KITENDA WILI"NYUMBA YANGU NDOGO LAKINI INAENEA WATU WENGI' MBUTA NANGA!!

FLORA LYIMO TZUK

FLORA LYIMO TZUK

FLORA LYIMO TZUK

FLORA LYIMO TZUK

FLORA LYIMO BLOG

FLORA LYIMO BLOG

FLORA

FLORA

FLORA NA RAIS JK

FLORA NA RAIS JK

FLORA NA MH PINDA

FLORA NA MH PINDA

SHINY ,HEALTHY-LOOKING AND GORGEOUS HAIR' WHATSAPP +44 778 7471024

SHINY ,HEALTHY-LOOKING AND GORGEOUS HAIR' WHATSAPP +44 778 7471024

Friday 18 July 2014

WHATS ON ? BREAKING NEWS'' MANGE KIMAMBI ASHIKWA KWA KUIBA WIGS ZA MTU NA KUWAUZIA WATANZANIA WENZAKE'' AIBUU'' WALE WOTE AMBAO MANGE KESHA WATUKANA BILA SABABU WAJITOKEZA LIVE'' MANGE ZA MWIZI AROBAINI NA MALIPO HAPA DUNIANI'' HII NI PART 1 MBUTA NANGA!!


Huyo TREBELLA NDIE ALIE IBIWA WIGS ZAKE NA MANGE KIMAMBI ''NA IKIWA HAMJUI HILI TAPELI MANGE'SIKU IZI ANATUMIA JINA JIPYA' Hollywoodshopaholics''
Sasa mwanamke huyu tapeli na mwizi mange anataka Watanzania wamtetee kwasababu alie muibia kazi zake siyo mtanzania' je huo ni ungwaana? Yani wanao mtetea ni wale wasiojua uchungu wa kitu chako hasa biashara na wale haters wenzake wanao tumia blog yake kama choo'' to comments kimajivu ili wasijulikane na hao hao ndiyo wanaomtukana mange pia'' yani is like this''one person anamtukana in one comments and the next comment anamsifia ili Mange asigundue '' Mange umeiba umekamatwa nyamaza kimnya''wacha kutufanya tufufue mauchafu yako ''
Hii nimeichota na kumimina kutoka kwenye kile kiblog nuka chake'' sasa ona vile alivyo ingilia kesi changu'' picha zangu aingie kwenye Blog yangu ''KUIBA'' alafu kaenda kuziandika utumbo wake mchafu wa Nguruwe haram'' hapa leo anadaiwa kwa kuiba kazi za mdada wa huko marekani ''badala akiri makosa yake na afunge domo lake chafu '' sasa anza kuwafanya watu ambao washa mpotezea na kumsamehe aliyowatenda ''kuyafufua yote'' kama vile yeye anavyo wafufulia wenzake'' sasa mange nachokuomba Ni hiviii''

FUNGA KAMA WAISLAM NA WEWE WAJIFANYA SIJUI MUISAM PIA??'' OMBA MSAMAHA SISI WOTE ULIOTUKOSEA'' Mtu kama Mimi sijawahi hata siku moja kuchukua picha zako na kuingilia Ugomvi wako wa wizi au wa lolote'' i only do my Job''Flora Lyimo Fashion Police ''na only ikiwa umechafua au umemvalisha mwanao mavaazi ya Mtu mzima'' na ma'wigs ya watu wazima''sijui nayo uliibia nani ? wacha wajitokeze ndiyo na hiyo marekani utaikimbia 'mbuta nanga!!

SOMENI UTUMBO WAKE MCHAFU MANGE MWIZI ALIEKAMATWA 2014 KAMATA MWIZI POLISI''

YULE DADA ALIEBAKWA NA MBUNGE WA CHADEMA AAMUA KUTUBEEP MAUTAMUZ YAKE…..

Hizi picha kazi post mwenyewe kwenye blog yake,
anasema anataka kuwaonyesha watu maana ya picha za uchi na picha sizizo za uchi.
Sio kwamba nimetumiwa picha na mtu nimdhalilishe hapana
ni yeye mwenyewe kaamua kuzipost kwa blog yake to share with the world
alichobaka mbunge wa Chadema…….
Ningeweka link ya blog yake ila naona kama akipata wasomaji wengi zaidi
anaweza kuweka za uchi wa unyama kabisa…….

