KITENDA WILI"NYUMBA YANGU NDOGO LAKINI INAENEA WATU WENGI' MBUTA NANGA!!

FLORA LYIMO TZUK

FLORA LYIMO TZUK

FLORA LYIMO TZUK

FLORA LYIMO TZUK

FLORA LYIMO BLOG

FLORA LYIMO BLOG

FLORA

FLORA

FLORA NA RAIS JK

FLORA NA RAIS JK

FLORA NA MH PINDA

FLORA NA MH PINDA

SHINY ,HEALTHY-LOOKING AND GORGEOUS HAIR' WHATSAPP +44 778 7471024

SHINY ,HEALTHY-LOOKING AND GORGEOUS HAIR' WHATSAPP +44 778 7471024

Sunday 12 July 2015

WHATS NOW ? TOP 3 BORA YA WANAOWANIA URAIS 2015 KWA CHAMA CHA CCM NDIYO HAWA'' JAMANI NI MARUFUKU MWANAMKE YOYOTE KUONGOZA NCHI YOYOTE KAMA RAIS MWANAMKE ' YANI IS A BIG NO'' IT WILL NEVER HAPPEN 'SO WATANZANIA WENZANGU MNAO OTA KUONGOZWA NA RAIS MWANAMKE AMKENI ILI MSIOTE''MBUTA NANGA'RUWA MANGI'' NGACHOKA''


Hongereni sana Kina Waheshimiwa hasa nyie Kina Wanawake wenzangu '' Ila aisee kaeni mkijua kwamba ''IS NOT RAITI KABISA NCHI YOYOTE KUONGOZWA NA MWANAMKE YOYOTE'
Kwa hiyo jipangeni kwa kukalia viti vingine kama vile vya BUNGENI ' Yani muwe mnakaa pembeni ubavuni mwa Rais Mwanaume ''Hapo Fresh kabisa'' Sina mengi yakuongea ila kwa hapa naona we only have MMOJA only top 1''MHESHIMIWA John Magufuli'' HONGERA SANA '' now we are tiyari kuwasubiria wale wengine'' MUNGU AZIDI KUTUBARIKI '' NA YES '' NARUDIA TENA '' TANZANIA WILL NEVER HAVE RAIS MWANAMKE'' YANI HAITOTOKEA NA WALA SIYO KITU CHA KUFIKIRIA WALA KUJARIBU'' Hivi mwasikia kuongoza Nchi mkazani ni kukaa na kumnyonyesha Mtoto ? Yani Ngachoka'' is a big no''
FLORA LYIMO MTANZANIA ALISI AIPENDAE NCHI YAKE KUPITA MAELEZO''
Mimi kama Navyojua pilika pilika za Wanawake wenzangu '' Yani Haiwezekani kabisa Mwanamke Mwenzangu au Mwanamke eti aongote Nchi yangu Tanzania '' Yani siyo sawa kabisa'' Kwani WANAUME MNATAKA KUWAKALIAJE ? WHY ? YANI TUANZE KUKALIA NA VITI VYAO AMBAVYO HATA MUNGU MWENYEWE ANAJUA IS NOT RAITI ? WACHENI KUPOTEZA MUDA PLEASE '' NAOMBA TUJIPANGE KWA KUANDIKA MAMBO YA MUHIM AMBAYO TUNAYATAKA YAWE NA MABADILIKO KAMA MWANAMKE NI WAJIBU WETU KUWAKILISHA KWA RAIS akiwa MWANAUME NA SIYO MWANAMKE''  Hapo baadae nikiwa na Muda wakutosha nitawaandikieni zaidi kuhusu ni kwanini nikasema  DUNIA NI MARUFUKU NCHI YOYOTE KUONGOZWA NA MWANAMKE''
#NGACHOKA

No comments:

Post a Comment