KITENDA WILI"NYUMBA YANGU NDOGO LAKINI INAENEA WATU WENGI' MBUTA NANGA!!

FLORA LYIMO TZUK

FLORA LYIMO TZUK

FLORA LYIMO TZUK

FLORA LYIMO TZUK

FLORA LYIMO BLOG

FLORA LYIMO BLOG

FLORA

FLORA

FLORA NA RAIS JK

FLORA NA RAIS JK

FLORA NA MH PINDA

FLORA NA MH PINDA

SHINY ,HEALTHY-LOOKING AND GORGEOUS HAIR' WHATSAPP +44 778 7471024

SHINY ,HEALTHY-LOOKING AND GORGEOUS HAIR' WHATSAPP +44 778 7471024

Friday 8 August 2014

BY:FLORA LYIMO~ YALIYOPO NDANI YA GLOBAL PUBLISHER ' NA UWAZI >MREMBO :MBUNGE KANIBAKA' JAMANI MBUNGE HUYO MFAHAMUNI HAPA 'NI GODBLESS LEMA MBUNGE WA ARUSHA ' MIMI FLORA LYIMO ALL I WANT IS JUSTICE!!!

Posts

MREMBO: MBUNGE KANIBAKA

Posted by GLOBAL on May 14, 2013 at 8:00am                                             
 
Sifael Paul na Erick Evarist

BINTI mrembo aitwaye Flora Bahati Lyimo anamtuhumu mbunge mmoja ‘mtata’ wa Bunge la Jamhuri ya Muungano wa Tanzania linaloongozwa na Spika Anne Makinda (jina tunalo) kuwa amembaka, Uwazi lina kisa cha aibu ya karne.
 
Flora Bahati Lyimo.
Katika uchunguzi wake, hivi karibuni gazeti hili lilielezwa kuwa kuna habari ya kashfa nzito inayomtafuna mbunge huyo anayetokea Kanda ya Kaskazini lakini haikufafanua kwamba inahusu nini.



VYANZO

Baada ya…

Sifael Paul na Erick Evarist
BINTI mrembo aitwaye Flora Bahati Lyimo anamtuhumu mbunge mmoja ‘mtata’ wa Bunge la Jamhuri ya Muungano wa Tanzania linaloongozwa na Spika Anne Makinda (jina tunalo) kuwa amembaka, Uwazi lina kisa cha aibu ya karne.
Flora Bahati Lyimo.
Katika uchunguzi wake, hivi karibuni gazeti hili lilielezwa kuwa kuna habari ya kashfa nzito inayomtafuna mbunge huyo anayetokea Kanda ya Kaskazini lakini haikufafanua kwamba inahusu nini.

VYANZO
Baada ya kutulia na kupekua kwenye vyanzo vyake, Uwazi lilibaini kuwa kashfa inayomlenga mheshimiwa huyo ni ya ubakaji na tayari imefikishwa mahakamani huko London nchini Uingereza.
Habari hiyo ilielezwa ‘kijuujuu’ hivyo gazeti hili likamtafuta Flora ambaye ni Mtanzania anayetokea mkoani Kilimanjaro ambaye anaishi katika Jiji la London kikazi.

MAZITO
Alipopatikana Flora alibanwa kisawasawa ndipo akaibua mazito huku akieleza tukio zima lilivyofanyika kwa data na vielelezo vya kila aina ikiwemo barua ya Mahakama ya Crown ya London.
“Ni kweli mheshimiwa … (anamtaja jina) alinibaka Agosti, mwaka jana. Yeye na makada wenzake wa chama chake walikuja hapa London kwa ziara ya kichama na kwa kuwa mimi sina chama nilikwenda kuhudhuria mkutano wao kwa kuwa nina mtandao wangu (blog) hivyo nilitaka kupata habari za kuingiza kwa sababu ni za watu wa nyumbani (Tanzania).
Spika Anne Makinda.
MAZOEA YAANZA
Akiendelea kuweka wazi kisa hicho, Flora anasema: “Nikiwa kwenye mkutano….(jina la mbunge) alinifuata akaniuliza nimeandika watu wangapi waliohudhuria mkutano huo, nikamjibu 50 akaniambia niongeze idadi hiyo ili ionekane mkutano ulikuwa na watu (Watanzania waishio Uingereza) wengi.
“Hapo ndipo alipoanza kunizoea. Alitaka kunipa kadi ya chama chake  nikakataa, ndipo akadai kwamba mimi nilitumwa kwenye mkutano huo na balozi na rais kwa ajili ya ushushushu.