Ofcourse she is not exactly naked ila duh, I feel really bad for this woman.
Ynai kama hizi picha zingekuwa zimeibiwa mtu akatuma kwneye blogs ningemwonea huruma sana
ila kaamua kupost mwenyewe…. Hata kama ndo kuishi ulaya ila duh….
How are people supposed to believe she was really raped by that CHADEMA guy
I mean some may think labda yeye ndo alimbaka yule baba…..
If its about kupata comments and readers for your blog you have gone too far madam….
Yani hapa nakulinganisha na wale wenye miaka over 35 na bado wanabebeshwa mimba za kwenye majani
mpaka leo hii ili mradi tu waonekane wapo sambamba na kina fulani….lol…..
Mimba ya utotoni watu wanakuelewa ulidanganywa hivi na vile ila uzeeni bado unapigwa mimba za nje ya ndoa, Im sole chief una gundu….lolest…..
Jiwe limerushwa gizani hilo……..lolest…..

“I’M SEXY AND I KNOW IT”’ FLORA   NAJIPENDAJE SASA” ENJOY THE SONG” AND THE NO UCHI WAONASEMA PHOTO’S” HAHHAHAAAA” MAJANGAAA,,MBONA MAJANGAAAA!!”
Hayo ni maneno yake huko kwenye blog yake

Huko london pana bore sana eeh?
Maana mie nahisi she was just bored….

FLORA LYIMO NASEMA HIVI''
Bora London tukiboeka tunajipiga Picha kama hizi ''Kuliko wewe when you are bored UNA KWENDA KUIBA'' soon watakuvisha matairi wakuchome''wacha wizi mama mzima una sema umeolewa na Mzungu siyo Bure kuna mengi unayaficha na huyu Mzungu bandia wako'' Wazungu ni Waingereza wengine ni Rangi tu'' so endelea na wizi wako ''soon watakufunga tena maana miaka 13 iliyopita tumeambiwa ulikuwa umefungwa huko Marekani kwa wizi ''wakujuao wajitokeza na je unahitaji ushaidi ? maana upo ''yani usifikiri una lakumsemea Mwanamke mwenzako libaya wakati wewe yako kibao '' na my picha bila aibu ona ulivyo niibia na kwenda kuhiharibia kesi changu'' 
Mange the mwizi ''alisema kwamba hizo picha zangu zingekuwa ni mtu kaziiba na kuzituma kwa watu angenionea huruma'' Sasa Mbona hizi za Stella umetumiwa tena na mwanaume kama ulivosema na kuzipost at your kiblog nuka na kumdalilisha Stella'' ? kwani Stella ndiyo aliekutuma ukamuibie Trebella Wigs zake (picha) Yani wewe MANGE NI MNAFIKI MKUBWA NIMEKUWA NAKUTETEA KUMBE NI MWIZI NA TAPELI NA ASIE PENDA MAENDELEO YA WATANZANIA WENZAKE NA PIA MWENYE KUWAZARAU WANAUME WASIO NA HELA'' UNADHANIA WANAWAKE WOTE NI WAKUTAFUTA HELA KWA KUMA KAMA WEWE ? WENGINE KAMA MIMI HUKU NATAFUTA HELA KWA AKILI ZANGU NA MIKONO YANGU''NA NIPO TAYARI FOR ANY MWANAUME AMBAE TUTAPENDANA BILA KUTIZAMA HELA'' YANI MAPENZI YA UKWELI HAYAHITAJI HELA KABISA'' SASA WEWE UNAKAA NA HUYO MME WAKO MZUNGU JINA KWA HELA''USITUFUNDISHE NA SISI WENGINE TUFANYE HIVYOO'' NA UMKOME ''EZDEN ' UNAWEZAJE KUMUITA ULIVYO MUITA KIMADHARAU UTADHANI WEWE NDIYO ALIEKUWA KAKUOWA HADI UMJUE NA HELA ALIZO NAZO'' PUMBAVU ZAKO'' HUNA MOJA WALA MBILI LAKUWAFUNDISHA WANAWAKE WENZAKO'' 
USHINDWE KATIKA JINA LA YESU '' YOU ARE NOTHING BUT A ''THIEF'' ALAFU UNAKWENDA KUUZIA WATU YOU SCAM THEM'' MBUTA NANGA''

