KITENDA WILI"NYUMBA YANGU NDOGO LAKINI INAENEA WATU WENGI' MBUTA NANGA!!

FLORA LYIMO TZUK

FLORA LYIMO TZUK

FLORA LYIMO TZUK

FLORA LYIMO TZUK

FLORA LYIMO BLOG

FLORA LYIMO BLOG

FLORA

FLORA

FLORA NA RAIS JK

FLORA NA RAIS JK

FLORA NA MH PINDA

FLORA NA MH PINDA

SHINY ,HEALTHY-LOOKING AND GORGEOUS HAIR' WHATSAPP +44 778 7471024

SHINY ,HEALTHY-LOOKING AND GORGEOUS HAIR' WHATSAPP +44 778 7471024

Tuesday 2 October 2012

*IN FLORA LYIMO FASHION POLICE BLOG* MILTON KEYNES IMMACULATE WEDDING OF 30/09/2012 NYOTA ZANGU MARA NYINGINE KUWENI NA SUBIRA AISEE MMENISUMBUAJE NIWAWEKEENI PICHA HIZI " HAYA NDO HIZO HII NI (ALBUM 1) TWO YAJA KAENI MKAO WA KUCHEKA NA FLORA LYIMO FASHION POLICE!!

The Immaculate Bi Harusi ndo huyooo" mwenye shindano kapata uziiii" mtajikoroshoje" 


 Hapa pameuwaaaa.yani tizama gauni nyuma na mazingira yake!! mlishaiona wapi hii hapa MK ?? kama unasema ushaona tuma picha fasta!!

















 Hiii earring mshawahi kuiona " haya tumeni picha kama mshawahi " maana Chevu hapa anasema tizameni na bado hamjaona" endeleeni kutizama.."kudadadeki na tumetazamaje!!












FLORA LYIMO FASHION POLICE SAY:
Nyota zangu sasa picha mmeziomba ndo hizii"niwarushieni kama kawa yangu .Ila kazi mnayo sasa hii Harusi ilikuwa hamna Dress Code " ilikuwa ya Ki' shughulini muhimu ..what to wear"??"  chukueni kalam na karatasi anzeni kuandika walokwenda kuchafua" na NO MATUSI ..NI MAUKWELI YANAYOENDANA NA MAVAAZI , NYWELE NA MAPODOZI"(MAKE UP) 
Mimi nitawawekeeni walochafua baada ya kuwawekeeni Album 2" na pia nitawazawadia walopendeza na washindi nataka wanne tu"  ambao walivaa kama ile EMMY AWARD YA JUZI " 
Mshindi wa kwanza : Kiatu " wapili : kiatu :watatu >malapa : wanne > beg" HIZI ZAWADI HAZIHUSIANI NA BIBI HARUSI" MAANA HAPO HAMNA MWENGINE" SHE IS MY IMMACULATE BIBI HARUSI WA MWAKA NDANI YA MK"

TUMENI PICHA ZENU KAMA UNAJIONA MSHINDI KWA flo1974@btinternet.com 
Au kama tupo pamoja Facebook : Flora Bahati Lyimo"
Hizi zawadi zinaendelea mpaka mwezi wa kumi na moja,,kwa wale watakao vaa kama wale warembo kwenye Ammy Award 2012ya juzi in Hollywood" 

No comments:

Post a Comment