KITENDA WILI"NYUMBA YANGU NDOGO LAKINI INAENEA WATU WENGI' MBUTA NANGA!!

FLORA LYIMO TZUK

FLORA LYIMO TZUK

FLORA LYIMO TZUK

FLORA LYIMO TZUK

FLORA LYIMO BLOG

FLORA LYIMO BLOG

FLORA

FLORA

FLORA NA RAIS JK

FLORA NA RAIS JK

FLORA NA MH PINDA

FLORA NA MH PINDA

SHINY ,HEALTHY-LOOKING AND GORGEOUS HAIR' WHATSAPP +44 778 7471024

SHINY ,HEALTHY-LOOKING AND GORGEOUS HAIR' WHATSAPP +44 778 7471024

Tuesday 5 March 2013

LOUISA SHEILA FRISCH AOMBA MSAMAHA NA KUJIELEZEA KISA CHA KUWACHAFULIA MAISHA HII FAMILIA MPYA NA YENYE KUMCHA MUNGU ,JOSEPH MATONDA ,MKEWE VICKY NA MAPASHA WAO !!



Kama binaadam hakuna aliyesahihi kila mtu anamapungufu yake, Mungu utumia njia zake nyingi kutufunza vitu na vitu vingine there not just vitu ambavyo tunaweza vielewa ktk upeo wakibinaadam.nnachoamini ni moja ya changamoto tu na moja ya somo ya mimi kujifunza.
Kilichotokea wiki hii ni makosa yangu mimi Shilla I ll take all the blame nawale nliowatukana hapa nakumention majina Yao au kwa wale waliokuwa wanajishuku labda nawaongelea wao pia naomba mnisamehe,pia nakwawale mliosoma labda mkawachukulia kivingine kutokana na maneno yangu plz plz naomba tu mjue nikazi ya shetani na Hawa watu hawako hivyo maneno yangu yasiwechanzo ya nyinyi kuwaona vinginevyo, naomba mchukulie nimoja ya mapungufu nliyonayo.
Kwako kaka Joe na mkeo Vicky na watoto wenu nimewakosea sana naomba mnisamehe n najuwa haitakuwa that easy kunisamehe bt I believe Mwenyezi Mungu atawapa wepesi ktk hili.
Nakwawale wote wengine marafiki zangu wapendwa ndugu marafiki mnisamehe kwa nj...ia yoyote ile niliowakosea kujua ama kutokujua
Pia kwa wazazi wangu, n to those who trully luved me na ambao wananijuwa inside out nawanaelewa ninikilichotokea pia nisameheni kwa kuwafedhehesha,na
Pia napenda kuwa shukuru wale dada zangu nawale ambao waliojitolea kuwa na mimi bega kwa bega kunijali kwa kuniulizia ambao walibeba hili tatizo langu Kama la kwao hawakulala usiku mchana during dis week kutaka kujua kma niko ok sina chakuwalipa Bali mbarikiwe na Mwenyezi Mungu awarudushie maradufu,nnachohamini ninjia moja wapo Mungu ametumia nijifunze/tujifunze ansvyoweza yeye, plz after this ningeomba nisipigiwe sim kuulizwa swali ilikuwaje au nani kakwambia/or what really happen sitopenda kujibu maswali kma hayo n let by gone be by gone coz i belive kutakakchimba chimba vitu ni kuzidi kumpa shetani nafasi na attention so nisingependa kumuingiza mtu mwingine matatizoni coz naomba tuelewe jinsi Mungu alivyonanguvu, hata shetani ananguvu pia au nisingependa kutumiwa Kama chombo ya kwenda kuvuruga mtu mwingine kisa ni rafiki yangu au alikuwa na urafiki na adui zangu au adui zake ni marafiki zangu, therefore namwachia Mungu huu ni msalaba wangu naomba niubebe mwenyewe bt mbele ya Mwenyezi Mungu nimekosa there 4 sinakinyongo na mtu na ninawapenda wote, mbarikiwe sana.
FUNGUA CHUPA MTOTO WA FRISCH a.k.a. ZAWADI " UTOE POLE VIZURI ,MBUTA NANGA!!

4 comments:

  1. Kumbe uliweka picha pole sikuona ila mwambie aache ujinga wa kutukana watu bila sababu.

    ReplyDelete
  2. Anonymous ....HABARI NDO HII BAADA YA COMMENTS ZAKO....NOW KAA UKIJUA KWAMBA HAPA KWENYE HII BLOG YANGU NA YENU YA MAPICHA NA MISHAPO YA UKWELI ,,SIBAGUI NANI WAKUWEKA PICHA YAKE,,IKIWA INAHUSU NA INAKITU NA SABABU ZA KUIRUSHA HUM ,NAIRUSHA ANYTIME ANYDAY ANYMONTH ANYYEAR...NA HAKIONDOLEWI KITU HAPA...SASA TAFADHALI ZINGATIA MIMI SIJAWEKA HII ILI UPATE MAHALI PAKUMTUKANIA ....WEWE PUNGUZA MATUSI NA COMMENT ZAKO UTAZIONA,,,MPE VIDONGE VYAKE ILA PUNGUZA MATUSI MAKUBWA KUBWA....SAWA EEE,,,HAYA DEAR ,UBARIKIWE NA POLE SIKUWEZA KIWEKA ILE COMMENT "" NO MATUSI MAZITO PLS"""

    ReplyDelete
  3. Nyie wa tz UK kwanini hampendani hivyo? sis huku wenzenu mpaka mtu kujua tumetoka mikoa mbali mbali ni tabu.. tunapenda saaana! shida huko wengi wametoka familia za uswahilini mnoo!

    ReplyDelete
  4. UMEONA ANONYMOUS OF 22'41 EEEE...yani na sasa NDO LILIKUWA LINAJIFANYA SHOGA YANGU NIKAMKOPESHA VITU VYANGU KAENDA KUJAZA DUKA .ak.a KIBANDA CHAKE MWAKA SASA HATAKI KUNILIPA'''SASA NIMEMPA MWEZI HUU ANILIPE PESA NA SIYO VITU AMBAVYO KAVIHARIBU KWA KUVIGEUZA DESIGN ILI WATEJA WASIGUNDUE KAVITOA KWA FLORA LYIMO MKOPO EXPRESS'' MAJANGAAAAAA..MBONA MAJANGAAAAAAAAAAAAAAA''

    ReplyDelete