KITENDA WILI"NYUMBA YANGU NDOGO LAKINI INAENEA WATU WENGI' MBUTA NANGA!!

FLORA LYIMO TZUK

FLORA LYIMO TZUK

FLORA LYIMO TZUK

FLORA LYIMO TZUK

FLORA LYIMO BLOG

FLORA LYIMO BLOG

FLORA

FLORA

FLORA NA RAIS JK

FLORA NA RAIS JK

FLORA NA MH PINDA

FLORA NA MH PINDA

SHINY ,HEALTHY-LOOKING AND GORGEOUS HAIR' WHATSAPP +44 778 7471024

SHINY ,HEALTHY-LOOKING AND GORGEOUS HAIR' WHATSAPP +44 778 7471024

Sunday 16 February 2014

BY FLORA LYIMO :MBUTA NANGA!!! HII NDIYO HABARI YA MUJINI''MALIPO HAPA DUNIANI JAMANI 'SASA ONENI SUPER MDOLI WA MASIKINI ' ANATETEMESHA UK YOTE SUPER SEXY''' AT DIMPOZ SHOW YA VALENTINES DAY IN LONDON LAST NIGHT!!

 Hawa ndiyo ambao ni the Talk of Mujini right now'' yani Wale mliokuwepo kwenye show ya Dimpoz last night nadhani mliwaona how full in Love walivyokuwa and now here is the photos to Prove to you ''na tuwache movie iendeleeeeee'wapi mama yule wakuingilia ya Wanawake wenzake''sasa kimekulaje kwake''mbuta nanga'' hii inaitwa pay back time'' Dija ''upo'' Pole Mama Watoto '' I think unakumbuka Ulivyonitukana na tukakaribia kukurusha dirishani '' hatarii''you need to thanks Dolla Songambele''Aliekuokoa'' mbuta nanga!!


Hapo kwakeeeeeeeeeee''baby twende Home now '' yani Show ilikuwa Bombaaaa'' Show ya Dimpoz 15.2.2014 Ilikuwa ni nomaaa' yani watu tuli Enjoy mpaka tukakubali weneywe tuanza kupiga Picha za pamoja now'' kwani ndo wakati wa kwenda kuyamalizia home''Kwa kweli Valentines Day ''kwa wengi huwa ni siku ya kuachika na kupewa talaka au kujulikana Kwa Nyumba zao ndogo za Long time''kwani sasa huwa wenye Nyumba ndogos nao wameamua wataka kujua limoja,,Mimi au Mama watoto wako /Mkeo ''sasa mwenzangu ikiwa wewe mama watoto ndo yule wakujali sigara yako,kazi  na Watoto kuliko Mpenzi wako basi ujue kura itaangukia kwenye Nyumba Ndogo'' Hapo utapiga sim mpaka uvunje zote lakini hazipokelewi na keshokuta unakuja kukuta Flora Lyimo Fashion Police Blog 'ina ushaidi wa kila kitu alichokuwa anakifanya'' sasa tuingie kwenye huyu Ndugu yetu Maskini ''by the way Masikini nilishawahi kumuuliza kama ni jina lake akasema yes..mimi nilidhani ni masikini kwasababu ya utani wa majina ya watu au pia kuwa masikini kweli ''lakini siyo ''aliniambia mwenyewe hilo ni jina lake'' He is a nice Man kwa kweli ''Mwanaume ambae ukiona anafanya hivi siyo kupenda kwake'' ni kwasababu ya mapenzi kusinyaa'' nani anataka kuishi maisha ya kupiizana makelele kwenye mabaa kila weekend''? na isitoshe hii ni kwa wale wanawake wote ,,Mnapo zaa msiwe hicho ndicho kizingizio cha kutokumpenda Mme wako na kumnyima malavi lavi ''jua mliowana kwa nyie wa wili kuwa na upendo mmoja na kuzaa ni majaliwa ya mwenyezi Mungu ''na siyo ndiyo basi uanze kumdharau Mme wako na kumpangia Sex,,you know''kwanza akiwa ni mwanaume ambae hajadhoofika kama Huyu Maskini utakuwa una muumiza sana '' na mwisho wa siku hata akienda kazini harudi Home atajitafutia kahoteli alale humo na kufikiria maisha yake hadi atakapo mpata mdoli wake wakumpa yale unayomnyima MAPENZI MOTO MOTO NA KUMJALI KAMA MME WAKO ,MVALIE SEXY CLOTH NA SIYO YALE MAMITANDIO SIJUI MASURIALI SIJUI MANINI ,,MARA MAKANGA'' HAYO YASHAPITWA NA WAKATI '' NA TUNAYAITA PUT OFF SEX MOOD' VILE VILE  SIYO BABA WATOTO TU'' Yani Wanawake wenzangu ambao mshaolewa na Kuzaa ''Zingatieni hili nalowaambieni ''Na mje Mjini niwauzie Sexy things'' Flora Lyimo How to look sexy at home ni muhim sana'' to you and your Hubby aka Your LOVER''sababu za mme wako kwenda kukamata Mdoli kama huyu ni kwasababu ya mapenzi yako kuyasinyaisha kwake'' Hakukuowa sababu ya kumzalia ''ALIKUOWA SABABU YA UPENDO ''MPENDANA NA YES 'SEX NI MUHIM NA ATAKAE KUAMBIA SIYO BASI ATAKUWA ANAKUDANGANYA '' NOW MIMI NIMEALIKWA HARUSINI TIYARI ''I CANT WAIT'' BACK TO NYIE NYOTA ZANGU ZA BLOG YA
*FLORA LYIMO FASHION POLICE'' 
Follow this Blog' so usipitwe Picha za Show yote ya Dimpoz last night'' 
Enjoy what you are doing' and Good Night ''

1 comment: