KITENDA WILI"NYUMBA YANGU NDOGO LAKINI INAENEA WATU WENGI' MBUTA NANGA!!

FLORA LYIMO TZUK

FLORA LYIMO TZUK

FLORA LYIMO TZUK

FLORA LYIMO TZUK

FLORA LYIMO BLOG

FLORA LYIMO BLOG

FLORA

FLORA

FLORA NA RAIS JK

FLORA NA RAIS JK

FLORA NA MH PINDA

FLORA NA MH PINDA

SHINY ,HEALTHY-LOOKING AND GORGEOUS HAIR' WHATSAPP +44 778 7471024

SHINY ,HEALTHY-LOOKING AND GORGEOUS HAIR' WHATSAPP +44 778 7471024

Saturday 18 February 2012

WHITNEY HOUSTON AZIKWA LEO AND THIS SONG UMENIKUMBUSHA PRINCESS DIANA Funeral - Elton John - Candle In The Wind " MISS FB FLORA BAHATI LYIMO & HER * YOU BEEN SNAP BLOG * SAY: GOODBYE WORLD ROSE'S . R.I.P.AMEN"



Hii ndiyo picha yake ya mwisho kabla hajafa..HOW SAD ?? R.I.P. ANGEL WHITNEY " JAMANI JIUNGENI NA MIMI LEO SAA NNE 10.AM NITAKUWA NA MSALIA ROZARI .KWANI BIKIRA MARIA ALIPONITOKEA, ALISEMA NIWAAMBIENI KINA MAMA MSALI ROZARI NA KUZIBEBA KWENYE MABEGI YENU .KWANI HUO NDIO UFUNGUO WENU WAKUINGIA MBINGUNI. Tumsifu Bikira Maria Mama wa Mungu >aliye kingiwa dhambi ya asili"

NA hapa nilifika kumvalisha Ammy hiyo Rozari na wala sijui ilikuwa vipi mpaka hiyo siku nikajikuta nafunga safari yakwenda nyumbani kwake hapa na kumvalisha hiyo Rozari " Kweli hakuna kama Mungu na Mama Maria ndiye kimbilio letu sisi wakosefu "

Kudadadeki ,machozi yananitiririkaje" yani hata siona vizuri ,TODAY NIMEJISIKIA TENA KAMA SIKU ILE PRINCESS DIANA ALIVYOKUWA ANAZIKWA.. OMG..SIJAAMINI LEO NDO WHITNEY ANAZIKWA KWA HIYO ALIKUFA KWELI !! na nimebakia najiuliza hili shwali!! HIVI HAO WANAUME WAO ,BOYFRIENDS WANAKUWA WAKO WAPI WAKATI WANAKUNYWA HAYO MADAWA ?? KULEWA SANA AU CHOCHOTE KILE AMBACHO KILIWAUWA..WHITNEY HUSTON & AMY WINEHOUSE" BADO SIJAELEWA ..how come wanakufa vifo vibaya wakiwa peke yao ?? na huku wanakuwa wanaonekana na hao maboyfriends na vile vile wao wenyewe kuwazimia hata wakiambiwa waachane nao hawataki " KWELI NAAMINI ALI KIBA ALIVYO IMBA MAPENZI YANA RUN DUNIA NI KWELI KABISA...HAMNA LOVE WALA CARE ..NI KUT*MBANA TU" im just so so sad kwa kweli kuona watu wanakufa kwaajili ya maunga ,madrugs na ect.huku watu wengi wakiwa wagonjwa wanaomba kupona na hata kupata hela zakuwapeleka mahosp ..na kukosa mwisho kufa kwa ukosefu wakutibiwa kwa uwezo kukosekana.na hawa kufa na mamilioni ya hela kwenye mabenk kwa ajili ya vitu ambavyo vinge weza kuepushwa...KUNA MWENYE WAZO LOLOTE KUHUSU HAWA WENZETU JAMANI.JE" .TUFANYEJE KUANGAMIZA MADAWA HAYO YA KULEVYA!!! R.I.P. WORLD ROSE'S" AMEN"

1 comment:

  1. your so kind African Lady " we love you and keep it up

    ReplyDelete