KITENDA WILI"NYUMBA YANGU NDOGO LAKINI INAENEA WATU WENGI' MBUTA NANGA!!

FLORA LYIMO TZUK

FLORA LYIMO TZUK

FLORA LYIMO TZUK

FLORA LYIMO TZUK

FLORA LYIMO BLOG

FLORA LYIMO BLOG

FLORA

FLORA

FLORA NA RAIS JK

FLORA NA RAIS JK

FLORA NA MH PINDA

FLORA NA MH PINDA

SHINY ,HEALTHY-LOOKING AND GORGEOUS HAIR' WHATSAPP +44 778 7471024

SHINY ,HEALTHY-LOOKING AND GORGEOUS HAIR' WHATSAPP +44 778 7471024

Saturday 23 February 2013

MATOKEO YA UZINDUZI WA OFISI YA WEMA SEPETU AMBAYO BONGO MOVIE'Z WENZAKE WALIFUNGA OFISI ZAO NA KWENDA KUMPA SAPOTI MWENZAO!!

 Wema Sepetu akilijiwaza kutafuta jibu wakati alipoulizwa Swali " je " ulitumia pesa ngapi kukamilisha hii Ofisi yako ?mmm" naona figa kamili inashindwa kunijia kichwani kwani kusema kweli sidhani kama upo tiyari au kuna mtu yoyote yupo tiyari kunirudishia pesa zangu nilizotumia kukamilisha hii ofisi yangu'  Mbuta Nanga" hivyo ni vijimaneno vya kuongezea na Flora Lyimo"But yah,Mdada alimuuliza swali hilo ,ete alitumia shilingi ngapi ?"nomaa swali au"
 Mama na mwana yani ni muhim sana kuhakikisha mwanao anapata mapenzi yako ikiwa unaweza "lakini" maana kuna wengi wangependa lakini hawawezi kwa sababu mbali mbali" Hongera Mama Wema"
 Ray The Greatest nae hakubakia Ofisini kwake ,alifika kumpa Dada Wema Sepetu sapoti na kuhakikisha kaenda na sim zakutosha!! Hongera Ndugu yetu kwani umoja ni nguvu na utengano ni udhaifu"mwenye macho haambiwi tizama ,jamani sim mwaziona mkononi ee" tugawie nasie basi ndugu yetu"
 JB ndo huyooo,msione kajificha uso kwa miwani"nae alifunga ofisi yake mapemaaaaa',,kafika na kujituliza kuwa tiyari kwa maswali na pia kumsikiliza Dada Wema kwa Makini ,si mwamuona hata kile kicheko chake kakiacha ofisini mwake,',aisee nampenda sana huyu kaka anavyocheka yani hata kama huna raha utajikuta ukicheka bila kujitambua"kiukweli nilipokuwa naenda Dar Es Salam kutoka Moshi walikuwa wameweka Movie ambayo hata sijui ni Movie gani inaitwa ila alikuwepo anacheka ,anacheka mpaka Basi nzima likaanza kucheka" hapa naandika namtizama alafu nachekaje sasa!! hahhaaa stay Bless kaka JB" 
 Waliobahatika kuanza kazi siku hii hii ya uzinduzi wa Ofisi hii ya Dada Wema Sepetu" meseji send ndugu zetu Flora Lyimo Fashion Police nae pia kazipata picha zote" Mbuta Nanga"na hongereni sana kwa sapoti zenu"by the look" Kaka yetu hapa pichani (kushoto)anaonekana anajipenda kweli yani hata laptop kaimechisha na shati alovaa hapo,mwamuona wenye machoo eee!!
 Mheshimiwa Mr kicheko ,aka JB" tunasikia Ofisi yako ni kubwa kuliko hii ya Wema Sepetu na yakwako ina mpaka uwanja wa Mpira" na lile bwawa la kuogelea binadam" Hahahhaaaaaaaaa..naomba uje na mimi kwanza uje kujionea Ofisi yangu mwenyewe!!! haahhaa..vijimaneno vya FLFP hivyo jamani"
 Hivi ndivyo inavyotakikana yani Bongo Movie wote walifunga Ofisi zao na kufika kumpa sapoti mwenzao " so nice na endeleeni na upendo huo huo jamani..na pia nawatakieni kila jema mlifanyalo hasa kwenye hizo Movie zenu"poleni wasomaji na Nyota zangu sikuweza kuwarushieni picha zote za walohudhuria kwani ni vizuri mzione kwenye Blog zingine pia au hata mahali pengine zikiwa hazifanani fanani" FLFP"
 Ofisi ya Wema Sepetu ina Jiko kwa hiyo ikiwa na wewe ni mpishi wahi kumtumia CV.kazi zipo jamani na kina Dada mkipata kazi njooni kwa House of Flora mpajitatie begi lenu lakuendea Ofisi" kwa bei powa" www.missfbknitwearlyimo.blogspot.com 

Wema Sepetu akihakikisha watu wanamsikia kisauti na kimikono"" Ofisi yangu ndo hii mmeiona na ni Kubwa hivi...." mikonos" kwahiyo kinachohitajika sasa ni watu wenye bidii na kazi na ujuzi wakazi au pia wenye kutaka kujua twazifanyaje kazi zetu za Movie wanakaribishwa kwa kutuma CV zao napia kufika hapa ofisi kututembelea na kuona kazi za mikono na akili zetu.."" Vijimaneno vya Flora Lyimo jamani" Anyway,,Ndugu yetu na Dada yetu Wema Sepetu nataka mimi mwenyewe kukupongeza sana yani unajitahidi sana kwa kutaka kuiona Tanzania yetu ikiwa kwenye mistari ya mbele" Bless you Always my dear" na ikiwa unahitaji Begi nzuri na lakudum na lakiofisi au mitoko yako whats App Flora Lyimo +44 7787471024 au pia Email: flo1974@btinternet.com Vile vile 
tupo Facebook OUR PAGE"

2 comments:

  1. hahahhahahahahhahahhaa jamani flora bahati lyimo nimechekaje ,kweli wewe kiboko""""

    ReplyDelete

  2. I love the detail in that dress and your ankle strap sandals are beautiful!

    Hope you had an amazing time!
    sexy tops

    ReplyDelete