16 comments:

  1. Kwani hujapewa Eid angalau ya siku 2, pole maumivu ya kichwa ndiyo hupona kwa staili hiyo, sasa hapo ndiyo nini unapunguza au unauwasha motto, Frola hebu acha Mange siyo chizi mnamchokozaga wenyewe hebu nenda kkwa Chag ukaone alivyomuanza hata kama kweli amekosea kuna jinsi ya kumfikishia mtu ujumbe siyo namna hii
    unamuita mwizi je ni kweli? Kila siku unasema tupendane ndiyo kupendana huku? kaangalie IG Linda na mwanaye walivyochamba, Mange hajatolewa nyongo, pia juweni kuwa mnavyomuanza ndiyo mnampa promo sasa mwezi wa nane anatua Bongo utaona anavyouzaaaaa

    ReplyDelete
    Replies
    1. shouger usitetee mwizi kwani uongo ameiba kazi ya mdada wa kimarekani mwizii huyoo na wewe msukule wa mange kwendraaa jibuni swali mwizi au sio mwizi? usilete story ndefu ya chag kaingiaje kwenye wizi? Mange umeiba kazi ya mdada wa mawigi full stop mwizi huyoo kamata mwizi

      Delete
  2. Flora usiingie kichwa kichwa, huyo Trebela hauzi mawigi kama unavyouza wewe, yeye ni fundi wa kushona mawigi, unapeleka mwenyewe nywele zako kisha anakutengenezea kwa bei hiyo ya $179 sijui. Ingekuwa ana duka la mawigi au kayaweka dukani kwake kama wewe hivi hapo ndio tungeweza kusema Mange kaiba mawigi ya watu anayauza kwa bei ya mara 3 yake. Lakini sio hivyo hizo ni design za wigi huyo Trebela anazotengenezea watu. Kama huamini ingia kwa huyo Trebela halafu mwambie akuuzie wigi japo moja tu usikie atakavyokwambia.

    Wakati mwingine sio vizuri kukurupuka tu na kujugde bila kujua story yote. Haya Tuseme twende tukanunue hayo mawig kwa huyo Trebela tutayapata? Hebu jaribu uone sio kuingia tu kwenye mkumbo.

    Ni kweli Mange mwenyewe kakubali kuwa katumia picha za mawigi anayotengeneza huyo Trebela, lakini alisema wazi kuwa mawigi hayo hatengenezi yeye, kuna mtu anatengeneza, mie nilisoma hiyo kwenye insta yake, kasema kuna mtu anatengeneza ndio anauza. Hakuna mahali alikosema yeye ndio anatengeneza hayo mawigi. Ila hakumtaja jina, hata mie nisingemtaja jina kwa sababu ni biashara. Ni sawa na mtu kuchukua mishono ya nguo kwa fundi cherehani akasema nitauza hizi nguo za aina hii wakati vitambaa ananunua mwenyewe na yule fundi analipwa tu gharama za kushona hizo nguo, lakini kusema eti kaiba nguo kwa fundi cherehani ili akauze itakuwa ni makosa.

    Kingine ni kuwa huyo dada wa Trebela kakosa biashara, kwa sababu yeye angekuwa na kazi ya kushona mawigi ya order ambayo angepelekewa na Mange, haya na risiti kaionyesha aliyonunua hizo nywele na kuzipeleka. Utaona atapata washonaji wengine na ataendelea kuuza mawigi yake kama kawaida. Na wewe kurudia mambo ya mwaka 47 yaliyopitwa na wakati ni nini sasa? Kwanza amekusifia wewe mwanamke mchakarikaji kisha unaenda kujiingiza na wauza sura, ndio Stela ni dada wa shogako, mchaga mwenzio lakini kakosea.

    Hata wewe hapo leo mtu akienda kule unakonunua vitu vyako ili aje aseme uwanjani kuwa Flora haya mabegi au viatu ananunua Paundi 5 tena ananunua mahali fulani kisha anakuja kuwauzia kwa Paundi 10 au 20 utaona ni vizuri? Si wateja tutaenda kule ambako unanunua kwa paundi 5 na sie tukanunue huko huko badala ya kuja kununua kwako. Kibiashara haikukaa sawa.

