KITENDA WILI"NYUMBA YANGU NDOGO LAKINI INAENEA WATU WENGI' MBUTA NANGA!!

FLORA LYIMO TZUK

FLORA LYIMO TZUK

FLORA LYIMO TZUK

FLORA LYIMO TZUK

FLORA LYIMO BLOG

FLORA LYIMO BLOG

FLORA

FLORA

FLORA NA RAIS JK

FLORA NA RAIS JK

FLORA NA MH PINDA

FLORA NA MH PINDA

SHINY ,HEALTHY-LOOKING AND GORGEOUS HAIR' WHATSAPP +44 778 7471024

SHINY ,HEALTHY-LOOKING AND GORGEOUS HAIR' WHATSAPP +44 778 7471024

Tuesday 3 September 2013

BY :FLORA LYIMO~ SINTAH ''Vs'' SHILOLE ~AND HERE IS WHAT YOUR FLORA LYIMO FASHION POLICE HAVE TO SAY'' SINTAH WACHA KUMTILIA MWENZIO NUKSI ''WATU KAMA WEWE NDIO WANAWANYIMA WATANZANIA WASIENDELE' NA KUMBUKA RIDHIKI HAITOKI MIKONONI MWAKO WALA KWA BINADAM YOYOTE'' SHILOLE HEBU KATUIMBIEE PAKA LA BAA NA J-LO NDANI YA MAREKANI TENA NA MIMI NITAKUJA KUVUNJAJE MAUNO'' MBUTA NANGA''ANYWAY WASIKIZE HAPA THEN HAVE YOUR SAY'' TAKE ONE 30/July/2013 part 1

