| Hapo si mchezo na mpiga picha alisemaje!! aaa,,dont you want to know " SEMAAAAA!! |
| Mapozi ya ukweli,ndo manake bila kujisahau naenda zangu JOB" |
| MY LOVELY CUSTOMER ,HOW PRETTY SHE LOOK NA HER CREAM PEAR HAT, BY FLORA LYIMO DESIGNER" |
| MY BLESSING HOME" HOW NICE JAMANI " AAAH; MNAFYONZAJE!! |
| Mr Brian Mpishi wetu wa Pizza of the day "alipika pizza 30 kwa ajili ya hao watoto wa shule pichani mwa album hii, na akachukua muda wa lisaa limoja na nusu " weldone my dear"keep up the good work" |
| Watoto wa shule warudi nyumbani na Pizza zao ,kwani walizitengeneza na kuziangalia zikipikwa mpaka zikaiva " |
| Pizza ndo inaivishwa hapo..jamani hili jiko kwangu ni ligeni sijawahi kuliona tangu niwe Ulaya hii 16 yrs today" |
| nyanya ,is it Moshi or London nipo jamani " |
| Mahindi ya nguvu ,Ulaya ,tena jirani na nyumbani kwangu kabisa,ama kweli tembea ukajionee, na nashukuru Mungu kunipa nguvu zakutembea na kujionea" |
| mahindi jamani amini usiamini ,utadhani tupo Moshi " |
| sukumawiki za ulaya,,yani si mchezo "ugaliiiiiiii kwa nyamaaaa"" |
| haya mauwa yamenikumbusha mbali sana, kichumini kwetu uchagani" |
| Bado sijaamini yani hapa ni Ulaya, haya ni mahindi na maharagwe" |

No comments:
Post a Comment