KITENDA WILI"NYUMBA YANGU NDOGO LAKINI INAENEA WATU WENGI' MBUTA NANGA!!

FLORA LYIMO TZUK

FLORA LYIMO TZUK

FLORA LYIMO TZUK

FLORA LYIMO TZUK

FLORA LYIMO BLOG

FLORA LYIMO BLOG

FLORA

FLORA

FLORA NA RAIS JK

FLORA NA RAIS JK

FLORA NA MH PINDA

FLORA NA MH PINDA

SHINY ,HEALTHY-LOOKING AND GORGEOUS HAIR' WHATSAPP +44 778 7471024

SHINY ,HEALTHY-LOOKING AND GORGEOUS HAIR' WHATSAPP +44 778 7471024

Saturday, 3 August 2013

BY FLORA LYIMO ~ MASANJA MKANDAMIZAJI NA SHILOLE WALIPOTEMBELEA NEW YORK CITY''KUMBE KUNA KINACHOMSHINDA MASANJA MKANDAMIZAJI PIA''MBUTA NANGA!


Msanii Shilole akipata kitu inaitwa Mbwa wa moto “Hot Dog” wakati alipokuwa New York City akisubiri boti kuelekea kuliko statue of Liberty akiwa ameambatana na msanii mwenzake Masanja (hayupo pichani) Jumanne July 9, 2013,yani hapa chezea kitu cha kuwekwa katikati Bwana kitamuje''Mbuta Nanga'kula upate Nguvu yakuimba na Jenifa leopoz'' yani I can't wait nakuombeaje Mpora wetu '' wale walosema hutoweza kufanikisha yako wao siyo Mungu na pia Riziki hazitoki mikononi mwao'ona hapa una kula Mbwa wa moto a.k.a Hot Dog on mkate wa skonji 'Majuu''wao umewaacha wapi tena''na wanakula nini tena ''Chips za Vumbi Bongo''Ruwa Mangi''
Kutoka kushoto ni Ebra NY, Libe, Masanja na Shilole wakiangalia Statue of Liberty kwenye mto wa Hudson unaotenganisha New Jersey na New York.
Libe, Masanja na Shilole wakinyanyua mikono yao juu kwa mfano wa Statue of Liberty.Na hapa ndo mnaweza kuona kwamba Masanja na mwenzake walishindwa na Shilole kwa kunyanyua mkono juu moja kwa moja na siyo unakunjika wanawanne'' Mbuta Nanga'' hahhaaa'' Hongera Shilole umewashindaaa""
Ebra Vijimambo vya NY (kushoto) akiwa na wageni wake Libe, Shilole na Masanja wakati alipokua akiwadhurulisha New York City Jumanne July 9, 2013.
Masanja akipata picha nje ya mahali panapoumiwa kupandia boti kwa wasafili wanaoelekea kwenye astatue of Liberty.
Masanja akipata picha kwenye gari la Polisi wa New York.
Shilole asking the Little Boy ''Hi Little Boy kati yetu watatu unachagua nini? The Boy went for Farasi'' Mbuta Nanga'' Hapa wakipiga picha na Polisi kikosi cha farasi Manhattan New York
.

BY FLORA LYIMO~ RAIS KIKWETE AKIFUTURIKA NA BAADHI YA WASANII WA MUZIKI WA BONGO FLEVA IKULU TANZANIA''

 ALI KIBA '(kushoto)NICE TO SEE YOU MY BOY'' YANI KUMBE UPO HOME SALAMA SALIMINI EE'SAFI SANA ''
 SHIIIIIIIIIIIIIIIIIIILOOOOOOLEEEEEEEEEE''CHEZEA YEYE NA RAIS WETU KIKWETE 'YULE JENIFA LEOPOZI ''NDO NANI TENA''?? YATAWASHINDA SHILOLE WAAMBIE''I CAN'T WAIT FOR THAT MOMENT NITARUSHA PICHA YAO PAMOJA WAKIYAKATA MAUNO PAMOJA THE  SHIJELOPOZI 'MBUTA  NANGA"
 MAMA MWENYE IKULU ''MAMA SALMA KIKWETE (katikati ya wanne kushoto na wanne kulia)NA WAGENI WAKE''KWENYE PICHA YA PAMOJA a.k.a.WASANII WA BONGO FLEVA''
RAIS KIKWETE '(Alie simama)AKIZUNGUMZA MAWILI MANNE'' HII NI NYUMBA YANGU HAKUNA SHIDA KABISA'KAMA HAMJASHIBA NYIE MUITENI MKE WANGU ''SI MNA MFAHAM LAKINI '''KILE NDO KIYEO CHANGU 'MKINIONA MIMI MMEMUONA YEYE NA MKIMUONA YEYE MMENIONA MIMI''' RUWA MANGI'''
MSIMSEME APENDA KULA JAMANI ''ALI KIBAAA''WENZAKE WOTE MACHO KWA RAIS KIKWETE 'YEYE NI MSOSI TU''CHEZEA KIJANA WETU KULA BWANA MAZUNGUMZO BAADAE''MBUTA NANGA''
Misosi time...yani Full kutamanishaaaaaaaa'''

