Hapa ni upande wa kushoto mwa Maharusi" yani mpangilio huu umetuliaje!!
Hapa ni upande wakulia mwa Maharusi !!
Misosi ya Nguvu all the way" yani jiandae kwa mate kukutiririka mdomoni!!
HAPA NDO PAMCHAGGA .Flora Lyimo " Machalari niliyalaje!!! |
Wasichana watundu nyie....But Good Job asanteni kwa huduma zenu!!
Haya zamu yenu kumpiga picha your Fashion Police!!
Wifi wa Ukwe ndo huyoo anajiandaa kumwakilisha Kaka yake..jamani wifi kama huyu ndo my wish " yani siyo kama wale mawifi fake " Hongera sana (Wifi Amne ) I wish you both Love and lots of it"
How Lovely is this jamani Biharusi na Wifi yake wa UKWE"..Igeni jamani mambo mazuri haya kuiga ni bureeeeeeee!!
Biharusi na Somo wake'Hongereni sana dear wangu ,shughuli MLI OVER DO IT" YANI HAINA MFANO UK -LONDON KULE BONGO NDO NA ZOOM!!!
Happy people jamani mlipendeza na shughuli bila nyie haingekuwa shughuli tena" Nawapeni pongezi maana nilikuwepo ,niliona na nilishuhudia kwa macho na Camera yangu mwenyewe" Be bless nyote and hope kukutana nanyie tena WANATAARABU WENYEWE!!
Exclusively at *Flora Lyimo Fashion Police*Picha na habari na Flora Lyimo" kama una swali lolote uliza anytime tel: 07787471024 " ikiwa unanihitaji kukupigia picha moto moto na kukurushia hapa kwa Blog yenu ya Picha za Ukwe na Mipasho motomoto waweza pia kunitumia Email: flo1974@btinternet.com Bei ni maelewano 'yani bei powa kabisaaa malengo yangu ni kutaka shughuli ziwe ipasavyo na vile vile kuwamulika wale WACHAFUAJI WA SHUGHULI ZA WATU"
Karibuni sana na pia nifuate hapa follow this blog or add me in Facebook Flora Bahati Lyimo"
No comments:
Post a Comment