi nyingine kwani Ujenzi huu utamalizika Mwaka 2017 hivyo ndivyo niliambiwa na baadhi ya Mfanyakazi aliyekuwepo hapa wakati napiga hizi Picha na kuniambia anakubaliana na mimi kwani hata Yeye ameona watu wakielekea Chini hapo akadhania wanaishi Humo'' Mbuta Nanga'' Anyway Mimi naona Hii ni aibu kwa Wageni wetu wanaokuja kupata VISA zao au wanakuja kwa mambo yao mbali mbali 'na vile vile Wanaofanya kazi chini hapo Ofisini 'Yani inamaana hawanukiwi kama vile Mimi nilivyonukiwa kweli 'na huwa napita hapa kila wakati kwani huu ndo Mtaa wangu wa makazi yangu yote''I hope Mtafanikiwa kufikisha malalamishi kwa wahusika na kuhamisha our Embassy kwani ni aibu kwa Nchi yetu 'hasa unapofikiria ni kati kati ya Mji Mkuu wa Uingereza' Hivi kuna Mtu ashawahi kuona American Embassy in London ? Uwii Next week nitawatembelea na kuwaleteeni Picha za Mjengo wake na Kila kitu mjione wenyewe 'Yani niyakishuwa haswaa'na Ulinzi wa masaa ishirini na nne' 'Kwanini Sisi tusipewe pahali pasafi safi na penye Nafasi na pasipoingilika kiuchochoroni'I don't know if they have to  chose or unapewa Mjengo bila Balozi kuchagua? Kwani Embassy zingine zipo kwenye Mijengo powa sana ' naona kama panaweza pakawa na ubaguzi fulani ''Pengine My Balozi unaweza kunijibu Next time nitapitia kuwatembelea  hapo and hope utakuwepo na pia utakuwa na kadakika kamoja tu'cha kunijibu kaswali kangu nikiwa kwenye pita pita zangu za makazi zaidi I love it' Huu Mtaa so much 'Mtaa wa Mapesa'' Oxford Street London, Bond Street Station ' na watakapo maliza ujenzi huu patakuwa powa sana''Ila kwa sasa ni Bora wawahamisheni kwa mara Nyingine tena ''kwani TUNAJIAIBISHA NA KUPATA SIFA MBAYA'' Na nitakapo wanasa waharibifu hao ndo mtajua kweli Flora Lyimo hapendi Mchezo na hasa kwa Wachafuaji wa Nchi yangu ''Jina Tanzania nikiliona Popote I JUST SMILE WITH THE SMILE THAT STAY WITH YOU''
 Tanzania Embassy in London Mlango wa Juu wakuingilia pako powa 'ila Upande wa (kulia) ambapo kuna hiyo Ishara ya mshale ukikuelekeza kwenye kageti kadogo ambacho unakifungua ndipo unashuka ngazi kadhaa kwenda chini kwenye Ofisi ya VISA'' Yani unapofika hapo kwenye kigeti hicho hiyo Harufu utadhania unakwenda chooni tena sidhani kama ni choo cha hapa Ulaya maana hakuna Machoo yanayonuka hivyo hapa Ulaya'' Sehem za kunuka hivyo ni sehem kama hapa ambapo Wapita njia ,walala hoi omba omba na wale waliozidiwa na kutongozana huja kumalizia HAJA zao hapa'' au mahali popote penye giza au panapozibwa na Ujenzi kama hapa sasa hivi'' 
 Hapa (kushoto)ndo juu ya Jengo la our Embassy in London 'na Mfanyakazi akionekana akitizama kando ili nisimnase za usoni 'hataki kuonekana baada ya kuongea nae na kumuuliza Je watamaliza lini ? Akasema watamaliza mwaka 2017' I was like what? My Embassy People wakinukiwa kama wapo Chooni na isitoshe Wageni wanakuja kuchukua VISA zao au kuitembelea Embassy kwa sababu zao mbali mbali waje na kukutana na Harufu chafu ya Mikojo na pia Takataka za Kila aina utakutana nazo hapa hasa wakati Ofisi imefungwa kwa wakati wa Siku kuu au siku za Jumamosi na Jumapili'' Which huwa hawafunguwi only open monday to Friday''What a joke'''Ruwa Mangi''
Kwenye pichani za chinizinazofuata ukitizama utaona Hata baadhi ya Takataka zao wanaokuja hapa kujisaidi kwa kukojoa,kutongozana na pia kulala hapo kwa wale walala hoi na omba omba wa London''yani Ipo siku nitawanasa na kuwarushieni mkanda mzima hapa hapa kwenye hii Blogu yenu ya Minaso ya Ukweli Mtupu bila hata Chembe cha Uongo''
 Mdada Mpita njia huyu alikuwa anaelekea kwenye Gari lao  ambalo lilikuwa lamsubiria hapa Nnje ya Tanzania Embassy''
 Penye hayo maandishi mmepaona ee,,hicho ndicho kigeti ambacho unakisukuma na kuingia ndani kwa kuteremka ngazi kadhaa hadi Ofisini''na ambacho huwa hakifungwi Usiku na kurahisishia wale waharibifu kuja kumalizia haja zao hapo ''
 Wafanyakazi wakiwa kazini yani wanafanyakazi usiku na mchana na unasikia watamaliza mwaka 2017 Watu wakinukiwa mikojo na kuaibika for how long""