Thursday, 1 August 2013

BY FLORA LYIMO ~ HERE COMES TROUBLE...GET READY FOR VIPOCHI THIS SEASON KWA RANGI ZAKO'.MBUTA NANGA!!!

 YOUR FLORA LYIMO FASHION POLICE: Mwanamke Kipochi na kujiamini eti eee" Mbuta Nanga'' sasa endelea kutizama kwa Macho na ukimaliza usisahau kutoa oda yako ''kwa Kipochi cha Rangi na pesa yako''hata kama pesa yako umekopa benki ya Dunia au kwa Flora Lyimo Mkopo Express 'ina huu'' wewe Nunua waringishie kwa sana'' maumivi yakiwazidi wapande ndege waje Majuu au Machini (Bongo)''Ila Majuu kuna Raha zake bwana ''hata ukiingia na kurudi wewe ushafika majuu''BUT USIFUKUZWE TU''NDO BASI UMEHARIBU KABISAA''' YANI UTAKUWA HUFAI HUKO BONGO TENAAA''
ANZA KUFIKIRIA MTOKO WAKO UNAHITAJI RANGI GANI'' MAANA RANGI  ZA KUAMINIKA NDIZO ZIPO HAPA KUTOKA LONDON ''
BY:FLORA LYIMO DESIGNS & TRADES''













 CHEZEA MUKE YAKE AFRICAN KING'' YANI ANAKUJA KWA KICHEKO CHA LONDON ''MBUTA NANGA""


 MWAKIONA KIATU CHA YOUR FLORA LYIMO FASHION POLICE''' Chezea Vitu vya London Uachwe kwenye Mataa''
 Yani Nguo nilihakikisha mmeiona yote ilivyo '' Wale wakuiga' kuiga ni Buree yani Your Flora Lyimo Fashion Police keshasema ''RUKSA'''IGAAAA''

 Your Flora Lyimo Fashion Police'Akiingia kwenye Mkeka Mwekundu ''na haingii mikono mitupu yani hiyo ni marufuku kwake 'lazima ajibebee Zawadi ya Shugulini''

 Ndo huyoo''Mtizame vizuri the one and Only Flora Lyimo Fashion Police''a.k.a. TOP IN TOWN'a.k.a. MBUTA NANGA MUKE YA AFRICAN KING''
 POMBE TIME''' HOW I WISH HII INGEKUWA MBEGE'''RUWA MANGI 'MCHAGGA NI MCHAGGA TU''
HAYA SASA HABARI NDO HIYO ..SASA KAZI KWAKO'' INGIA KWENYE OUR PAGE HAPO CHINI MWICHONI MWA PICHA ZOTE ''FANYA KWELI ''LIKE AND BUY BUY BUY''

I LOVE MYSELF SO MUCH ''THEN I LOVE YEYE'' THEN 'I LOVE NYIE ''' HOW ABOUT YOU''' ? I LOVE YOU FOR SURE BUT 'ONLY IF YOU LOVE ''ME'' >Flora Lyimo''

HOT ''HOT HANDBAGS KWA RANGI ZAKO FROM LONDON WITH ROYAL AVAILABLE IN TANZANIA NOW BY: FLORA LYIMO DESIGNS & TRADES' CALL OR WHATSAPP +44 7787471024

 YAMEINGIA IN TANZANIA NA YANAPATIKANA KWA JUMLA AU REJA REJA''




WAHI KABLA HUJABEBEWA  RANGI CHACHE ZIMEBAKIA'''

BY FLORA LYIMO~ MISSY TEMEKE WA KWETU FASHION AWATAKIENI RAMADANI NJEMA 'IKIELEKEA KWENYE SIKU ZAKE ZA MWISHO'' ANAZIDI KUOMBA MUNGU AZISIKII DOA ZA WENGI'' RUW MANGI!!

 Missy Temeke wa kwetu Fashions kipindi hichi cha Ramadani2013 Kapendezaje sasa"
  1. KWETU FASHION inawatakieni Waislam wote Ramadan Kareem''