KITENDA WILI"NYUMBA YANGU NDOGO LAKINI INAENEA WATU WENGI' MBUTA NANGA!!

FLORA LYIMO TZUK

FLORA LYIMO TZUK

FLORA LYIMO TZUK

FLORA LYIMO TZUK

FLORA LYIMO BLOG

FLORA LYIMO BLOG

FLORA

FLORA

FLORA NA RAIS JK

FLORA NA RAIS JK

FLORA NA MH PINDA

FLORA NA MH PINDA

SHINY ,HEALTHY-LOOKING AND GORGEOUS HAIR' WHATSAPP +44 778 7471024

SHINY ,HEALTHY-LOOKING AND GORGEOUS HAIR' WHATSAPP +44 778 7471024

Tuesday 23 April 2013

HAPPY BIRTHDAY FLORA LYIMO AND FLORA LYIMO FASHION POLICE BLOG 'IS 3 YEARS TODAY BLOGGING'I LOVE YOU ALL MY FAMILY' FRIENDS AND ALL OF YOU WHO IS FOLLOWING US'GOD BLESS YOU ALL NA MSISAHAU KUENDELEA TO FOLLOW ME ALWAYS 'MBUTA NANGA"

WIMBO HUU KWA AJILI YANGU ;IM GODS GIRL NA MAMA MARIA NDIE KIMBILIO LANGU NA SITOSHOKA KUMUOMBA NA KUSALI ROZARI PAMOJA NA KUTEMBEA NAYO POPOTE PALE NIENDAPO.YANI HIYO NDIYO KINGA YANGU TOSHA' NI KAMA MTU KUTEMBEA NA BUNDUKI MIMI NATEMBEA NA ROZARI" AIKA MAE KANYI 'HAKUNA KAMA MAMA YANGU ALONIZAA PIA" NAMPENDA NA NALIA KWA UCHUNGU   MAANA AMETUTESEKEA SANA SISI WATOTO WAKE" 
HAPPY BIRTHDAY TO ME AND MY BLOG  'FLORA LYIMO FASHION POLICE BLOG" MY WISH IS TO BRING GODBLESS LEMA WHO IS NOW WANTED IN UK TO JUSTICE" ALONIFANYIA SITAKI AMFANYIE MWANAMKE/DADA MWENGINE  NEVER"NA WALE MNANITUKANA KWA YALE MSOYAJUA  KWA SABABU YA CHAMA CHENU CHADEMA'MIMI SIPO HAPA LEO KWA KUWAAMBIENI MSIKIPENDE CHAMA FULANI  KAMA VILE LEMA NA WENZAKE WALIVYKUWA WANANILAZIMISHA KUINGIA KWNYE CHAMA CHAO CHA CHADEMA' SIKU IZI MAISHA NI KUISHI KWA UPENDAVYO NA SIYO WAPENDAVYO WATU TUNAISHI NNCH HURU' NI HAYO TU KWASASA HIVI " 
Endelea kunisoma mwishoni mwa picha hizi"

 Kwa kusema ukweli hapa sipaogopi ni mahali pakusemea ukweli na kuapa mbele za Mungu na Dunia kwamba unayoyasema ni ya ukweli na ukweli mtupu" na siku zote msema kweli ndie mpenzi wa Mungu' Yani my Birthday mwaka huu imekuja vibaya sana na vile vle namshukuru Mungu sana kwa kunizuia na kuniepusha kifo kwa kutaka kuuliwa na  Godbless Lema' NIMEKUWA NIMEKUWA NIKISHINDA MAHAKAMANI KWA AJILI YA YA HUYU RATS MUHARIBIFU NA WENZAKE WANAJIJUA 'Mungu wangu hivi why he think mimi ninafanya kazi ubalozini uk .? and why he think mimi na rais Kikwete tunauchowi? and why ?why ? i cant stop to think of this why me'why is always me ?drama na wanaume mimi sitaki jamani sitaki 'now all i want is JUSTICE" BRING ALL THE RAPIST RATS TO JUSTICE ' FLORA LYIMO STOP RAPE AND RUP CHARITY IS ALL ABOUT KUWASAIDIA KINA MAMA/DADA' HASA WATANZANIA'" PAMOJA WE CAN STOP HAWA VIPANYA" I LOVE YOU MY GOD ALWAYS AND I LOVE YOU MAMA YANGU ALWAYS" AIKA MAE" AIKA RUWA MANGI'

5 comments:

  1. Its like you read my mind! You seem to know so much about this, like you wrote the book in it
    or something. I think that you could do with some pics to
    drive the message home a little bit, but instead of that, this is wonderful blog.
    A fantastic read. I will definitely be back.

    Feel free to visit my web blog: summer internship

    ReplyDelete
  2. We love u Flo! simamia haki yako..nakupenda kwa kuwa wewe ni mpiganaji.

    ReplyDelete
  3. We nae unatafuta umaarufu,Yan wabongo wakishakua Na biashara tu wanatafuta scandal..
    Huyo Lema alikubaka ulipokuwa Na umri gani? Au juzi

    ReplyDelete
  4. Toka lini mtu mzima akabakwaaaaa? acha hizo wewe bibi mashauzi

    ReplyDelete
  5. pole Frola kwa hili lililokutokea, pole sana Mungu akusimamie, nachukia wanaume wenye roho kama za wanyama, wabakaji ni ma ibilisi kabisa. Mungu akupiganie ushinde, nilibakwa nikiwa na miaka 16 nilipigwa makofi mpaka nikawa ninaona mataa machoni mwangu, na huyo baba alikuwa na mtoto karibu miakayangu, kwa nini watu hawana huruma lakini? nilikuwa maskini so nisingeweza kufanya chochote ningeweza hata kufungwa mimi, ila Mungu ni wa watu wake na mpaka sasa ananipigania. go girl umenifanya nilie. K

    ReplyDelete