    Na kama kweli unampenda huyo Stella mwambie aache kutuma mapicha ya uchi kwa watu, bora wewe za kwako unajitundikia hapa hapa kwako, na watu kibao wanazichukua wanazipeleka kwenye blogu zao mbona hujawachamba? Tena Stela huyu huyu unaemtetea hapo anaenda kuwasemea watu Immigration kuwa wana ndoa za makaratasi, yeye inamuhusu nini? SI afanye yake na awaache watu wafanye yao watafute maisha yao. Maisha ni kutafuta sio kutafutana. Pole na kuugua, nakutakia upone haraka.

    ReplyDelete
    Replies
    1. hili gazeti ungelipeleka globpublisher kifupi Mange ni mwizi utatujazia mtiririko wa maandishi na majina ya watu kibao utayataja mwisho wa siku tunarudi palepale Mange kaiba kazi ya trebelle punguza longolongo kamuelimishe mange next time asitumie kazi ya mtu iwe fundisho kama hiyo degreee ya kiarabu haikumfunza basi dunia imemfunza mwizi wetu

      Delete
  3. Mwanamke yule ameumbuka kwa wizi amekomaa mpaka ukimpiga jiwe linadunda! Amekuchokoza mwenyewe na data zake nyingi tunazo mbona kama uko tayari tukupe mavituzi anapewa kichwa na wanaocomment pale lakini na wao wanajua ukweli mange ni mwizi kusema watoto wa wenzake vibaya utadhani wa kwake wazuri. Angalie lile Bhoke lake pua kama tako la chura alafu anamsema suzy pua yake mbaya haoni ya mwanae hao wengine ndio usisema kama Nguruwe pori Mange umechuja wewe unatafuta umaarufu mavi kwa kutumia majina ya watu wakubwa watafutaji kama LB tena umkome kabisa. Yani umekomaaaaa halafu hawakuambiii huyo lace sasa sijui lace material jekundu kama mkundu wa nyani asiyejua maisha ya mange ndio atababaika lakini tunaokujua huna lolote mxchew! Flora usibanie hii pls

    ReplyDelete
    Replies
    1. umaarufu wake wote kwishney sikuhi ilikua zamani kabla watu hawajamjua alikua akitoa timbwili mpaka blog inajam nenda leo kule kuna comment 120 watu kumi tu ndio wanato comment kila mtu kumi kumi hao hao wanajirudia masikini wale mawaziri wake wote wamaana wamemkimbia kabaki na koku na Csmom anarudia matusi yale yale hayana kichwa wala miguu ushuzi tu umeishiwa Mange marafiki wa maana kina mwammy wamekutema mawaziri wako wa maana kina baby yake wametokomea umebaki na wanafiki wanakufagilia na majina yao halafu wanageuka wanajifanya anoy wanakutukana

      Delete
  4. Mange anapenda kujikweza ila mshamba masikini tu linaishi ka chawi halina marafiki kwa unafiki wake. huyo mume mwenyewe kamuibia rafiki yake akaolewa yeye, wizi uko ndani ya familia yao. Achana naye huyo kibaka 40 zake ndio zimefika hana jipya ni muuza K muulize loveness shoga yake anayeishi Liberia, anamuazimaga hela ya kufanyia matanuzi mfyuuuu

    ReplyDelete
  5. Flora Lyimo upo juu mama wa kichagga hiyo nimeikuta kule kwa mange''kumbe anakuogopaa eee'' the top in town 'mbuta nanga''wewe mwisho wa barabara'''
    Mange Kimambi
    JULY 18, 2014 AT 10:02 AM
    REPLY
    Bwana huyo Mheshimiwa kanipia simu kasema nimwachie yeye anapanda ndege usiku huu anaenda kumbaka tena, ila kasema this time anakula shimo la taka alafu bila KY…….
    Yule anawezwa na Le Mutuz tu sisi wote hatumiwezi hata tumeweke humu. Yule kiboko yake Le Mutuz na Mheshimiwa tu…..Mie mwenyewe nimesalimu amri.

