KITENDA WILI"NYUMBA YANGU NDOGO LAKINI INAENEA WATU WENGI' MBUTA NANGA!!

FLORA LYIMO TZUK

FLORA LYIMO TZUK

FLORA LYIMO TZUK

FLORA LYIMO TZUK

FLORA LYIMO BLOG

FLORA LYIMO BLOG

FLORA

FLORA

FLORA NA RAIS JK

FLORA NA RAIS JK

FLORA NA MH PINDA

FLORA NA MH PINDA

SHINY ,HEALTHY-LOOKING AND GORGEOUS HAIR' WHATSAPP +44 778 7471024

SHINY ,HEALTHY-LOOKING AND GORGEOUS HAIR' WHATSAPP +44 778 7471024

Saturday 18 February 2012

* YOU BEEN SNAP BLOG * KWELI BINADAM HATA UKIMPA NINI MILELE HATA RIDHIKA" HII NI KWA WALE MNAO LALAMIKA KWAMBA NABAGUA MATANGAZO YENU"

"OK MY DEARS NI HIVI "
Cha kwanza kabisa kabla hamjaanza kuniweka kwenye midomo yenu michafu " eti nabagua matangazo yakutangaza kwa my blog , Mimi sibagui hata moja na vile vile tambua kwamba na mambo mengi ya kufanya licha ya kublogu ,na vile vile wale wote unaona na weke matangazo yao hata kwa kurudia mara kadhaa, ni kwasababu nao wanafanya  kazi yao ya kuniinbox ,email ,sms matangazo yao na wengine mpaka wanapiga sim ,na namba zangu zote zimo hum hum na ni rahisi sana kupatikana, sasa basi ndo maana wao matangazo yao hayakosekani kuwekwa hapa
*YOU BEEN SNAP BLOG * nanyi  ungetakiwa kufanya hivyo kama mlivyo weza kuniachia comments zenu za matusi yaso muuwa hata chawa" NA LA HUHIM ELEWENI HAMNILIPI KUWATANGAZIA MATANGAZO YENU " NAWEKA KWA MAANA NIMEYAONA NA NIMEPENDA MUWEZE KUSIKIKA NA WENZANGU WAPATE KUJIAMULIA WENYEWE WANAYOPENDA KUYASIKIA NA KUJIUNGA KUYAFANYA ,KUTAZAMA AU KUSOMA"
Nimewashangaa kweli mimi hata wengine ambao nawatangazia matangazo yao sijaona wakinitangazia BIASHARA YANGU LICHA YA MY BLOGU ??? SO fikiria why bado nawatangazia na hata aibu hawana vile vile wanani TAG na kunijazia my facebook inbox. sijali mie naona ni sawa tu ,siku watajiangalia na kujiona wajinga au wapungufu wa kuyatambua maendeleo au uinuaji wa TUSAIDIANE"MWISHO MAENDELEO HASA KWA WATANZANIA "
Ni hayo tu naona mtakuwa mnanisoma japo KWA MFYONZO ,NA NA MNAPO FYONZA HAKIKISHENI NIMEWASIKIA" TUPENDANE NDUGU ZANGU WATANZANIA ,DUNIANI HAPA TUNAPITA " R.I.P. HATER'S" nimeshasema mwaka huu ni wamavuno na siyo wakupalilia vilivyooza"

No comments:

Post a Comment