KITENDA WILI"NYUMBA YANGU NDOGO LAKINI INAENEA WATU WENGI' MBUTA NANGA!!

FLORA LYIMO TZUK

FLORA LYIMO TZUK

FLORA LYIMO TZUK

FLORA LYIMO TZUK

FLORA LYIMO BLOG

FLORA LYIMO BLOG

FLORA

FLORA

FLORA NA RAIS JK

FLORA NA RAIS JK

FLORA NA MH PINDA

FLORA NA MH PINDA

SHINY ,HEALTHY-LOOKING AND GORGEOUS HAIR' WHATSAPP +44 778 7471024

SHINY ,HEALTHY-LOOKING AND GORGEOUS HAIR' WHATSAPP +44 778 7471024

Saturday 25 August 2012

*IN FLORA LYIMO BLOG* LONDON TODAY 25'8'2012 WATU TUMENYESHEWAJE!!

 Mama huyu na wanae alikuta hawezi kupita hapo gafla baada ya kutaka kuanza kupita na huku akilijiwaza atapitaje kwenda kwenye station ? kweli yaleo ni noma"
 Hapa ni Whitechapel Station in London palikuwa hapapitiki kabisa !
 Huyu nae kaamua kujikinga kwa magazeti"


 Traders hapa Whitechapel leo wamepata hasara kweli " hapo hicho kibanda kilikuwa kimejaa maji utadhani bawani"

 Magari yakipata shida kupita mara tu.wafkiapo hapa penye hili furiko kwani huwezi kuona kwa mabali hadi unapofika karibu ambapo unakuta dereva kesha akiogelea na gari lake "na ukiwa hapa kando yani sijui itakuwaje maana utakavyorushiwa hayo maji ni nomaaa!!

 Angalia hayo maji alafu moja kwa moja yanaingia kwenye makazi ya huyo muuza Music"
 Baadhi ya watu walojikuta wakirushiwa maji na hilo basi ..walipigaje kelele kumtukana dereva yani nikama ni kosa lake kumbe...........kosa la mvua .Ruwa Mangi " na huku wakiwa wamevua viatu hapo ni peku peku tiyari kuvuka mto .Mbuta Nanga!!
Kama nawe yamekukuta na unapicha tuma kwa flo1974@btinternet.com

No comments:

Post a Comment