KITENDA WILI"NYUMBA YANGU NDOGO LAKINI INAENEA WATU WENGI' MBUTA NANGA!!

FLORA LYIMO TZUK

FLORA LYIMO TZUK

FLORA LYIMO TZUK

FLORA LYIMO TZUK

FLORA LYIMO BLOG

FLORA LYIMO BLOG

FLORA

FLORA

FLORA NA RAIS JK

FLORA NA RAIS JK

FLORA NA MH PINDA

FLORA NA MH PINDA

SHINY ,HEALTHY-LOOKING AND GORGEOUS HAIR' WHATSAPP +44 778 7471024

SHINY ,HEALTHY-LOOKING AND GORGEOUS HAIR' WHATSAPP +44 778 7471024

Tuesday 13 May 2014

FLORA LYIMO FASHION POLICE BLOG'WACHA VIDEO IENDELEE'KAMA HUJAONA HII ONA HAPA NOW''Jay Z PHYSICALLY ATTACKED by Beyonce's Sister Solange [CLIP]


 Mdongo mtu huyooo'' Solange''Kabla ya kumlisha Shemeji yake mangumi na mateke yasiyo hesabika''
Flora Lyimo Fashion Police: say> Mimi kwa mtizamo wangu wa hiyo Video isozungumza bali matendo ni kwamba'' Inasemekana siku zote Beyonce na Mme wake na vile vile baba mtoto wake 'Huwa wanamaugomvi yao na hata kupigana lakini never in public'' Yani Beyonce ni sawa na wale wadada zetu wa Kitanzania ambao hupigwa na waume zao na wakiulizwa husema wameanguka au pasi imewachoma na mengine mengi''yani hawataki kabisa kujulikana kwamba wanapewa vipigo na waume zao ' Basi na Dada mtu hapa nae kaona isiwe tabu leo lazima ukome Utombi tombi wako''maana kunausemekano kwamba Jay Z'' cheat on her sister Beyonce hivi karibuni''sasa na ndiyo sababu kalishwa hayo mangumi na mateke huku Dada mtu akitizama na kubakia kuishia kusema maneno ya kibubu''' Leo ilikuwa siku ya MOSHI KUUSEMA MOTO AMBAO HUWAKA NDANI KWA NDANI NA KUZIMWA KABLA YA MOSHI KUJITOKEZA NJE'' But'' Still ''Mimi nishasema ''Ugomvi wa mtu na mke wake /mme wake wala usitaka kujiingiza kati''wewe tafuta jembe ukalime au ukanye na kufukia mavi yako ''' Mwakumbuka mambo ya Africa no toilet enzi za Mwalimu Nyerere ''eeee'' Kazi kwenu'' Msiwapige mashemeji zetu ''mtalaaniwa daima'' na huku wakipeana maraha yao ,,,na hata  na Mtoto mwingine soon mtaja sikia Bey ana Mimba nyingine '' Mbuta Nanga''
'

Beyonce seems to want to make sure she is composed in the moment the lift doors open and she was presented to the public once again. 
'She has an image of being the 'perfect woman' and it's as if nothing should compromise that - she will come out of that lift as if nothing has happened, no matter what. 
'The singer doesn't want to mess her hair and make-up, she even picks up the train of her dress at one point during the attack. 
'The rapper is the only member of the group who looks hurt as he exits the lift, the sisters seem to be
Verdict: Body language expert Judi James has given her opinion on the attack
Verdict: Body language expert Judi James has given her opinion on the attack
more intent on looking good.'
Judi notes that Beyonce's next few moments indicate where her alliances lie. 
'It's important that she glances at Solange and not Jay Z as she leaves the lift which suggests who she is protecting. Not to mention the fact that she left in a car with her sister and not her husband. 
'Solange is not so out of control that the bodyguard feels the need to hold onto her when she leaves the lift.
'He is confident that she will not hit out again in front of the cameras.'
It has since been claimed that Solange had a furious row with Kim Kardashian’s best friend on the same night. 
UsWeekly reports that the singer first lost her temper with fashion designer Rachel Roy, a close friend of Kim Kardashian before her attack on Jay Z.
Then, Solange can be clearly be seen kicking and swinging violently at Jay Z, the father of her two-year-old niece, Blue Ivy, after the trio step into the elevator.
The clip shows a man who appears to be a bodyguard holding her back, but the 27-year-old still manages to rain blows on Jay Z several times.
The bodyguard can also be seen pushing the emergency stop button in the elevator at the 12th floor, no doubt to stop the fight spilling out in front of photographers.   
The cause of the argument is not yet known.

HARD TALK....MBUTA NANGA YA MWAKA 2014'' BADO MOVIE INAENDELEA'' WAKULIMA WAVUNA MAHINDI YA KUKAANGWA KUTIZAMA MOVIE KWA WINGI'' Jamani baada ya JAY Z aka MUME YAKE BEYONCE kupigwa mangumi na mateke yasohesabika'' huku Dada mtu (BEY)akitizama bila kufanya kitu'' Je ..ANGEKUWA NI WEWE MME WAKO ANASHAMBULIWA ADHARANI UNGEFANYA NINI ? Have your say '' Mimi nishasema'' MME WANGU HAPIGWI HATA NA MAMA YANGU ALONIZAA'' KAMA NINOMA NA IWE NOMAA'' HUYO MDOGO WANGU ANGEJUTA KUZALIWA NA MIMI'' MBUTA NANGA'' Raha anazonipa Mme wangu ''HAKUNA MWINGINE WAKUNIPA'' SO HAPIGWIII'''
FLORA LYIMO FASHION POLICE BLOG

No comments:

Post a Comment