KITENDA WILI"NYUMBA YANGU NDOGO LAKINI INAENEA WATU WENGI' MBUTA NANGA!!

FLORA LYIMO TZUK

FLORA LYIMO TZUK

FLORA LYIMO TZUK

FLORA LYIMO TZUK

FLORA LYIMO BLOG

FLORA LYIMO BLOG

FLORA

FLORA

FLORA NA RAIS JK

FLORA NA RAIS JK

FLORA NA MH PINDA

FLORA NA MH PINDA

SHINY ,HEALTHY-LOOKING AND GORGEOUS HAIR' WHATSAPP +44 778 7471024

SHINY ,HEALTHY-LOOKING AND GORGEOUS HAIR' WHATSAPP +44 778 7471024

Saturday 10 May 2014

BY FLORA LYIMO ~ BREAKING NEWS~ WATANZANIA UK WATAPELIWA HELA NA MUDA WAO WA HII WEEKEND NA KUMHARIBIA DIDAS TURADI KIGODORO CHAKE CHA UK '' JE HAWA NDIO MATAPELI PICHANI ? NA WAHUSIKA NDIYO KINA WALE WALE AU ? MBUTA NANGA! ISOMENI HII ''NI MUHIM SANA'' TEAM MAENDELEO !!

FLORA LYIMO MTANZANIA ALISI AIPENDAE NCHI YAKE KUPITA MAELEZO''
TEAM MAENDELEO 

 diamondplatnumz

12 hours ago
APOLOGY to my UK FANS😓 due to the reasons beyond our control me and my team @wcb_wasafiwe won't make it to the UK show tomorrow😭, But I promise you that we will be in UK Soon for another big show...Trust Me! My team and my Uk promoter@victordjrule_ BongoUk we sincerely sorry for the inconvenience caused... Bt You can still go and support @chrissdarling ''
Je hao pichani ndiyo waliohusika na huu utapeli ? Jamani yani kwa kweli ni utapeli wa iaina yake ''ukiwa utapeli wa mida ya watu ,utapeli wa Hela ,,kuna walionunua Tickets ..japo wameambiwa watarudishiwa mara watasubiria mpaka atakapo kuja ''huo ni utapeli tiyari mtu kama ulikuwa unadaiwa na huwezi kukopa hela popote ,basi unakuwa ushapata hiyo hela bila kulipia chochote kwa njia ya Utapeli wa kumtumia Super star wetu anae pendwa na wengi '' na mnajua kwamba is just kwasababu anapendwa la sivyo 'Nyie waandalizi wa kumleta Diamond tushawachokeni na pia tushawapiga chini kwa Uandalizi wenu ..yani HAMFAI KABISA'' Kama mmekosa kazi Rudini Nyumbani mkalime 'Huku UK hakuna mashamba na hivyo msitumie Super star wetu huko Bongo kutapeli watu hela na kuwaharibia Mida na weekends zao''
LINGINE KUHUSU DIDAS TURABI KIGODORO UK''
Mlijua wazi kwamba Kigodoro kipo na mkaamua kuanza kutangazia watu hili tangazo lenu kuhusu Diamond'' anakuja Tarehe kumi mwezi huu wa tano '' Wakati Dida'' Alikuwa na kigodoro tarehe tatu mwezi huu wa tano '' hivyo mkamzibia Watu wa London kwenda Kigodoro cha Northampton kwa kusubiria Diamond'' si unajua tena Hela siyo makaratasi au majani ya miti ya Summer UK''' So wengi wakajiandaa kulewa na Diamond Today 10/5/2014 ''Which vile vile ''Dida kama siyo nyie kukurupuka Usingizini na kuanza kumharibia Kigodoro chake kwa Roho zenu za kwanini yeye apate na nyie msipate'' Angetufanyia Kigodoro Leo in London ''Lakini kwa Ushauri kutoka kwa Team Maendeleo Flora Lyimo ''Nilimwambia Dida'' asikifanye Leo maana watu hawatakwenda na hata Mimi nisingekwenda kwani ningependa kwenda kulewa na Diamond'' for sure ''I love his Show kinoma'' and I love to support Him and all others pia'' Ila kwa kila Mtu na wakati wake'' Sasa basi Mpango mzima wa leo ''watu tumebakia tukiharibu our Weekend na hasara juuu''
WASICHANA NA TEAM MAENDELEO WALIKUWA TIYARI KULEWA NA DIAMOND'
Watu tumekwenda masaluni '
Watu tumenunua Nguo na viatu '
