KITENDA WILI"NYUMBA YANGU NDOGO LAKINI INAENEA WATU WENGI' MBUTA NANGA!!

FLORA LYIMO TZUK

FLORA LYIMO TZUK

FLORA LYIMO TZUK

FLORA LYIMO TZUK

FLORA LYIMO BLOG

FLORA LYIMO BLOG

FLORA

FLORA

FLORA NA RAIS JK

FLORA NA RAIS JK

FLORA NA MH PINDA

FLORA NA MH PINDA

SHINY ,HEALTHY-LOOKING AND GORGEOUS HAIR' WHATSAPP +44 778 7471024

SHINY ,HEALTHY-LOOKING AND GORGEOUS HAIR' WHATSAPP +44 778 7471024

Sunday 14 October 2012

*IN FLORA LYIMO FASHION POLICE BLOG* AHAHHAAHAAA JAMANI OUR ONE AND ONLY BABA WETU WA TAIFA LA TANZANIA EVER MWALIM JULIUS NYERERE 'NA UNGANA NA WATANZANIA WENZANGU WOTE POPOTE PALE WALIPO KUKUKUMBUKA HASA KWA SALA R.I.P BABA" Remembering Julius Nyerere - First President of Tanzania "ALIKUFA TAREHE 14/10/1999" HAPA LONDON UK!!


 Fora Lyimo Mtanzania halisi aipendae nchi yake kupita maelezo ,siku zote mtu mwenye kuipenda nchi yake hufanya mambo mengi na hasa kusimama Imara bega kwa bega na yote yanayohusi Nchi yake ambayo anaweza kuyafanya bila UWOGA,KIBRI ,UVIVU NA HASA ANAPOKUWA NCHI ZA UGENINI" Kuhakikisha ataongea LUGHA YAKE "Kwani tiyari keshaibeba NCHI YAKE KWA RANGI ZAKE" Na watamsoma wakishindwa kumsoma kwa Lugha yake basi watazitizama picha zake.HASA USONI NA MWISHO KITAMBULISHO ..Passport" God bless Tanzania and Thank you for Our BABA WETU WA TAIFA LA TANZANIA MWALIM JULIUS NYERERE" R.I.P. MWALIM NA HATUTAKAA TUKUSAHAU MILELE" RUWA MANGI ENDELEA IMSONGOYA AZIDI ALUTEREWIE SHIWANA CHAKYE ALELUFEE!!
ST.THOMAS HOSPITAL IN LONDON 'Ambapo ndipo Baba wetu wa Taifa Mwalim Julius Nyere alipotuagia " R.I.P. BABA!!!

No comments:

Post a Comment