    ReplyDelete
  6. UPO JUU FLORA UPO JUU'' MANGE MWENYEWE ANAKUPENDA 'BASI MSAMEHE BUREEE'' HAJUI ALIFANYALO HADI KWENDA KUIBA MAWIGI''LOL''
    Mange Kimambi
    JULY 18, 2014 AT 9:55 AM
    REPLY
    Hahahah Koku, Flora nampenda sana siwezi mleta humu. Ila yule mheshimiwa kaniambia anaenda UK kumbaka tena. ila this time kasema atambaka nyuma :lol: :lol: :lol: :lol: :lol: :lol: ….
    Mbuta Nanga kiboko yake Le Mutuz. Mie simuweziiiiiiiiiii…….. Tumsamehe tu jamani…..

    ReplyDelete
  7. JAMANI MY DEARS..MIMI NAWAOMBA MSIWEKE COMMENTS YOYOTE YAKUMTUKANIA WATOTO WA MANGE'' MWACHE YEYE ATUKANE WATOTO WA WATU ,,MWANZO BHOKE NAMUONAGA KAMA NI MWANANGU MAANA TWA FANANA .LOL... ILA PLS NAWAPENDA SANA WATOTO MSIWATUKANE KISA MAMA YAO AU BABA YAO KAWATENDA....TUTUKANANE WATU WAZIMA KWA WAZIMA NA IKIBIDI TUPANDIANE NDEGE'' FACE TO FACE KUKUTANA NA KUAMBIZANA SIYO SHIDA KWANGU KABISA..MAANA MIMI HUYO MANGE NAWEZA MCHAMBUA KAMA MCHICHA '''WALA HATA LAST LONG'' COMING SOON......

    ReplyDelete
    Replies
    1. kwii kwii mbuta nanga mbavu zangu mie kweli umefanana na aunty yako nimekupenda kwa hilo Flora watoto hapana

      Delete
  8. UWIIII''Anonymous ulie andika daftari ''' MIMI HUYO STELLA MWANZO HATA SIMJUI NA MIMI SIMTETEI NA WALA SIMTETEI MTU HAPA..MIMI NAONGEA POLE AMBAPO MAMNGE ANASEMA WATU WASIFANYA NA YEYE KAFANYA'' Pili ''aliiba my photos na kwenda kuniharibia kesi changu ..Tatu bado anaendelea kuniharibia..UMEONA HIZO COMMENTS ZIMETOKA KWA MANGE MTU KAZINITUMIA /////SASA MTASEMAJE NAINGILIA UGOMVI'' SIJAINGILIA MANGE ANGEWAACHA WATU WAMTUKANE NA SIYO KWENDA KUJIDAI YEYE NDIYO HAINGILII KESI ZA WATU NA WAKATI YEYE ANAINGILIA NA KUONA RAPE NI GAME ANAYOCHEZA NA HUYU MZUNGU JINA ...ALAFU BILA HAYA'' YEYE NI MAMA NA IPO SIKU WATAMBAKA TENA NA HUYO MZUNGU WAKE AKIKUWEPO PEMBENI ANAONA KILA KITU'' CHEZEA DUNIA WEWE ''UONE ITAKAVYOKUCHEZESHA'' NI HAYO TU'' NAOMBA MUNGU IPO SIKU MANGE ATABAKWA NA DUNIA ISHUHUDIE''' COMING SOON '''

    ReplyDelete
  9. Anachojitetea mi sikioni kibiashara yeye ni mwizi hata km uliongea na mwenyemali afu uchukue picha zake a kuzitundika kwako bila ruksa ni wizi bila mjadala mbaya zaidi katoa logo yake afu mtu anakazana kutukana na kuumbua watu. nawashangaa wanaoagiza hayo mawigi wakati wameshamtibua mtengenezaji sijui atayatoa wapi tena awauzie waliomuagiza. anatamba anamasters mi naona ya matusi angekuwa na ya biashara angepeleka nguvu zake kwenye biashara kuliko kutukanana na watu na kusearch maisha yawatu siku mbili nzima biashara hatangazi anatangaza matusi lakini kanisaidia km mimi nilikuwa siijui blog yako nimeijua sasa

    ReplyDelete
  10. Dada una ushahidi written by mange following a phone conversation she had na muheshimiwa kwamba alikubaka na atakubaka tena. U are being threatened therefore you have the right to reopen the case, this time with more evidence. A warning to her will be enough kupunguza cyber bullying in future.

    ReplyDelete
    Replies
    1. I agree Flora take action usimcheleweshe huyo changudoa

      Delete