 Mfanyakazi akiongoza magari ukiambiwa Go una kwenda ukiambiwa Stop unasimama''The Green man say''Mbuta Nanga""
 Mmeona eee,GO''Nenda tena hapa unafanyaje fasta maana ushacheleweshwaa''
 Mnapaona hapa ndipo panapofanyiwa mambo yote,,kukojoa ,kutongozeana na kutupwa matakataka ya kila aina na Mwisho wa siku ni our Tanzania Embassy Ofisi ya VISA' mbuta nanga''Anyway  yani nilipopiga hii picha bado usiku haujakamilika vizuri na walevi kukolewa Pombe zao 'Next time nitakwenda masaa yake alafu mtaona ushaidi tosha chezea mnasaji wa Ukwee Flora Lyimo /Mbuta Nanga''alafu usiku unapoachia Mchana kazi ''Watu wanaingia Ofisini Mlango wa (kulia) chini kabisa na Hiyo harufu 'usipime''mimi kusimama hapa na kupiga Picha hizi nilikuwa nafanya fasta fasta na kurudi Nyuma tena the other side of the road''
 Hapa panatakiwa pawa na taa na pia hiyo Geti ifugwe ikiwa hamtapewa Ofisi nyingine''na itakuwa mmeshindwa kupeleka malalamishi kwa wenyewe ''yani mimi sioni ni kwanini msipewe Ofisi Nyingine na ambayo ni powa zaidi au muache kutumia hiyo Ofisi ya huku Chini kabisa''kwanini Kunukiwa mikojo namna hii panavyonuka na kutupiwa matakataka napia kuingilika kwa kishida shida''
 Umeona ee..hata hicho kionyo kinakuonyeshe HATARII'' yani tizama pia hapo juu ya gati utaona baadhi ya takataka' hao watakuwa wamemaliza kukojoa nakuacha uchafu wao hapo ''yani wanajificha hapo pembeni (kulia )'Huwezi kuwaona ikiwa wameshindwa kuteremka ngazi nakwenda hadi chini kabisa''
 Mmeona takataka ee,hapo juu getini 'hizi zilikuwa za wapendanao wamemaliza haja zao nakuondoka na mwisho wa siku nani wakuwazolea mauchafu yao ''na tangu London ianze kujaa Gay's yani huwezi kujua nani Gay woman na nani Gay man'' wote siku izi wamo na kujiringishia wanaweza kufanya mapenzi yao popote pale''I can't wait kuwanasa'' wasiombe wanikute nipo on Night watch nikiilinda Embassy yangu  'mbuta nanga''majangaa'mbona majangaa''watajuta kuwa Gay na next time watafute Hotel''

 Geti lakuteremka kwenye hizo ngazi kwenda kwenye Ofisi ya VISA''

 I LOVE TANZANIA HASA BENDERA YETU JAMANI THE BEST BENDERA YENYE RANGI POWA ZISIZO ZA KUMWAGA DAWA HATA TONE''RUWA MANGI 'AIKA MBEE''


HABARI NDO HIYO ''IF YOU LOVE TANZANIA HUTOKOSA COMMENT YA MAANA NA YENYE KUISIFIA NA KUITETEA YAKUACHA HAPA ''IKIWA HUIPENDI UTAACHA COMMENT YA ANONYMOUS YAMATUSI KWANI NANI ASOWAJUA WALALA HOI NA WASIO IPENDA TANZANIA NA KUIONA IKIELEKEA KWENYE MAENDELEO AU KUWAONA WATU WAKE KUFANYA KAZI NA KUJISHUHULISHA KWENYE BIASHARA HASA ZILE ZA HALALI ''YANI MIMI NAWAJUA VIZURI SANA NA NDIYO MAANA SIKU HIZI COMMENTS ZA KIMBURULA SIACHII KABISA''  TUPENDANENI NA KUIPENDA NCHI YETU TANZANIA HASA WALIOPO MAJUU'' Flora Lyimo'

No comments:

Post a Comment