KITENDA WILI"NYUMBA YANGU NDOGO LAKINI INAENEA WATU WENGI' MBUTA NANGA!!

FLORA LYIMO TZUK

FLORA LYIMO TZUK

FLORA LYIMO TZUK

FLORA LYIMO TZUK

FLORA LYIMO BLOG

FLORA LYIMO BLOG

FLORA

FLORA

FLORA NA RAIS JK

FLORA NA RAIS JK

FLORA NA MH PINDA

FLORA NA MH PINDA

SHINY ,HEALTHY-LOOKING AND GORGEOUS HAIR' WHATSAPP +44 778 7471024

SHINY ,HEALTHY-LOOKING AND GORGEOUS HAIR' WHATSAPP +44 778 7471024

Monday 30 September 2013

BY:FLORA LYIMO~ MBUTA NANGA'NIMECHEKAJE JAMANI KUNA WATANZANIA WENGINE WENYE LAANA 'SI BURE''HEBU SOMENI COMMENT YA HUYU 'KUHUSU MKAKA ALIE ELEZA DUNIA ATAMUOWA MPENZI WAKE MASOGANGE MARA TU 'ATAKAPO PUMULIA BONGO!!

Stori: Na Imelda Mtema'
MCHUMBA wa ‘video queen’ maarufu Bongo, Agnes Jerald ‘Masogange ‘, Evance Komu amefungua kinywa chake na kusema; siku mchumba wake huyo atakapotia miguu nchini, wanafunga ndoa.
Masogange kwa sasa (juzi) yupo nchini Afrika Kusini alikokuwa akikabiliwa na kesi ya madawa ya kulevya ambapo alifanikiwa kuwa huru baada ya kulipia faini ya randi 30,000 (shilingi 4,800,000) aliyoamriwa na Mahakama ya Kempton.
Akizungumza na gazeti hili hivi karibuni mara baada ya Masogange kuachiwa, Evance alisema anamshukuru Mungu kwa kesi hiyo kumalizika na kinachofuata kwenye uchumba wao ni ndoa tu.
Evance aliweka bayana kuwa kinachomsukuma afanye uamuzi huo kwa sasa ni kutokana na jinsi alivyoguswa na changamoto kubwa alizopitia mchumba wake hivyo ameona kuna kila sababu ya kumuoa kabisa ili apate faraja ya milele.
“Mchumba wangu amepitia majaribu ya kutosha na mimi sioni muda wa kupoteza tena, akitua tu Bongo kinachofuata ni ndoa nina imani itakuwa ndiyo jambo kubwa la kumfariji na kumpa upendo wa hali ya juu,” alisema Evance pasipo kutaja siku ambayo mchumba wake atarejea.
Katika kesi hiyo iliyokuwa ikimkabili Masogange, alishikiliwa na mwenzake Melisa Edward ambaye naye aliachiwa huru kwa kukosekana na hatia.


TUMESHIRIKI NA KUCHAMBUA KUTOKA GLOBAL''

Comment by hangwa majaliwa on Thursday'
Hivi huyu mjinga anaona sifa kutangaza ndoa na mwanamke aliyejaa kashfa za kila aina !! Video za ngono yeye, kujiuza yeye, madawa ya kulevya huyo huyo , kweli nchi yetu ina malimbukeni wengi,Mtu amesuka nywele kama msenge eti anatagaza ndoa !!! Verry stupid tusishanhae kuona wajinga wengine wakimfanyia pati huyo fuska baada ya kutoka lupango, Watu km hawa inabidi serikali iwafunge kwanza wa apprise nchini kwa kuchafua jina la nchi,

Comment by Focus Kunambi on Thursday
SAWA BWANA KOMU, MUOE TU HUYO MALAYA ALIYEKUBUHU, HAKUNA AMBACHO HAJAFANYA KUANZIA KUREKODI VIDEO ZA NGONO HADI KUUZA MADAWA YA KULEVYA. HATA HIVYO HATA WEWE SIKUELEWI UNAPOSUKA NYWELE UNATAKA NANI AKUTAMANI!!!!

No comments:

Post a Comment