KITENDA WILI"NYUMBA YANGU NDOGO LAKINI INAENEA WATU WENGI' MBUTA NANGA!!

FLORA LYIMO TZUK

FLORA LYIMO TZUK

FLORA LYIMO TZUK

FLORA LYIMO TZUK

FLORA LYIMO BLOG

FLORA LYIMO BLOG

FLORA

FLORA

FLORA NA RAIS JK

FLORA NA RAIS JK

FLORA NA MH PINDA

FLORA NA MH PINDA

SHINY ,HEALTHY-LOOKING AND GORGEOUS HAIR' WHATSAPP +44 778 7471024

SHINY ,HEALTHY-LOOKING AND GORGEOUS HAIR' WHATSAPP +44 778 7471024

Wednesday 24 April 2013

BY FLORA LYIMO ~HABARI ZA MUHIM NA ZA HARAKA IWEZEKANAYO KUHUSU KIFO CHA MAREHEM PETER LAZARUS!!

FAMILIA YA PETER LAZARUS INASIKITIKA SANA NA KIFO HICHI KILICHOTOKEA JUZI JIONI SAA MBILI USIKU HUKO DAR ES SALAAM TANZANIA'
                                                   
                                                                  MICHANGO
Mnaombwa kuweka michango yenu katika Acount ifuatayo"
Benk: HSBC BANK
Account name: WTM Utility service's
Sort code:40-09-06
Account number: 71666975
Kwa taarifa zaidi wasiliana na wafuatao'
Wilson Mutabazi-07887694186
Jerome-07908630922
Abu Faraji- 07515373904
Ndugu Jamaa na Marafiki wa marehem Peter Lazarus mnaombwa michango yenu ya hali na mali ili kufanikisha zoezi la kusafirisha familia ya marehemu ( HASA WATOTO WAKE ) kwenda kwenye mazishi kumzika baba yao siku ya tarehe 25-04-2013 ambayo ni kesho " poleni kwa wale mtakao ona muda haujatosha kwenu nyie kuweza kuwahi mazishini"
Asanteni na tangazianeni tafadhali 'kifo ni chetu wote ''
Mungu amuweke Marehem mahali pema poponi '
Amen"

3 comments:

  1. Hi there, You've done an excellent job. I will certainly digg it and personally recommend to my friends. I'm sure they will be benefited from this site.


    Here is my web site; wealthwayonline.com

    ReplyDelete
  2. Koku ya mange blog24 April 2013 at 23:14

    Thanks to you Flora Lyimo 'you are a STAR' FAB CEO wetu ,yani nilikuwa siijui hii blog yako nimesoma kwenye comments kwa Mange blog 'thanks kwa alosema tuje kuangalia kwenye blog ya flora lyimo'kumjua alofariki 'yani yule betina hata aibu haoni kujifanya kapata mme wa mtu mpya na wazamani alokufa akaacha kumtangaza kwa kile kiblog chake cha matangazo anayochukua kwa watu yalopostiwa na kusomwa tiyari on blogs zingine,pumbafu yeye nimemchukia kwa kitendo chake cha kumdharau baba mtoto wake,sasa nae ajipange si aliona raha kuiba mme wa mtu eee,na huyo alonae nae atazisoma namba na kujuta kumfaham'yetu macho'

    ReplyDelete
  3. Mdau hapo na kuunga mkono yeye jestina kazi kucopy vitu kwenye blog za watu na kujipendeza kwa watu huko bongo kutaka kujiweka mdada wa mjini .. Anashindwa kumuweka baba watoto wake Montana Yule mwanamke ataishia hivyo hivyo kuolewa na mwanaume za watu

    ReplyDelete