KITENDA WILI"NYUMBA YANGU NDOGO LAKINI INAENEA WATU WENGI' MBUTA NANGA!!

FLORA LYIMO TZUK

FLORA LYIMO TZUK

FLORA LYIMO TZUK

FLORA LYIMO TZUK

FLORA LYIMO BLOG

FLORA LYIMO BLOG

FLORA

FLORA

FLORA NA RAIS JK

FLORA NA RAIS JK

FLORA NA MH PINDA

FLORA NA MH PINDA

SHINY ,HEALTHY-LOOKING AND GORGEOUS HAIR' WHATSAPP +44 778 7471024

SHINY ,HEALTHY-LOOKING AND GORGEOUS HAIR' WHATSAPP +44 778 7471024

Monday 17 February 2014

BY FLORA LYIMO~ DIMPOZ AMPA JESTINA GEORGE MAKAVU LIVE ON STAGE IN CHAGGA VOICE'ONA PICHA NA ALICHOMWAMBIA 'MBUTA NANGA!!

 Hahahahaaaa'nimeanza kucheka maana nilicheka sana yani watu wote walicheka mno'' Wacha movie iendelee'' sasa hapa kushoto ni Jestina alipopanda stejini kumtuza  Dimpoz'na kulia ni MR &MRS MERU' Bila kujua Dimpoz anayake yamejaa bakuli yakumuambia hapa hapa '' sasa kasome chini mwishoni mwa Picha hizi''
 Hapa Jestina anamsikiliza kwa makini ''Simnaona picha eee'na mliona Mme wake eeee''sasa weka picha akilini na endelea kusoma habari hii''
'Dimpoz in Komedian badala ya kiuimbaji'' Jestina nina Moja la kukuambia 'ila ni lirefu sana 'unaonekana wewe unayajua mapenzi sana'' leo ni siku ya wapendanao '' na umetuvalia ipasavyo '' HAYA ENDELEA KUSOMA CHINI KABISA MWAPICHA HIZI''
DIMPOZ~ In Chagga Voice: Wewe Jestina unaonekana una yajua mapenzi sana 'Yani tangu Uwe Mke wa MERU
Mapenzi unayompa anajiona MREFU SANA EEEEE'' Hahahaaa Watu na Jestina Mwenyewe tulichekaje''Muone hapo mweneywe' jamani si mnajua vile Mme wake alivyo Mfupi ''alafu Mtu akuambie in Comedian na in Kichagga Voice mbele ya umati ule wote wa watu ni nomaa'' siku izi Mere anaringa na kujiona Mrefu sana kwasababu ya mapenzi anayopata kwa Mke wake (Jestina)pichani hapa na Dimpoz'' Ukitizama sana Dimpoz He is right 'na sijui kayajulia wapi hayo maukweli yote'' Maana Mere mwenyewe huyu siyo Mke wake wa kwanza na Mwanaume kuamua kumuacha Mke wake na Watoto na kwenda kwa Mwanamke Mwingine au kujitafutia kamdoli chake kama Maskini 'siyo Bure ni kuteswa bila mapenzi ya Ukweli ''na Sexy siyo Vidonge vya kumpangia mme /mpenzi wako 'kuna wakati atakuelewa na kuna wakati unamfanyia makusudi sababu labda ya watoto /mtoto au vijisababu vyako uvijuavyo wewe mwenyewe'' basi nakuambia Mwanaume kwa Mwanamke''kuwa kwenye NDOA NI TABIA NA MAPENZI KUFANANA NA KUKOLEANA KAMA MAJANI YA CHAI NA MAJI''
Habari ndo hiyo''pendaneni ipasavyo jamani Wanawake /Dada''wapeni wapenzi wenu mapenzi moto moto tena uwe na viungo vyako wewe mwenyewe siunajua wengi tunatumia Nyama moja lakini mapishi tofauti ''hasa wale mnaopikiwa na mahausigeli' hariii''mmeo lazima ataishia nae walaaaahiii''yani tena wavalieni sexy Things' even for your self dress sexy and feel good ''
Mwamuona Jestina hapa na Shemeji yetu Mr Meru ''yani nawahakikishieni hapa amefika 'why ,namjua Jestina Vizuri sana she got mapenzi moto moto ya kumfanya Mme/Mpenzi wako akusahau kabisa'yani she is just like me'' ila ndo hivyo 'Vitu vingine hutokea na Watu kumalizana au kugombana '' but mwisho wa siku Mimi naonaga ni muhim sana kusema Ukweli hata kama mtu ni mgomvi wako 'She is HOT IN SEXY AND CAN I SAY SEX....OH YES''Anwy sijawahi kulala nae Kimapenzi msinisome vigine'' but namjua vizuri sana she was like my dada kabisa even we use to sleep one bed hata bila nguo 'you know mkiwa chumbani wanawake watupu na mkiwa mnajiamini 'that is what im talking about 'yani hata Picha na mavaazi yake hujionyesha yenyewe'' ndiyo maana mapenzi moto moto anayo pewa shemeji yetu sasa hivi anajiona mrefu sana eee''in Chagga Voice by Ommy Dimpoz'' Yani wanawake wote mlio olewa jueni kuwapenda waume zenu na kuwavalia sexy thing'' Flora Lyimo anaviuza vyote'' just whatsapp +44 7787471024 or tutembelee Mtaa wa Mahela'' Oxford Street London'
Flora Lyimo Fashion Police Blog'

No comments:

Post a Comment