KITENDA WILI"NYUMBA YANGU NDOGO LAKINI INAENEA WATU WENGI' MBUTA NANGA!!

FLORA LYIMO TZUK

FLORA LYIMO TZUK

FLORA LYIMO TZUK

FLORA LYIMO TZUK

FLORA LYIMO BLOG

FLORA LYIMO BLOG

FLORA

FLORA

FLORA NA RAIS JK

FLORA NA RAIS JK

FLORA NA MH PINDA

FLORA NA MH PINDA

SHINY ,HEALTHY-LOOKING AND GORGEOUS HAIR' WHATSAPP +44 778 7471024

SHINY ,HEALTHY-LOOKING AND GORGEOUS HAIR' WHATSAPP +44 778 7471024

Monday 25 March 2013

HIVI NDIVYO MY COAT LILIVYO CHOMEKA JANA AT THE CAFE 24'03'2013 BAADA YA KUTOKA KANISANI!!



 at my table hii ni flower ya ukweli na siyo la mbandiko" I love it na lina Rangi yangu niipendayo kulikoni ,I love Flower's and Yellow color kinomaa!!
 Kitu cha Marc New York " best winter coat ever'I hope will be able to get another one tomorrow!! 

 This is the heater ilonichomea my Coat leo at hii Othe Cafi Gallery"Kusema kweli hizi Hita za aina hii ni hatari sana hasa kama kuna watoto usiziweke ndani kabisaa,na sijaziona for a long long time yani hakuna mahali pana hizi hita za moto kabisa unawaka tena,zilikuwepo zamani sana hata sikumbuki mara ya mwisho niliziona lini hadi leo kujakunichomea my winter coat that I love so much" but the Good thing is that the  Manager was Ok 'happy to pay half price of my Coat and not Full Price "but was ok with me because He show he that he care" and I will go back there again for sure " 
 Hivi ndivyo lilivyochomeka yani unajua lingeweza kusababisha Moto Cafe nzima na mimi pia kuchomeka ,maana nilikuwa nimekaa pembeni ya hiyo heater na huku nimeliweka coat langu kwenye kiti yani kulitundika kitini" na kumbe natia Msosi taratibu na huku Coat langu nalo laliwa na moto taratibu Mbuta Nanga"

 Hadi mkononi lilichomeka yani siwezi livaa tena jamani sasa sijui hata kama yapo tena Dukani "
 Hapa ndo ninajiandaa kwa kutia Msosi wangu baada ya kutoka Kanisani ,kumbe na coat langu pembeni mwa kushoto kwangu linachomeka"
 Maliona Coat langu mahali nilipoliweka ee,juu ya hicho kiti kulia na Heater pia ipo hapa kuchoto kwangu " yani ni Hatarii ningeweza hata na mimi kuchomeka hapo hapo"
 the wall yani nimepapenda sana hapa Cafe Other 'ila ndo hivyo tena ajali haina kinga"
 Wish ningekaa hapa Coat langu lisingechomeka" I miss it tiyari naliaje ,Mbuta Nanga!!
 Hapa ndo nilichagua kukaa kumbe nitalipiaje gali hiki kiti 'which cost me my warm Winter Coat" Ruwa Mangi"
 Hii ndo menu wanakupa unajichagulia vyakula vyao wanavyouza na siyo kama kule Bongo Baadhi ya Cafe nyingi unakwenda waiter anaanza kukuambia wanavyouza kwa kichwa huku akikosea kosea hata mpaka mwenyewe unachoka kumsikiliza na njaa inakuisha" jamani wenye Cafe zenu huko Bongo igeni wenzenu kama hawa " kuchapisha hizi menu sidhani kama ni gali hadi zinawashinda"
I feel in Love na hii wall yao ,yani I love it so much " Very Nice place to eat and kupumzika baada ya kutoka church au kwenye shughuli zako'Na swali nimebakia nikijiuliza ni kwamba,what if was in Bongo ? yani kunachakulipwa pesa nikanunue coat lingine kweli tena cash hapo hapo ? chakunishangaza ni pale ambapo nilipokuwa Dar Nyumbani Lounge Tulilishwa Samaki wabichi na kusababishiwa kulala njaa that night'kurudi na kuja kuandika kuhusu hilo jambo na hata sikuona mtu yoyote alokuja kutuambia samahanini kwa chakula kibichi kama meneja (manager)au yeyote mwenye Akili za Mteja kwanza'(Customer first) kuja kwenye our table nakutuomba samahani.Nilichoambulia ni Matusi na Kufutwa Urafiki Facebook na William Malecela 'yani Utadhani hata hiyo Nyumbani Lounge ina muhusu wakati yeye alienda kama Mteja akinipeleka Mimi baada yakumuambia ninavyo Mpenda Lady Jaydee na Nyimbo zake na kumuomba anipeleke nikaone na hapo Nyumbani Lounge kwake ,tupate Dinner nakupata kuongea Face to Face maana was Mara ya kwanza kukutana nae huwa tuna chat in Facebook tu" Au Labda kuna mengine ambayo siyajui mie nipo majuu 'kama alivyodai mwenyewe watu wa majuu tukienda Home Tanzania tusilalamike kwa kupewa huduma Mbovu" si siku ya leo Ningepigana hadi Moto uwake haswaa kama sikujibiwa kwa Upole na kulipwa my Coat 'Mbuta Nanga' Anyway" wapo Kingsland London'Karibu kuwatembelea"

No comments:

Post a Comment