KITENDA WILI"NYUMBA YANGU NDOGO LAKINI INAENEA WATU WENGI' MBUTA NANGA!!

FLORA LYIMO TZUK

FLORA LYIMO TZUK

FLORA LYIMO TZUK

FLORA LYIMO TZUK

FLORA LYIMO BLOG

FLORA LYIMO BLOG

FLORA

FLORA

FLORA NA RAIS JK

FLORA NA RAIS JK

FLORA NA MH PINDA

FLORA NA MH PINDA

SHINY ,HEALTHY-LOOKING AND GORGEOUS HAIR' WHATSAPP +44 778 7471024

SHINY ,HEALTHY-LOOKING AND GORGEOUS HAIR' WHATSAPP +44 778 7471024

Monday 26 May 2014

BY FLORA LYIMO ~ HARUSI YA WASANII WA BONGO MOVIE 'HII HAPA 'HIVI HUKO TANZANIA HAKUNA MAGAUNI YA MAHARUSINI ?''NA IMEPAMBWA NA WASANII WENZAO 'AKIWEPO KAKANA MSANII MWENYE SAUTI YA KUWAFANYA WANAWAKE WAACHE HATA WAUME ZAO'' YANI SI MWINGINE NI SUPER STAR CLOUD'' HE GOT THE SEXIST VOICE TO LISTEN FOR EVER''MBUTA NANGA''

Msanii Lulu na Richie wakijimwaga na Maharusi' HIVI JAMANI LULU ULIKOSA MAGAUNI YA HARUSINI TENA HARUSI YA MSANII MWENZAKO 'AU MNAIGIZA MOVIE YA WACHAFUAJI WA SHUGHULI ZA WATU? MBUTA NANGA.

Cloud, Batuli, Richie, Mtitu na Steve Nyerere wakipita kuwapa mkono wa pongezi maharusi.O NA HAPA WAKAKA WALIVYOPENDEZA HASA THE ASALI YA WANAWAKE CLOUD'' SAFI SANA 'HEBU WAFUNDISHE NA WASANII WENZAKO WHAT TO WEAR KWENYE HARUSI PLEASE'

Wasanii wa Bongo Movie wakimtunza bibi harusi.…
Msanii Lulu na Richie wakijimwaga na Maharusi 'SASA LULU NADHANI ALIPOTEA NJIA YA KWENYE NIGHT CLUB .

Maharusi wakiwa katika pozi YANI SIJAELEWA MPORA WETU NDIYO KAOLEWA NA HILI GAUNI AU NDIYO ALIBADILISHA ? MAANA SIPATI PICHA MTU UOLEWE UJIKUTE UNAMCHAFULIA MME WAKO MAVAAZI YAKE'' HILI GAUNI SIYO LA KUFUNDIA HARUSI .I HOPE SIYO LILIKUWA HILI'' NITAMEHE IF IT WASN'T HILI FOR YOUR BIG DAY .
Wasanii Rado na Batuli wakionyesha umahiri wao wa kucheza muziki.



HATIMAYE wasanii Vanita Omari na Paulynus Mtenda wameuaga ubachela  kwa kufunga ndoa ambazo zilipambwa na wasanii wenzao kutoka klabu ya Bongo Movie, wakiwemo Steve Mengere  ‘Nyerere’, Elizabeth Michael ‘Lulu’,  Yobnesh Yusuph ‘Batuli’ ambao walijumuika katika ukumbi wa Mwika uliopo Sinza jjini Dar'
 HABARI NDIYO HIYO NADHANI YANGU MMESHAYASOMA NA KUYAWEKA MANANI 
PICHA PIA MNAONA ZINA LEBOOOOOO''' MBUTA NANGA' GLOBAL PUBLISHERS NISHAWATANGAZAAAA''
Follow:FLORA LYIMO FASHION POLICE BLOG.

1 comment: