KITENDA WILI"NYUMBA YANGU NDOGO LAKINI INAENEA WATU WENGI' MBUTA NANGA!!

FLORA LYIMO TZUK

FLORA LYIMO TZUK

FLORA LYIMO TZUK

FLORA LYIMO TZUK

FLORA LYIMO BLOG

FLORA LYIMO BLOG

FLORA

FLORA

FLORA NA RAIS JK

FLORA NA RAIS JK

FLORA NA MH PINDA

FLORA NA MH PINDA

SHINY ,HEALTHY-LOOKING AND GORGEOUS HAIR' WHATSAPP +44 778 7471024

SHINY ,HEALTHY-LOOKING AND GORGEOUS HAIR' WHATSAPP +44 778 7471024

Tuesday 13 May 2014

BY FLORA LYIMO ~ BREAKING NEWS'' HUYU NDIE MREMBO DESIGNER NA KIM KARDASHIAN'S PAL '' ALIYESABABISHA SOLANGE KUMPIGA SHEMEJI YAKE JAY Z'' KISA '' NDIE ANAE CHEAT NAE ON BEYONCE'' MBUTA NANGA''


Crazy night: Kim Kardashian's pal Rachel Roy (left) 'publicly argued with Solange' (right) before singer attacked Jay Z in an elevator at Met afterparty, according to UsWeeklyCrazy night: Kim Kardashian's pal Rachel Roy (left) 'publicly argued with Solange' (right) before singer attacked Jay Z in an elevator at Met afterparty, according to UsWeekly
Crazy night: Kim Kardashian's pal Rachel Roy (left) 'publicly argued with Solange' (right) before singer attacked Jay Z in an elevator at Met afterparty, according to UsWeekly''
Mkanda mzima ni hivi'' Huyo Rachel na Salange 'walikuwa marafiki wakubwa na kwa urafiki wao huo ulianza kuvunjika pale Rachel alipoanza kulala na Jay Z 'kisiri siri bila ya Mtu au Rafiki yake kujua Shemeji anajilia vitu hadim kwa Rafiki yake'' Halooo'' Mbuta Nanga' Sasa huyu Rachel katafuta kila sababu ya kukikimbia urafiki na Solange maana aliona kitajanuka'' Basi sikikaja kunuka anyway '' na kiliponuka ndiyo mara yao ya kwanza kukutana hum face to face'' basi Salonge akaanza kugombana na huyu Rachel'' Na baadae akaona isiwe tabu sasa jibu nishapata ''kwani Rachel kamuambia Shemeji yako ndiyo kanitongoza sasa wewe kamuulize Shemeji yako'' na hapo ndipo ''Ugomvi ulipoanza 'Solange kaenda kumuliza Shemeji na Shemeji kajionea aibu na kujibu si wewe ni Rafiki yako sasa kamuulize ukweli anaujua rafiki yako'' Hapa hapo kwa kuwaSalonge alikuwa keshamuuliza exrafiki yake huyo ambae ni Rachel ''na jibu keshapewa bila Jay Z 'kujua keshaulizwa na keshasema ni kweli ''ndipo kaanza kulishwa mangumi yale na mateke'' 
''Movie hii ndefu na ya kibubu bubu itaendelea''Mengi yatajitokeza'' kaeni mkao wa kula mahindi ya kukaangwa' hapa hapa kwenye Blog yenu ya maukweee na maubunifu makali '' mbuta nanga'' Flora Lyimo Fashion Police''
Inner circle: Rachel Roy is one of Kim Kardashian's closest pals, and the pair are seen here together in March 2012

Inner circle: Rachel Roy is one of Kim Kardashian's closest pals, and the pair are seen here together in March 2012 '