Watu tumetafuta watu wakututizamia watoto wetu '
Watu tumeomba ruksa makazini '
Watu tumeongeza wafanyakazi kazini 'Ili Boss akalewe na Diamond''
Watu tumesafiri kutoka Nchi zingine na kulipia mahotel tiyari kulewa na diamond leo''
Watu tumenunua tickets mapema £20 ili kuepuka kulipa zaidi mlangoni au kuhakikisha hukosi kujilewesha na Diamond''
Watu tumeacha kila kitu na kumsubiria Diamond Leo '' na hivyo basi tupo bila kujua chakufanya''
Kusema ukweli Mpngo mzima wa leo 'yani hii weekend ''Watu wa UK tumepata hasara sana na vile vile Didas Turabi kanyimwa Hela zake na pia utambulishaji wake wa kutuletea Wasanii wetu wa huko Bongo na kutuwezesha Watanzania waliopo majuu 'kuwatambua ni kina nani na pia wanafanya kazi gani na mpaka sasa hivi wana mipango gani na pia UK TUNAWEZA KUFANYA SHOW ZETU HASA ZA RED CARPET KAMA KULE HOLLYWOOD '' That is what Didas doing and Anafanya kweli ''Akisema Fulani wanakuja wanakuja na kama hawaji basi hawakuja kwasababu ya Wenye Chuki na Maendeleo yake pamoja na maendeleo ya Watanzania wenzao kuwa na maendeleo ya kitu fulani '' Jamani my dear Watanzania wenzangu '' MSIJIFANYE MWAWEZA KITU WAKATI MNAJUA KWAMBA HAMUWEZI '' WACHENI WIVU '' JIPANGENI KWENYE MISTARI YA MAENDELEO''
Wahusika wa huyu Super star wetu Diamond '' Hivi mnataka kutuambia kwamba hiyo VISA Diamond alianza kuiomba tangia mwezi wa Kwanza na hadi sasa hivi mwizi wa tano hakupewa hiyo VISA? Hii nilishawahi kuwaandikieni tena''kwamba'' Ikiwa unajua unamleta msanii kutoka Bongo anza kumuombea VISA miezi hata miwili inatosha kabisa '' ikiwa show yako kwa mfano ni mipango ya kuja kulewa na Diamond in MAY'' anza kuomba VISA mwizi wa kwanza'' Mtu anapewa VISA ya miezi 6'' kwa hiyo kupewa hiyo VISA mapema kutakufanya wewe na fans wake kuwa na uhakika kwamba Show itakuwepo na vile vile kutangaza mara anapoigongewa VISA HIYO NA PIA TUITANGAZIWE TUIONE '' Ili watu tujipange na pia wanao husika na kuwaleta Wasanii 'wenzako ''pia kujipanga''Ili msichanganyie watu CHAI NA KAHAWA IN KIKOMBE KIMOJA'' Yani msifanye hizo show kwa mfulilizo '' Aikiwa Diamond yupo in MAY ''basi na Kigodoro kikuwepo in June '' na show zingine hivyo hivyo''lakini mnapotuchanganyia kama hivi'' on 3/5/2014 was Kigodoro and on 10/5/2014 Diamond'' Hizo Pesa na Muda mnafikiri watu wanazichuma kwenye miti ya Summer UK au ? na pia hamjui kwamba Muda wa Mtu kumpotezea huwezi kuulipa kabisa'' ? Na vile vile kuna watu wanaojipanga kisawa sawa wasio bahatisha kama Flora Lyimo ''Yani hata Hotel ingekuwa ni nje ya Mji ungekuta nishakata kitambooo''Thanks God it was happening in London ''la sivyo ''Ningemfuata mtu mlangoni sasa hivi hadi kieleweke''MBULAS WOTE MNAOHARIBIA WATU MIDA YAO NA KUWATAPELI ''IPO SIKU ZITAWAMEA KAMA NYASI MWILI MZIMA'' PUMBAVU '' YANI MBURULAS''MNAJIJUA'' NA NISHAWATANGAZENI '' WACHENI WIVU '' RUDINI BONGO KAMA MAISHA YA UK YAMEWASHINDA ..MWENDE MKALIME'' MASHAMBA YAPO KIBAO YAKULIMA''MBUTA NANGA'' Mmetuharibiaje WEEKEND YETU YA LEO ? HATA HUO MSAMAHA WA DIAMOND HAUSAIDII KITU ''MAANA TUSHAINGIA HASARA TIYARI''
FLORA LYIMO FASHION POLICE BLOG'

No comments:

Post a Comment