KISA KUJISAIDIA HAJA NDOGO
“Mkutano ulimalizika, sasa nilipokuwa naondoka kurudi nyumbani kwangu, mbunge huyo na wenzake nao walitoka. Tukiwa njiani wenzake walikwenda kujisaidia haja ndogo, yeye akaniomba akajisaide nyumbani kwangu, nilimkubalia. Alipofika ndani, bila kujua kila kitu kinaonekana kwenye kamera alinibadilikia kama vile adui vitani, ona sasa wema wangu ukawa umeniponza.

HADI KITANDANI
Alinirukia, akaniburuza hadi kitandani kwangu. Nilipokuwa mkali na kwa namna nilivyokuwa nimechanganyikiwa sishikiki ndipo akanivamia maungoni, akanichania nguo zangu akitaka nimwachie atimize lengo lake la kuniingilia kimwili kwa nguvu.
“Nilijitahidi ili asifanikiwe, nikamwambia amekwisha kwani lazima nimwanike ndipo akanipiga nusu aniue akisisitiza kuwa kama nitauanika uovu wake huo au kuchukua hatua zozote ataniua.
“Inaniuma sana, kunibaka anibake halafu atishie kuniua, unyama gani huu?”

AITA POLISI
Flora anaendelea kusema:
“Katika purukushani hiyo, nilipopata mwanya kidogo tu, nikapiga namba ya polisi 999 kuomba msaada. Alipoona hivyo alitoka na kutokomea kusikojulikana. Polisi walipofika hawakufanikiwa kumkamata.”

UBAKAJI/KUTISHIA KUUA
Flora alisema polisi walimchukua na kila kitu cha ushahidi zikiwemo nguo zake hadi kituoni, wakamhoji kwa kumrekodi sauti, wakampa namba ya jalada la kesi inayosomeka; 4621279/2012-UBAKAJI/KUTISHIA KUUA ambapo hadi leo mbunge huyo anasakwa na Polisi wa London, akikanyaga tu Uingereza lazima akamatwe akajibu tuhuma za ubakaji na kutishia kuua.
Flora akaongeza: “Ukweli ni kwamba hakufanikiwa kukamatwa kwa sababu alikuwa na passport za kidiplomasia ambazo nyingine hakutumia jina lake halisi.
“Kesho yake nilisikia alikimbilia Ujerumani, nikawaambia polisi lakini walikumbana na tatizo lile kwani majina niliyowapa siyo aliyotumia kuingia Ulaya.
“Januari mwaka huu nilipotaka kurudi nyumbani Kilimanjaro, mahakama ya hapa (Uingereza) ilinipa barua ambayo nilipofika niliipeleka Kituo Kikuu cha Polisi Moshi nikafunguliwa faili Namba Mos/RB/17127/12 kwa ajili ya ulinzi chini ya R.C.O Ramadhan Ng’anza.
Kamanda wa Polisi wa Mkoa wa Kilimanjaro, Robert Boaz.
“Niliwaeleza kuwa mtu anayetaka kuniua ni mbunge huyo. Kweli waliahidi kunisaidia, nilipoondoka kurudi London niliwasiliana na polisi Kilimanjaro lakini niliona kama kuna kitu au mbunge huyo yupo juu ya sheria kwani walikana kunifahamu.

ASHINDA MAHAKAMANI
“Sitachoka kutafuta haki na kutetea wanawake wanaobakwa kila siku wanaona aibu kusema, naamini aibu haipo kwa mbakwaji bali kwa mbakaji, yule …. (anataka jina) ni mbakaji.
“Nimesharipoti mashirika mengi ya haki za binadamu ya Uingereza. Kuna siku nilishinda mahakamani, kule ni yeye tu anasubiriwa atiwe mbaroni akasimame kizimbani ndipo dunia itajua ninachokisema.”

ASUBIRIWA KIZIMBANI
Flora allisema kama kweli mbunge huyo ni mwanaume aende tena jijini London kama hatasimamishwa kizimbani na kuozea jela.”
Uwazi, kabla ya kumtafuta Kamanda wa Polisi wa Kilimanjaro, RPC Robert Boaz, Jumamosi iliyopita lilimtafuta RCO Ng’anza ambaye alisikiliza mkasa mzima na kudai kuwa hamfahamu Flora lakini alipobanwa alidai yeye siyo msemaji wa jeshi hilo kisha akakata simu.

KAMANDA WA POLISI
Kwa upande wake RPC Boaz alisema kuwa kipindi kinachotajwa cha mwezi Januari yeye alikuwa likizo ndefu na hajawahi kusikia habari kama hiyo lakini akaahidi kuifuatilia kwa RCO Ng’anza na baadaye arudishe majibu kwa Uwazi.
Alipotafutwa tena Jumapili iliyopita kwa njia ya simu yake ya mkononi hakupatikana hewani.