The aftermath: Jay Z looked shellshocked as the trio left the elevator after the fight at the Standard Hotel in New York last Monday
The aftermath: Jay Z looked shellshocked as the trio left the elevator after the fight at the Standard Hotel in New York last Monday '' Movie inaendelea mengi bado kujitokeza''mbuta nanga''  Wacha video ziendeleee'''
They used to be friends: Solance and Rachel Roy even accompanied one another to the 2012 Met Gala
They used to be friends: Solance and Rachel Roy even accompanied one another to the 2012 Met Gala''ngoja nikurudishie faham'Rachel ndiyo huyo wa kulia'' 
Solange has admitted to issues with drugs in the past, and cancelled her European tour last year amidst rumours of usage according to Radar Online.
In February, 2009, she tweeted about ending up in the hospital after a Nyquil overdose. 'I don’t even smoke weed that often, but I’m finding I can’t remember things,' she revealed on Twitter on Septemer 1 the same year.
Solange and the music mogul have been close for over a decade, with Jay Z - real name Shawn Carter - taking a big brother style role to the fledgling star after he started dating her sister
Beyonce and Jay Z were famously friends first but started a relationship way back in 2001, they then married in 2008.
TURUDI NA UPANDE WA URAFIKI WA RAFIKI YAKO WA KIKE ''UNAPOMKARIBISHA HOME NA UKUTE KUNA MME AU SHEMEJI''NA VILE VILE UNAPOMUACHIA AMPE LIFT MWENYEWE' WAPO WACHACHE SANA WAKUWARUHUSU WAPEWE LIFT 'NA MARA NYINGI PIA HUWA NAKATAA NA KULAZIMISHA NIITIWE CAB' AND FOR   FLORA LYIMO 'MIMI 100% NAWEZA KUKUHAKIKISHIA NIAMINI'AKINITONGOZA NITAKUAMBIA'' HABARI NDIYO HIYOO'SIPENDI UPUUZI''
Kwa kusema ukweli ''Mimi kishanifanyikia na siyo mara moja bali mara hizo nne'(4) Ambazo Rafiki zangu waume/boyfriend/Baba watoto wao 'wamenitaka na kunitongoza hata nawengine kukutwa live wakitaka kunibusu '' siunajua mtu kama hata hujui mtu akiwa anataka kukushika kiunoni au kukubusu ''then unajikuta upo kama unatizama movie'' Yani is not nice na ikiwa Wewe kama Mwanamke huna akili na hutumii Akili zako utaishia kulala na waume za marafiki zako au boyfriends /baba watoto wao kila kona'' The only thing with me is when i say no is a BIG NO'' and kama vipi tutapigana'' Na vile vile ninabahati nimeanza kujitegemea Mimi mwenyewe siku nyingi sana bila kumtegemea mwanaume na bila kuzoea Kutombwa tombwa ovyo ''yani hilo najua na namshukuru Mungu sana kwa kuweza kuwapinga wanaume hao wakunitongoza na huku wanajua Mimi ni rafiki za wake zao au Mama Watoto wao'' Wengine nilianza kukata urafiki na nadhani akiisoma hii now atajua ni kwanini sikutaka kujikuta nikienda kwake tena na wala sim zake nikawa sizipokei ''hadi leo hatuajonana nao na hata hawajanipigia sim tena'' Kina Dada /Mama wenzangu ' Hao wanaume wenu ni vitombi tombi hatari '' ila ndiyo hivyo ''Mimi sasa ninaonekana mbaya na wakuwekwa kando but  moyoni mwangu Mungu anajua '' Nilichokifanya ''Kumkatalia huyo Mwanaume ambae nalala kitandani kwa Rafiki yangu ..Mara najikuta akinipapasa papasa huku akiwa uchi na yupo tiyari kunilala'' alafu hapo umetoka club umelewa ''uwiii''kweli Mungu atamlipizia hapa hapa Duniani maana Mimi kila siku nalia kwa kumpoteza rafiki yangu kwaajili yake'' na Mungu yupo atanilipizia tena soon ''I tell you hakuna kitu kibaya kama machozi ya mtu ya halali'' Utake kunilala nikiwa mama watoto wako best friend nikukatalie alafu ulete ujinga wakunisingizia ''Napiga picha za uchi ''mara hili mara lile''I tel you the truth '' Machozi yangu utayalipia hapa hapa Dunia'' naomba na kusali kila siku na machozi yakinitiririka'' Utombi tombi wako ''utashuhudiwa na DUNIA''very soon'' Anyway ''wacha nipanuse machozi '' im ok now''' tuendelee'' Mungu yupo ''
My dear ''nawaambieni hivi ''Yani usikubali kabisa kulala na Shemeji ya Rafiki yako na wala Mme/boyfriend wa Rafiki yao'' Ona sasa hapa alichokifanya Salonge'' Yani kaona sasa hapa mwenye kosa ni Shemeji yangu kumtongoza Rafiki yangu '' Dada yangu atanionaje? na Vile vile huyu huyu Rachel ambae ni Rafiki yake alikuwa which not anymore'' Aliamua kulala na Jay Z'' sijui ni kwanini ''ila ndiyo hivyo ''mara nyingine unajikuta hata ni mwanaume anakulala na nguvu which hapo itakuwa ni UBAKAJI'' Maana kakulala na nguvu'hujamkubalia'' but hatujii if that was what happen '' Wacha tutayajua mengi maana movie ndiyo imeanza'' hahhaaa'' is so sad kwa kweli '' Wamaume ni watu ambao hawafikirii''yani wapo wachache sana ambao wanafikiria na namuomba Mungu mchana na usiku ,,anipe mwanaume ambae anafikiria'' Mwanaume ambae siwezi kujali hata nikimuacha na Rafiki yangu wa kike'mind you' hata WAKIUME SIKU IZI 'NI NOMAAA KUNA MADUMEJIKE pia'' ''Yani awe ni Mme wangu peke yangu  Eee Mungu  '' Ruwa Mangi''
Habari ndiyo hiyooo'''jamani msichukuliane wanaume''Our First Lady Mama Salma Kikwete Mke wa Rais wetu wa Muungano wa Tanzania kesha tuambia tena alitupa makavu live ''juzi juzi ''mwezi uliopita pale Ubalozini Uk ''Oxford Street 'mtaa wa mapesa'' KINA MAMA MSICHUKULIANE WAUUUU-WAUMEEE''Kwii kweii kwwii'Watu walijeukianaje''hahahaaa' Jamani narudia tena Wanaume wacheni UTOMBI TOMBI WENU ''RIDHIKENI NA MLICHONACHO /MLIE NAE'' NA KAMA MNAISHI NA MWANAMKE NDANI ''OWANENI 'ILI MUNGU AWABARIKI NA KUISHI MAISHA YA HALALI '' Siyo lazima mfanya mapati na huku hamna uwezo ''kuowana siyo lazima party's ''ni lazima muende kuzifunga ndoa zenu kihalali tu''only you need 4 people 'au zaidi uwezavyo wewe mweneywe ila kumbuka cha muhim nikuowana muwe MKE NA MME''kwa kihalali ' basi movie inaishaaaaa'' Mbuta Nanga'' nishasema nimemaliza ''sasa semeni yenu NYOTA ZANGU MPOOOOOO!!
FLORA LYIMO FASHION POLICE BLOG

