KITENDA WILI"NYUMBA YANGU NDOGO LAKINI INAENEA WATU WENGI' MBUTA NANGA!!

FLORA LYIMO TZUK

FLORA LYIMO TZUK

FLORA LYIMO TZUK

FLORA LYIMO TZUK

FLORA LYIMO BLOG

FLORA LYIMO BLOG

FLORA

FLORA

FLORA NA RAIS JK

FLORA NA RAIS JK

FLORA NA MH PINDA

FLORA NA MH PINDA

SHINY ,HEALTHY-LOOKING AND GORGEOUS HAIR' WHATSAPP +44 778 7471024

SHINY ,HEALTHY-LOOKING AND GORGEOUS HAIR' WHATSAPP +44 778 7471024

Tuesday 9 April 2013

BY:FLORA LYIMO FROM RACHEL A.TEMU " HUYU NDIE MWANAMME MWINGINE NAE AKIMBIA MIMBA !! AFIKIRI KWA WANAWAKE NI KWA KUINGIA NA KUTOKA TU'MBUTA NANGA!!

Huyu ndiye kijana anayeitwa Seth Baraka Lupembe in Facebook anajiita Seth De Jesuis. Anaye kimbia mimba ya mama Beverly ambaye sasa hivi ana maumivu ya hali ya juu. Pia ni marketing agent wa Heineken. Sijatunga Story imekuja na DHL

Kuna hii blog inaitwa sethought.blogspot.com iko chini ya kijana anaitwa Seth Bahati Lupembe kwenye facebook anajiita Seth De Jesus. Huyu Kijana anaandika na kushutumu wanawake vibaya sana. Nimefuatilia kwa makini kwa nini anafanya hivi na nilichogundua ukweli ni kwamba alikua na mwanamke anaitwa Mama Beverly or Victoria amabaye alikua ana uhusiano naye kimapenzi na alimsisitiza saaana ...ambebeee mimba ili waweze kuunda familia. Ki ukweli mapenzi yakanoga dada akabeba mimba kwa makubaliano ya mapenzi. Baada ya kubeba mimba, kaka akaingia mitini akawa haaangaiki hata kutoa hela ya kwenda clinic anampiga mama Beverly chenga mpaka sasa hivi hatoi hata senti kumi ya kumsaidia mama Bevery, huku anajidai kutuma message za mapenzi kusogeza siku. Kwa kweli dada wa watu kaona katelekezwa akaamua kujinyamazia kubeba mzigo wake. Huyu Mr. Seth baada ya kunyamaziwa sasa anaandika kwenye blog yake anashutumu huyu dada, kwa kweli hivyo sivyo vizuri kwani Seth unafanya kazi Heineken Beer kama mtu wa masoko tuu cheo cha kawaida tuu, huoni kama unajishusha hadhi? Kwa nini usiache hizo fedheha zako kwenye mablog? Je akizaaa halafu akuletee mtoto utafanyaje?
Wadau naombeni mawazo yenu, mtu kama huyu afanywaje?

Teddyliscious Kaegele Rachel................. duh we kiboko

  • Flora Bahati Lyimo MBUTA NANGA...KUDADADEKI ..HIVI HUWA WANAFIKIRIA NINI?? KWA WANAWAKE NDO KWA KUINGIA NA KUTOKA TU......YANI NAWACHUKIA SANA WANAUME WAAINA HII..NA WENGINE WAKISHAKUINGIA BASI HATA SALAM YAKUFA MTU HUTOISIKIA BUT KABLA YAKUKUINGIA AKAKAVYOKUPIGIA MASIM NI BALAA..YANI KWELI KINADADA TUFANYA VITU KWA SABABU TUMEPENDA WENYEWE BUT UKIFANYA ETI KWASABABU ULIKUWA WAMTEGEMEA MWANAUME...NI NOMAA.THATS WHY I WORK HARD ..NIJITEGEMEE MWENYEWE...

  • MayLove CharLes Igogo Makubwaaaaa!amekimbia mimba?

  • Teddyliscious Kaegele Flora Bahati Lyimo ur very right....... always work hard and depend on urself maana dunia ya siku hizi hakuna wa kukufadhili...

  • Rachel A. Temu Teddyliscious Kaegele nimeonyeshwa message zake nimechoka kabisa. Flora Bahati Lyimo imagine amewafanyia wangapi? huyu ni mmoja wa wanawake wanao ongea aibu anaingia kazini. Ukisoma blog yake unaweza mchinja na wembe au umuangushie kifusi

  • Rachel A. Temu MayLove CharLes Igogo yes na anajua ni nani anayemkwepa anasema yeye ana clinic yake na atasubiria mpaka siku ya kujifungua haki i wapi????

  • Peter Anna huyu hana adabu kabisa mbwa keshachezea wangapi mpk ss,dawa yake ni kupigwa mawe mpk afe bwege hy aliona wp mwanaume mwny akili yake anakimbia majukumu

  • Flora Bahati Lyimo Rachel A. Temu. MY DEAR....YANI WANAWAKE NDO TUNATAKIWA KUAMKA NOW..HAWA WANAUME WASIJE WAKATUFANYA TUCHUNANE NGOZI NA HADI MAUUAJI YAKO MWENYEWE ..FOR WHAT?? TUJITEGEMEE KWA KUFANYA KAZI NA KUWEZA KUWAEPUKA NA MAUJINGA YAO..YANI AKIJA UKIMKUBALI UWE U...See More

  • Flora Bahati Lyimo Teddyliscious Kaegele...that's RIGHT MY GIRL ..PAMOJA SANA.HOW YOU NOW ..NICE TO SEE YOU HERE KIPENZI ..STAY BLESS ALWAYS

  • Teddyliscious Kaegele ushauri kwa huyo mwanamke .. tumuombee ajifungue salama na amlee mtoto wake mwenyewe akisubiri huduma kwa baba wa mtoto itamkata na ata end up kuona kama huyo mtoto ni laana.... asonge mbele ajifunze.....

  • Rachel A. Temu Teddyliscious Kaegele its true nakubaliana na wewe. nenda soma blog yake unaweza ukamtapikia


  • No comments:

    Post a Comment