SASA NI ZAMU YA MBUNGE
Kama ilivyo desturi ya Uwazi, Jumamosi hiyohiyo lilimtafuta mbunge anayetajwa katika aibu hiyo kubwa huku akiwakilisha wananchi wa jimbo lake ambapo alisomewa kisa kizima kisha akapewa nafasi kuzungumzia au kufafanua kashfa hiyo ya karne.

Huku akirekodiwa neno kwa neno, mheshimiwa huyo alisema: “Huyo mwanamke (akatajiwa jina la Flora Lyimo) simfahamu lakini usikubali kushiriki kwenye dhambi ya kunichafua kwa sababu ni uongo.

Uwazi: Kwa hiyo mheshimiwa hujawahi kusikia habari hiyo?
Mbunge: Niliisikia, ninaifahamu. Ina karibia miezi nane sasa kwani ameibuka sasa hivi?
Uwazi: Sasa kama hiyo habari ni ya uongo kwa nini usimshitaki?
Mbunge: Habari hiyo ipo mtandaoni, kama nikisema nishitaki mitandao nitashitaki mingapi? Mbona …(anautaja mtandao wa kijamii wa Tanzania) wameshanichafua sana. Nikianza kuhangaika na kesi najua miaka yote mitano nitakuwa mahakamani badala ya kuendesha harakati jimboni mwangu.
Uwazi: Kama anakusingizia kwa nini wewe?
Mbunge: Huyo ametumwa na …(jina la mwanasiasa mkubwa nchini) na …(jina la chama), huko ni kuchafuana kwa sababu kama ni kunikamata, nani asiyejua jimbo langu, ofisi yangu, nyumbani kwangu na umaarufu wangu? Mwambie aje sasa hivi anikamate.

TURUDI KWA MLALAMIKAJI
Baada ya kusikia majibu ya mbunge huyo, Uwazi lilirudi kwa mlalamikaji Flora na kumweleza alichokijibu mbunge huyo ambapo na yeye alisema:
“Nawatumia picha wakati akiingia na kutoka kwangu kwani huku kuna kamera za mtaani zinachukua kila tukio. Unajua lazima abishe kwa sababu ni aibu kubwa kwake na chama chake.”

KUTOKA UWAZI
Sakati hili ndiyo tumeanza kulichimba, mambo mengi yataibuka kwa kuwa tunajiridhisha kwanza na muda wowote tutamwanika mheshimiwa huyo ili ajitokeze na kuthibitisha kuwa hakufanya kitendo hicho kwani mlalamikaji ameshasema yake
GODBLESS LEMA MBUNGE MBAKAJI WA ARUSHA
YANI HAPA MWENZENU NAONA KAMA NDIYO NACHIZIKA VILE'' YANI IT WAS TAREHE 8/8/2012 NA LEO TAREHE 8/8/2014 WAKATI HUYU MBUNGE MBAKAJI ALIVYO NITENDEA ANAYO ONA YEYE NI POWA SABABU ZA KUNIBAKA ON SIKU HII NI KWA MIMI KUTUMWA NA WATU WA CCM...YANI MPAKA LEO AISEEE''RUWA MANGI''
Bado my justice to ona na macho siyo siri tena basi Mimi najiandaa hivi naja Nyumbani kufia nyumbani 'kwa kifupi naja Tanzania kumfuata Lema mwenyewe hadi kieleweke'' ni hayo tu ''hapa nauchungu sana ''Eee Mungu nipe uzima na Nguvu zaidi za kuweza kunituliza machozi yangu  '
Ruwa aika Mbee''
FLORA LYIMO FASHION POLICE BLOG
YANI HAPA MWENZENU NAONA KAMA NDIYO NACHIZIKA VILE'' YANI IT WAS TAREHE 8/8/2012 NA LEO TAREHE 8/8/2014 WAKATI HUYU MBUNGE MBAKAJI ALIVYO NITENDEA ANAYO ONA YEYE NI POWA SABABU ZA KUNIBAKA ON SIKU HII NI KWA MIMI KUTUMWA NA WATU WA CCM...YANI MPAKA LEO AISEEE''RUWA MANGI''
Bado my justice to ona na macho siyo siri tena basi Mimi najiandaa hivi naja Nyumbani kufia nyumbani 'kwa kifupi naja Tanzania kumfuata Lema mwenyewe hadi kieleweke'' ni hayo tu ''hapa nauchungu sana ''Eee Mungu nipe uzima na Nguvu zaidi za kuweza kunituliza machozi yangu  '
Ruwa aika Mbee''
FLORA LYIMO FASHION POLICE BLOG

No comments:

Post a Comment