KITENDA WILI"NYUMBA YANGU NDOGO LAKINI INAENEA WATU WENGI' MBUTA NANGA!!

FLORA LYIMO TZUK

FLORA LYIMO TZUK

FLORA LYIMO TZUK

FLORA LYIMO TZUK

FLORA LYIMO BLOG

FLORA LYIMO BLOG

FLORA

FLORA

FLORA NA RAIS JK

FLORA NA RAIS JK

FLORA NA MH PINDA

FLORA NA MH PINDA

SHINY ,HEALTHY-LOOKING AND GORGEOUS HAIR' WHATSAPP +44 778 7471024

SHINY ,HEALTHY-LOOKING AND GORGEOUS HAIR' WHATSAPP +44 778 7471024

Saturday 25 August 2012

*IN FLORA LYIMO BLOG* LOOK OF 25/08/2012" TIZAMA HUYU KAKA ALAFU JIULIZE JE?MAISHA YAKO YAPO VIPI? NA KWA WALE MNAOSEMA ULAYA MAISHA NI MAZURI " JIONEE HUYU MKAKA NA MACHO YAKO"

 Mwenzetu sijui aenda kazini hivi" duuu"

Mungu wangu yani nilipomuona huyo kaka sikuamini kama nipo London " haki ya nani tena nilitamani niongee nae ili hata nimpe kamfuko kapya yani ninamifuko kama hili laa kwake lilomchakaa mpaka alivyoweka humo vyakaribia kudondoka  na ipo nimeifungia kwenye zilizopita yani AMA KWELI MAISHA NI KITU CHA AJABU MNO" na huko alikotoka wanamuhesabia kama mkaaji wa Mji mkuu London na kama humjui unamsikia bila picha wala nini utamsifiaje na kumuoneaje wivu sasa..eti fulani anakaa Ulaya basi ni Diliiiiii"""MBUTA NANGA!!
Habari na Picha by: Flora Lyimo"

1 comment:

  1. Life can be any where.People in our countries real don't understand B'se They never traveled to different places.Any country,any city where you can find a good job and peace of mind is good place to live.If you don't have these two things,you'll suffer doesn't matter you are in Europe,America,Asia or Africa.

    ReplyDelete