KITENDA WILI"NYUMBA YANGU NDOGO LAKINI INAENEA WATU WENGI' MBUTA NANGA!!

FLORA LYIMO TZUK

FLORA LYIMO TZUK

FLORA LYIMO TZUK

FLORA LYIMO TZUK

FLORA LYIMO BLOG

FLORA LYIMO BLOG

FLORA

FLORA

FLORA NA RAIS JK

FLORA NA RAIS JK

FLORA NA MH PINDA

FLORA NA MH PINDA

SHINY ,HEALTHY-LOOKING AND GORGEOUS HAIR' WHATSAPP +44 778 7471024

SHINY ,HEALTHY-LOOKING AND GORGEOUS HAIR' WHATSAPP +44 778 7471024

Friday 4 April 2014

WEMA APIGWA KWENYE OFISI YA GLOBAL, AJIITA YEYE NI CHIZI KULIKO MACHIZI 'ONA VIDEO HII WAKIDUNDANA AISEE WANA BAHATI HAKUBEBA PANGA KAMA MAMA YAKE ,KABEBA VIATU'' MBUTA NANGA!!




Flora Lyimo ~Say ~ Masikini Wema pole sana '' Jamani Mimi kama Mwanamke mwenzake naona wamemuonea maana hiyo sauti ya anayejibishana nae ni kama ya Mwanaume na vile vile wameficha tusione ni Mwanaume au ni mwanamke na je ni kwanini amuingilie wema kinyuma nyuma wakati Wema yupo mbele pale anazungumza na Huyu Mdada ambae anamdai ndie kamuandika kwamba Yeye Wema ni msagaji'' na isitoshe Wema katulia alikuwa anaonyeshwa gazeti alilodai aonyeshwe'' I want to know who was that man sauti yake ikisikika huku ni kama wanapigana na Wema'' na hivi anamuuliza how much is it how much is it ? what is it anauliza how mucha is it ''kama wimbo vile''? He or She hangetakiwa kuingilia tena kwa Ukali hivyo'' Also I have haya maswali yakuwaulizeni nyie wenye Hiyo Ofisi'' Hii Ofisi ya Global'' 
Je Ni kwanini mmemruhusu Wema kuingia hadi ndani tena kwenye meza ya anae mdai kwamba kamuandika kwamba yeye ni Msagaji ? Yani hiyo ofisini yenu na vile mnavyo waandika watu ovyo ovyo mmejiachia kihivyo ? Je hivyo viatu vya Wema vingekuwa ni Bastola au bunduki au panga? si angemuuwa huyo Dada pale pale? Yani kweli sijui ni kwanini Wema hakumduda pale  pale alipomuuliza ampe na gazeti alilomuandika ..Angekuwa ni Mimi na mshaniachia mpaka nimemsogelea kihivyo walahi tena sasa hivi ungekuta wengine jela na wengine Hospitalini '' Msiandike watu maneno ya kuwaumiza hivyo na huku hamna hata ulinzi wowote ,mtauliwa au kuumizwa bure na Boss wenu atafika kuwatupieni Udongo mkizikwa au Kujakuwapeni pole mahospitalini'' Dont do that again WEMA ANA HAKI ZOTE ZA KUKASIRIKA NA KUDAI MUMUWACHE KUMUANDIKA OVYO KWENYE MAGAZETI YENU NA HATA MAMA YAKE KESHA WAONYA'' TENA MNABAHATI HAPO WEMA HAJAJA NA MAMA YAKE AKIWA NA PANGA MKONINI''
MBUTA NANGA!! WELL DONE WEMA ''TENA HII VIDEO WAFUNGULIE MASTAKA HUYO ALIEKUINGILIA '' NA KUMZIBA TUNAMSIKIA SAUTI YAKE TU'' SHERIA OYEEE''OYEE''KINA MAMA OYEEE,OYEEEE'TANZANIA OYEEE''
Flora Lyimo Fashion Police Blog

No comments:

Post a Comment