KITENDA WILI"NYUMBA YANGU NDOGO LAKINI INAENEA WATU WENGI' MBUTA NANGA!!

FLORA LYIMO TZUK

FLORA LYIMO TZUK

FLORA LYIMO TZUK

FLORA LYIMO TZUK

FLORA LYIMO BLOG

FLORA LYIMO BLOG

FLORA

FLORA

FLORA NA RAIS JK

FLORA NA RAIS JK

FLORA NA MH PINDA

FLORA NA MH PINDA

SHINY ,HEALTHY-LOOKING AND GORGEOUS HAIR' WHATSAPP +44 778 7471024

SHINY ,HEALTHY-LOOKING AND GORGEOUS HAIR' WHATSAPP +44 778 7471024

Tuesday 10 April 2012

* IN YOU BEEN SNAP BLOG * MORE PICHA ZA MSIBA WA KANUMBA" UMETUTANGULIA TU KWANI UMEKWENDA KUTUANDALIA MUVI YA WATANZANIA HUKO MBINGUNI BAADA YAKUONA KULE NDIKO KUZURI ZAIDI. HATUTAKAA TUKUSAHAU ,REST IN PEACE STEVEN KANUMBA( THE CUTE ONE) RUWA MANGI !!

*MKILETEWA HAPA NA MISS FB FLORA BAHATI LYIMO*
Baadhi yaa Waombolezaji wa msiba wa Steven Charles Kanumba wakiwasili kwenye Makaburi ya Kinondoni Jijini Dar es Salaam mchana huu kwa tendo la kuuhifadhi mwili wa Marehemu katika nyumba yake ya Milele;



Mwili ukiwasili kwenye Makaburi ya Kinondoni;
Mwili wa marehemu kabla ya kuingizwa kaburini;
Mama Mzazi wa Marehemu Steven Charles Kanumba akiwasili Makaburini huku akiwa ameambatana na Dada Asha Baraka.
Mama mzazi wa Steven Charles Kanumba akiaga mwili wa mwanae makaburini Kinondoni baada ya zoezi hili kushindikana pale Leaders Club kutokana na msongamano kuwa mkubwa kupita kiasi.
"Kwaheri mwanagu na upumzika kwa amani"
Ee Mungu msaidie huyu mama na umtie nguvu;
Waombolezaji wakiwa wameshika mashaada ya maua;
Jeneza Lenye Mwili wa Marehemu Steven Charles Kanumba ukiwekwa kaburini;
Kaburi la marehemu Kanumba likisakafiwa;
Dah kweli Kanumba umesimika kama mshumaa1 R.I.P we will miss you so much;
Model Millen Magese akiwa na mashada ya maua;
Mama mzazi wa Steven Kanumba akiweka shada la maua katika kaburi la mwanae;
Watu mpaka kwenye miti na kwa habai zilizotufikia ni kwamba kuna wengine walikuwa kwenye mti wakadondoka na kukimbizwa hospitali

No comments:

Post a Comment