KITENDA WILI"NYUMBA YANGU NDOGO LAKINI INAENEA WATU WENGI' MBUTA NANGA!!

FLORA LYIMO TZUK

FLORA LYIMO TZUK

FLORA LYIMO TZUK

FLORA LYIMO TZUK

FLORA LYIMO BLOG

FLORA LYIMO BLOG

FLORA

FLORA

FLORA NA RAIS JK

FLORA NA RAIS JK

FLORA NA MH PINDA

FLORA NA MH PINDA

SHINY ,HEALTHY-LOOKING AND GORGEOUS HAIR' WHATSAPP +44 778 7471024

SHINY ,HEALTHY-LOOKING AND GORGEOUS HAIR' WHATSAPP +44 778 7471024

Monday 16 June 2014

BY FLORA LYIMO ~ IS DINNER TIME'' WASANII WA TANZANIA WAKIVUNJA MIFUPA NA RAIS MH.JAKAYA KIKWETE NDANI YA IKULU NDOGO DODOMA'' AMA KWELI MWILI HAUJENGWI KWA MATOFALI''


 Msanii Jb akiteta na Rais Kikwete Ushuhuda Tosha kwamba Rais wetu anawakubali wasanii wa Nchi yake na kazi wazifanyazo''Huku akimuambia JB'So you don't just want Food and Water ? JB'' that's Right Mr President ,I want Money /Everything''  Hahahhaa''Mbuta Nanga!!
 Rais Kikwete akionge na Ommy Dimpoz alipompa kazi yake' Safi sana tunataka kuona more of your work ''

 Ommy Dimpoz akichukua chakula Mwili haujengwi kwa matofali''Vunja mifupa ikiwa bado unaweza''
 Meneja wa bia ya Kilimanjaro George Kavishe'' wacha uchoy Boss Kilimanjaro hujatuletea hata tuonje onje moja moja inatosha''mbuta nanga!!
Mwili haujengwi kwa matofali kabisa'' pakua pakua ''
Warembo nao hawakubaki Nyuma wakisubiria kusafisha Vyombo''
 Meza zilijaa'' mpango mzima na Rais wa Nchi haukuachwa Viti wazi ''
 Rais Kikwete Akifurahi na Msanii Mrisho Mpoto Kicheko chao kinasema yote''


 Wasanii Izo B na Quick Racka wakichukua chakula
 Ruge Mutahaba na Sebastian Maganga
 Queen Darleen akichukua chakula' Jaza kabisa usimuogope Rais ''anapenda Walaji ''hapendi kuona vyakula vina mwagwa''
 Ridhiwan Kikwete Mbunge wa chalinze akichuka chakula''Kula upate Nguvu ya kutuongoza vyema '' just like your Baba'' 
Misosi wa nguvu huu''msiulazie dam kabisa ''Yani ni kula hadi kieleweke''
And the Man that Namzimikia kwa Anavyo igiza was there kuchukua Msosi huku akituvalia Tishati yake inayosema ya muhim ''Yeye hataki Msosi tu'' ana taka Hela na kila kitu kwa ujumla'' hapana chezea yeye kabisa'' Tisha sana Mtu wangu''
 Shilole na Mbabe wakee'nao walikuwepo hadharani ''

Fanya fasta fasta my dear'Mwenzio hapo kulia anavyokusubiria ni wali au Ugali? ''Mbuta Nanga'' 
ASANTENI KWA PICHA HIZI WAPEPERUSHAJI ''
FLORA LYIMO FASHION POLICE BLOG

No comments:

Post a Comment