4 comments:

  1. Umesema yote Flora Lyimo 'na pole sana ..kweli wanaume ni mashetani kabisa na wakulala hata na watoto wao ''mbuta nanga''atakuwa wewe rafiki ''

    ReplyDelete
  2. LOVE YOU FLORA LYIMO ''Mungu yupo kwa kweli nimekusoma na machozi yakanitoka bila kujua'' Poleeee na asante kwa kutuambia ukweli na sisi tutakuiga..say no to the vitombi tombi''kiruuuuuuuuuuu'

    ReplyDelete
  3. Duuuu pole sana flora ,bila hata jina mjini tunamjua kawalala wanawake wengi sana hadi jirfriend wa shemeji yake wanaoishi nae nyumba moja'' yani hilo limwanaume nilitombi tombi hatari''lilikuwa linatembeza manguo ya kike eti linauza kumbe ndiyo linakwenda kutomba na kumdanganya mama mtoto wake wakati walipokuwa na mtoto mmoja...kweli mungu atakulipizia flora na ulifanya jambo la maana sana'' na kwenye double party kumbe hukualikwa ? mbuta nanga'' akaalikwa aliyekuchonganisha na best yako.jg'' flora upo juu 'wale wote lower class mazafanta''

    ReplyDelete
  4. mbuta nanga'we kiboko yao kwa kweli JEMBE LA WANAWAKE WOTE '' i like that say no to vitombi tombi' yani unavituko Flora Lyimoooooooooooooooooooooooo'

    ReplyDelete