KITENDA WILI"NYUMBA YANGU NDOGO LAKINI INAENEA WATU WENGI' MBUTA NANGA!!

FLORA LYIMO TZUK

FLORA LYIMO TZUK

FLORA LYIMO TZUK

FLORA LYIMO TZUK

FLORA LYIMO BLOG

FLORA LYIMO BLOG

FLORA

FLORA

FLORA NA RAIS JK

FLORA NA RAIS JK

FLORA NA MH PINDA

FLORA NA MH PINDA

SHINY ,HEALTHY-LOOKING AND GORGEOUS HAIR' WHATSAPP +44 778 7471024

SHINY ,HEALTHY-LOOKING AND GORGEOUS HAIR' WHATSAPP +44 778 7471024

Sunday 12 July 2015

WHATS NOW ? HII NDIYO KARIAKOO DAR ES SALAAM TANZANIA WATU WAKIWA KWENYE MOOD ZA KUNUNUA VITU VYA SHEREHE YA IDD' MBUTA NANGA!!

  Wananchi wa jiji la Dar es Salaam wakiwa katika harakati za kutafuta mahitaji kuelekea sikukuu ya kuhitimisha mwezi mtukufu wa Ramadhani.
 Mzigo ukishushwa tayari kwa kuuzwa.
Msongamano wa magari  katikati ya kariakoo jijini Dar es Salaam.
Hapa ni maongezi ya biashara na kununua tuu.
Aisee ni shida tupu ,Yani siyo kwa msongamano huu'' Alafu na lile jua kali sa'sa'' #ngachoka
TUMECHOTA NA KUMIMINA KUTOKA MICHUZI '

No comments:

Post a Comment