JENNIFER LOPEZ aka J-LO NA MOJA YA WIMBO WAKE''SASA HUYU NDO ANAETARAJIWA KUIMBA PAMOJA NA SHILOLE THE TOP IN TOW KWA MAUNO BILA MFUPA TANZANIA DOGO LETU ALOINGIA MUJINI JUZI JUZI RECENTLY (kama anaemtilia nuksi alivyomsemea)Sintah'' huyooo kwa manuksi hatarii'' TUENDELEE''SASA KWELI HAPA SHILOLE ATASHINDWA KUIMBA GET ON THE FLOOR NA KURUDIA RUDIA HUKU AKIYAKATA YALE MAUNO YAKE TENA JUU YA MEZA?? HEBU MSIKIZE J-LO MWENYE KWANZA NAE WALA SIYO MUINGEREZA ''KIZUNGU NICHAWAINGEREZA BRITISH AND SHE IS NOT''KAIMBA NA KAWEZA NA SHILOLE ATAWEZA PIA'' I JUST CANT WAIT''''YANI MUNGU NI MWEMA HAMNYIMI MTU RIDHIKI NA PIA HAACHI KUSIKIZA SALA ZA KILA AMUOMBAE''SASA WEWE TIA NUKSI KUJIAABISHA KWENYE MAINTAVIU SINTAH''MAISHA NI KUISHI KUPENDANA NA KUINUANA KWENYE BIASHARA NA SIYO KUTILIANA MANUKSI''NAUSHINDWE NA WASHINDWE WOTE WENYEKUTILIA WATU MANUKSI ''AMEN''HEBU NICHEZE MIA''ASUBUHI HII NI NJEMA SANA'' HAVE GOOD JUMANNE YA MWEZI WA TISA MY NDUGU WOTE WATANZANIA NA WATU WOTE'' MIMI NIPO BUSY MKINIKOSA HUKO MITANDAONI NA POPOTE JUENI NIPO BUZEEEE'' GOD BLESS'NA TOENI MAONI YENU NA TUZINGATIENI UPENDO NA UMOJA'' NO NUKSI NUKSI PLEASE'''NAOMBAAAA''''
FLORA LYIMO MTANZANIA ALISI AIPENDAE NCHI YAKE KUPITA MAELEZO''
NDUGU ZANGU WATANZANIA NATUMANI HAMJAMBO POPOTE PALE MLIPO''
Jamani mtanisamehe sana kwa kuadimika yani hii Wiki nina mambo mengi sana nafanya''Ila nimekutana na hii Interview ya Sintah akimjibu Shilole Ndoto zake sijui ? Yani Mimi kwa kweli KIMENIUMA SANA''YANI HUWA NAUMWA SANA KWA KUONA WATU WENGINE WAKIWAOMBEA WATU MABAYA HIVI HIVI HADHARANI 'WAKIWATILIA WENZAO NUKSI HASWAAA'''WHY ?? YANI NDIYO MAANA WATANZANIA WENGI TUNASHINDWA KUWA NA MAENDELEA NA PIA KUKATA TAMAA ZA SAFARI ZETU ZA MAENDELEO KWA WATU WENYE KUTILIA WENZAO NUKSI KAMA HUYU SINTAH''NUKSI ZIMEMJAA'' YANI NARUDIA TENA SINTAH WACHA KUMTILIA MWENZIO NUKSI '' FANYA YAKO HATA UKIDANGANYA MAGAUNI YAKO YA HARUSINI YANATOKA KWA VERO WANG'AKA WANGU'' ALL WE CAN SAY IS WELLDONE YOU ARE DOING GREAT'' WE CANT SAY WEWE NI MUONGO MSINUNUA AZITOA KULE KIBORILONI AU KARIAKOO AU SIJUI DEISGNER  GANI'' WHY UNAMTILIA MWENZIO NUKSI KWENYE BIASHARA YAKE??
YANI  SINTAH  KWELI WACHA MAWIVU ,,NUKSI TUPU ''HIVI USHAWAHI KUPANDA HATA NDEGE?  YANI UNAWEZAJE KUMWAMBIA MWINZIO ANASEMA UWONGO HEBU NIKU ULIZE KITU KIOMOJA TU'' KWANI ULIKUWEPO  WAKIYASEMA AU J-LO AKITIZAMA VIDEO YAKE AU CD AU HATA PICHA ZA SHILOLE NA KAZI ZAKE? NA JE YEYE HIZO SINGLE ZAKE 5/6//2/1/ ALIANZIA WAPI ?SI ALIANZIA BONGO AU ??NA SASA KAAMUA NA NYOTA YAKE IKAMUELEKEZA MAJUU HUKOOOOOO KWA J-LO''SASA TATIZO LAKO NINI'' YANI NARUDIA TENAAAAA..AMA KWELI NDIYO MAANA WATANZANIA WENGI HATUNA MAENDELEO KWA SABABU YA KUTILIWA MINUKSI NA WATU KAMA WEWE SINTAH .......MBUTA NANGA''NA USHINDWE  NA ULEGEE'' MWACHE SHILOLE WA WATU ''NA RIDHIKI YAKE KAMA MUNGU KAMPANGIA ATAMPA TU' RIDHIKI HUTOI WEWE BIIII EEEEE''JAPO KAJA MJINI JUZI JUZI'KAKUPITAJE SASA''HUYOO HADI NYUUUUUUUUUYOOOOOOKUUUUUU''CHEZEA TOTO LA JUU YA MEZA WEWEE 'ATAKURISHIAJE MIFUPA...MEUUUUUUUUU'''HAHHAA'SORRY BUT ''SIJAPENDA UNAVYOMTILIA NUKSI MWANA WA MWENZIO''' NA SIYO KWAMBA NAKUCHUKIA WALA SIJAWAHI KUWAONENI HATA MMOJA WENU MWANZO NDO NAWASIKIENI HUM MITANDAONI TU'''NA MKIWA KAMA NDUGU ZANGU WATANZANIA I AM PROUD OF NYIE KWA KUJISHUGHULISHA AND  NAOTA BIG NIKUTANE NANYIE SIKU MOJA''DID I SAY IM DREAMING BIG TO MEET SINTAH AND SHILOLE'''OH YES''' I CANT WAIT''PLEASE TUPENDANE NA TUACHENI WIVU NA KUTILIANA NUKSI KWENYE BIASHARA ZETU''' BE BLESS ALWAYS NDUGU ZANGU WATANZANIA NA TUKUMBUKE RIDHIKI ZOTE ZATOKA KWA MUNGU 'NA BAHATI YA MTU HUWEZI KUIZIBA KWA PAZIA YANI YAANGAZA KAMA JUA ANGANI ''HUWEZI KAMWE KULIZIBA JUA 'NA BAHATI YA MTU NDIYO HIVYO HIVYO'RUWA MANGI''
HAPA NI SHILOLE NA KATI YA WIMBO WAKE WA JUZI JUZI ''RECENTLY SONG PAMOJA NA KUINGIA MJINI RECENTY JUZI JUZI KAMA SINTAH ALIVYO PICHULIWA NAE PICHUU''HAHHAA'' JAMANI MIMI NAOMBA SHILOLE UKAIMBE  HUU WIMBO NA J-LO'' NA MIMI NITAKUJA TENA NA KANGA HASWAA NITAVUNJAJE MAUNO SIKU HIYOO''JAMANI WATU TUPO NA NYOTA ZETU TUKIENDA SAMBAMBA NAZO''YANI ZIKIELEKEA MAJUU NAWE NAZO ''ZIKIZUNGUKA DUNIA NZIMA NAWEWE WAZUNGUKA NAZO ''' HAYAAA WEEE''WALIOKO JUU YA MEZA MSISAHAU CHINI KUNA PAKAA EEE''''WARUSHIENI HATA KANYAMA BASI''WASIJETUTILIA MANUKSI BUREE KWENYE BIASHARA ZETU JAMANI NA HATA MAISHA YETU KUGOMA KWENDA TUNAKOTAKA KWENDA''''MBUTA  NANGA!!

