KITENDA WILI"NYUMBA YANGU NDOGO LAKINI INAENEA WATU WENGI' MBUTA NANGA!!

FLORA LYIMO TZUK

FLORA LYIMO TZUK

FLORA LYIMO TZUK

FLORA LYIMO TZUK

FLORA LYIMO BLOG

FLORA LYIMO BLOG

FLORA

FLORA

FLORA NA RAIS JK

FLORA NA RAIS JK

FLORA NA MH PINDA

FLORA NA MH PINDA

SHINY ,HEALTHY-LOOKING AND GORGEOUS HAIR' WHATSAPP +44 778 7471024

SHINY ,HEALTHY-LOOKING AND GORGEOUS HAIR' WHATSAPP +44 778 7471024

Thursday 5 June 2014

BY FLORA LYIMO ~ MAREHEM TAYSON AAGWA IPASAVYO 'WATANZANIA WENZANGU MMETISHA'' POLENI SANA KWA MSIBA NA MUNGU AWEPENI NGUVU ZA UVUMILIVU 'AMEN' ONA WATU WALIVYO NA MAJONZI''

MWALI WA MARAHEM UKIWA UPO KWENYE GENEZA''ALIKUJA TANZANIA AKIWA ANAONGEA  ARUDISHWA KWAO KENYA AKIWA HAONGEI ' KWELI KIFO KIBOKO CHETU'' JAMANI NDUGU ZANGU WATANZANIA WENZANGU ASANTENI KWA UMOJA MLIO ONYESHA KWA KUHAKIKISHA WENZETU KULE KENYA NAO WATAFURAHI KWAKUONA MLIVYO HAKIKISHA KIPENZI CHAO KARUDI KWENYE MAKAO YAKE YA MILELE SALAMA'' (KWELI MMETISHAAA) WAKENYA NAO WATAJUA TANZANIA TUNAWEZA NA TUNAJALI '' MBARIKIWE SANA'' R.I.P. TYSON 'UTAKUMBUKWA MILELE NA KULILIWA NA KILA MTU''ONA MIMI FLORA LYIMO SIKUJUI SIJAWAHI HATA KUKUSIKIA HII NDIYO MARA YANGU YA KWANZA ''LAKINI NIMELIAJE 'NIMEBAKI NA SIMANZI HASA KUONA ULIVYO KUFA GAFLA  ''I FEEL YOU MONALISA,SONIA NA DA'MBONI 'OF THE MBONI SHOW' POLENI SANA'' NA WOTE PIA MLIOPATWA NA MSIBA HUU'' KIFO NICHETU SOTE''HATUJUI LINI NIKUJIWEKA TIYARI TU''
Every day is SPECIAL .So make the most of it,You could get a life -ending illness au hata Ajali kama Tyason Tomorrow so make the most of everyday 'Life is only bad if you make it bad'' R.I.P. WOTE MNAOTUTANGULIA AMEN''

POLENI SANA WATU WANGU ''YANI HAPA NA MIMI MACHOZI YANITIRIRIKA'' SO SAD''
TUPO PAMOJA WAPENZI WANGU,POLENI SANA 'MUNGU AZIDI KUWAPENI NGUVU '' MAMA NA MWANA' THE BONGO MOVIE SUPER STAR MONALISA AMBAE ALIKUWA NI MKE WA MARAHEM AKIWA NA MWANAE SONIA'' 
I FEEL YOU MPENZI WANGU '' MUNGU AZIDI KUKUPA NGUVU ZA UVUMILIVU ''

POLE SANA MPENZI''

WATU WENGI WAMEBAKIA WAKITIRIRISHA MACHOZI TU''POLENI SANA''

Kulia ni Mkurujenzi wa Kipindi cha THE MBONI SHOW''DA'MBONI  MWASIMBA akiwa kwenye majonzi makubwa kwani mwajua aliondokewa na Mwenzake Tyson Gafla na kumuachia Simanzi kubwa kwani kuna Mengi ya kazi zao walikuwa wamezipanga na sasa Tyson kaondoka bila ya kazi hizo kufanyika'' Mungu umpokee pema apumzike kwa Amani na Kuwapa wafiwa wote Nguvu za uvumilivu ''AMEN''
ASANTENI SANA KWA PICHA WAPEPERUSHAJI WETU HUKO TANZANIA
Follow:FLORA LYIMO FASHION POLICE BLOG'

3 comments:

  1. asante Flora Lyimo 'umesema ukweli ''WAMETISHA''' Kenya itajua Tanzania tunajali'''

    ReplyDelete
  2. florah mama hivi huyo maimatha haoni aibu kwenye msiba kujipodoa hivo na makope kama brush la chachandu.

    ReplyDelete
  3. Anonymous 03.12..HAHAHAA'UMEONA NA WEWE EEE'yani mimi nilishangaa'' HAKUNA KULIA MTU APO ''UWIII''KWELI AIBU''' Mimi naona alipotea njia ya kwenye nyama choma party''

    ReplyDelete