4 comments:

  1. Flora Lyimo namba moja top Tanzania Fashion police' kula tano Dada''yani maukwe yako ni komesha ya mujini haswaaa''' nuksi kweli we Sintah ''kaogeeeeeeeeeeeeeeeee ten na magadi tupishe sie''

    ReplyDelete
  2. Kweli mkubwa mwenzangu uko busy. Hiyo habari mpaka ilishasahaulika kwenye ulimwebgu wa habari. Simjui Sintah wala simjui Shilole wote nawasikia tu kupitia vyombo vya habari kwahiyo siko hapa kumtetea yoyote kati yao ila niko kutoa maoni yangu binafsi.

    Flora unapokuwa na ndoto za kufanya mambo makubwa sio wote watakuunga mkono kuna watakaokukatisha tamaa lakini haimaanishi kuwa wanakuwekea nuksi,tena yawezekana ndio wakakupa morari wa kufanya vizuri zaidi. Kila mtu anamaono yake na kila mtu anahaki ya kusema kile anachokifikiria, sio Sintah peke yake aliyesema hivyo wako wengi tena ni maarufu kiliko hata Sintah. Kumsema Sintah kuwa anamuwekea Shilole nuksi sioni kwamba ni sahihi kwani yale yalikuwa ni mawazo yake,sasa kazi ni kwa Shilole aoneshe kwa vitendo kuwa wale wote waliomuona hawezi mbona kaweza.

    Napenda blog yako, napenda style yako niko UK ila sio London nikija London nitakutafuta just to say hi.

    ReplyDelete
  3. duh naona nawe umeingia kwenye mipasho, wewe ni biashara acha kujishushia hadhi. tunakuheshimu sana

    ReplyDelete
  4. Flora u are number one kwa mipasho pia kumbe upo na mapoints ya ukwee,ila kuwa busy tafuta pesa mamii wachana na hawa watilia wenzao nuksi ''i like that say from you 'ni kweli kabisa hata wale wenzake wote walosema hataweza wana mawivu na wanamtilia nuksi'' big up our fashion police'we love you upo juuuu'''team mbuta nanga"

    ReplyDelete